Jamii
12 November 2023, 11:47 am
DC Naano aitaka halmashauri Bunda Mji kutatua migogoro ya ardhi na kulipa fidia
Dkt. Anney ameielekeza Halmashauri kufanyia kazi migogoro yote ya ardhi hasa iliyopo katika maeneo ya Taasisi kwa kulipa fidia wananchi waliohamishwa katika maeneo hayo. na adelinus Banenwa Dkt. Anney ameielekeza Halmashauri kufanyia kazi migogoro yote ya ardhi hasa iliyopo katika…
8 November 2023, 5:21 pm
Mifugo ya mwenyekiti mstaafu yapewa sumu asema anaumuachia Mungu
Ikumbukwe mtaa huo una mwenyekiti wa mtaa ambapo majukumu yake ni kusimamia na kuhamasisha ulinzi na usalama wa watu na mali zao na wananchi wana haki na wajibu wa kulinda mali, rasilimali za umma na kupambana na kila aina ya…
4 November 2023, 10:14
DC Mbeya atoa onyo kali wanaotaka kuvuruga amani
Mwandishi Samweli Mpogole Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Beno Malisa ametoa angalizo kwa watu wanaotaka kuvuruga amani iliyopo na kuwataka kuacha mara moja kwani Mbeya ni kitovu cha amani na biashara Ameyazungumza hayo kwenye mahafali ya kuhitimu kwa mafunzo ya…
3 November 2023, 22:21
Bodaboda wengi siku hizi wanapenda mizigo,halafu hamuwi na mzigo mmoja
Mkuu wa Wilaya ya Songwe Mkoani Songwe Mhe. Solomon Itunda, ameelekeza kuanzishwa Chama cha maafisa usafirishaji Wilaya ya Songwe ambacho kitahusika na uratibu wa masuala yote yanayohusu madereva wanaotoa huduma za usafiri na usafirishaji huku akiwataka kuzingatia Sheria za Barabarani…
November 1, 2023, 1:19 pm
Mbunge Sanga akabidhi baiskeli kwa mlemavu Makete
baada ya wananchi wa kijiji cha kisinga kupaza sauti dhidi ya mlemavu Sinahabari mbunge wa jimbo la makete Festo Sanga kwa kushirikiana na wadau mbali mbali wamemkabidhi baiskeli yenye thamani ya shilingi milioni moja Na Ahazi Ndelwa. Mbunge wa jimbo…
1 November 2023, 11:21 am
Jamii yatakiwa kushiriki kutokomeza rushwa ya ngono
Rushwa ya ngono inaweza kusababisha athari kubwa kwa mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla. Na Aisha Alim. Jamii imetakiwa kushirikaiana katika kuhakikisha vitendo vya rushwa ya ngono makazini vinatokomezwa kwani ni miongoni mwa vitendo vya ukatili vinavyomnyima mtu haki…
25 October 2023, 1:02 pm
Watendaji wa serikali watakiwa kutatua kero za wananchi
Katika Mkutano huo Mkuu wa wilaya ya Bahi Mh Godwin Gondwe aliambatana na kamati ya usalama ya wilaya hiyo. Na Bernad Magawa Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gondwa amewaagiza watendaji wa Serikali katika ngazi zote wilayani humo kuhakikisha…
25 October 2023, 9:28 am
Wananchi Dodoma wakemea tabia ya baadhi ya watu kuwatetea wahalifu
Hayo yanajiri kutokana na matukio mbalimbali ya kihalifu yanayoendelea katika mitaa ya jiji la Dodoma. Na Aisha Shaban. Baadhi ya wanachi wamezungumzia tabia ya baadhi ya watu katika mitaa kupenda kuwatetea wahalifu na kwenda kuwawekea dhamana wakikamatwa hali inayosababisha uhalifu…
20 October 2023, 5:57 am
RPC Katavi awataka wazazi, walezi kuzingatia malezi
Kamanda wa jeshi la polisi Mkoa wa Katavi Kaster Ngonyani amewataka wazazi na walezi kuzingatia mahitaji muhimu ya Watoto . Na Ben Gadau – KataviKamanda wa jeshi la polisi Mkoa wa Katavi Kaster Ngonyani amewataka wazazi na walezi kuwatimizia mahitaji…
18 October 2023, 10:53 am
Nyumba zaidi ya 100 zaezuliwa na upepo Nyang’hwale, mmoja afariki
Tangu kuanza kwa msimu wa mvua mwaka huu imeendelea kuleta madhara kwa baadhi ya wananchi Mkoani Geita huku chanzo cha madhara hayo ni uduni wa makazi. Na Mrisho Sadick: Mvua iliyoambatana na upepo mkali iliyodumu kwa dakika 30 imeezua na…