Radio Tadio

Jamii

13 Disemba 2023, 10:30 um

Jamii yatakiwa kuwasaidia watoto wenye uhitaji

Diwani awaandalia tafrija fupi watoto wenye uhitaji. Na Latifa Boto Diwani wa kata ya Masama Magharibi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro Mashoya Natai ameitaka jamii kuwasaidia watoto wenye mahitaji mbalimbali hususani katika msimu huu wa sikukuu za mwisho wa mwaka ili…

12 Disemba 2023, 8:40 um

Taasisi  binafsi zafundwa uandaaji wa mipango kazi

Mafunzo hayo yamewakutanisha wadau kutoka Asasi na Taasisi mbalimbali jijini Dodoma ili kuwajengea uwezo kuhusu upangaji wa mipango itakayo wawezesha kufanya kazi zenye tija kwa jamii. Na Mariam Kasawa. Taasisi na mashirika yasiyo ya kiserikali yametakiwa kuandaa mipango kazi itakayo…

12 Disemba 2023, 12:59 um

Taasisi ya Tulia Trust yadhamiria kuondoa umasikini kwenye jamii

kutokana na kuto kuwepo kwa usawa ndani ya jamii taasisi ya Tulia Trust imeendelea na kampeni yake ya kukimbiza Bendera ikiwa imebeba ujumbe wa upendo, usawa na uwajibikaji wa kuwatembelea wenye mahitaji maalumu wilayani Rungwe. RUNGWE..MBEYA Na lennox Mwamakula Taasisi…

7 Disemba 2023, 9:47 um

Miradi ya TASAF yakosa ushirikishwaji baina ya mfuko, viongozi na jamii

Aidha mabadiliko hayo ya malipo katika mfuko wa jamii wa kusaidia kaya maskini yalikuja yakiwa na lengo la kurahisisha utekelezi wa zoezi la utoaji fedha kwa walengwa. Na Victor Chigwada.                                      Imeelezwa kuwa kukosekana kwa nguvu ya ushirikishwaji katika miradi ya…

6 Disemba 2023, 7:11 um

Ajinyonga baada ya kutelekezewa watoto saba na mke wake

Matukio ya wanandoa kuachana yanazidi kushika kasi wilayani Sengerema huku yakitanjwa kuwa ndio chanzo kinacho pelekea vifo kwa baadhi yao baada ya kutalakiana kufuatia msongo wa mawazo na kusindwa kuvumilia maumivu . Na:Emmanuel Twimanye. Mwanaume mwenye umri wa miaka 37…