Jamii
13 Disemba 2023, 10:30 um
Jamii yatakiwa kuwasaidia watoto wenye uhitaji
Diwani awaandalia tafrija fupi watoto wenye uhitaji. Na Latifa Boto Diwani wa kata ya Masama Magharibi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro Mashoya Natai ameitaka jamii kuwasaidia watoto wenye mahitaji mbalimbali hususani katika msimu huu wa sikukuu za mwisho wa mwaka ili…
12 Disemba 2023, 8:40 um
Taasisi binafsi zafundwa uandaaji wa mipango kazi
Mafunzo hayo yamewakutanisha wadau kutoka Asasi na Taasisi mbalimbali jijini Dodoma ili kuwajengea uwezo kuhusu upangaji wa mipango itakayo wawezesha kufanya kazi zenye tija kwa jamii. Na Mariam Kasawa. Taasisi na mashirika yasiyo ya kiserikali yametakiwa kuandaa mipango kazi itakayo…
12 Disemba 2023, 18:38
Mkoa wa Songwe watoa msaada kwa waathirika wa mafuriko Hanang’
Na Mwandishi Wetu,Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Dkt Francis K. Michael, amepokea msaada kutoka kwenye Kikundi cha Tunduma ni Fursa Online 11 Desema 2023. ambacho kimetoa tani moja ya mahindi, kilo 250 za sabuni, mavazi pamoja na viatu…
12 Disemba 2023, 12:59 um
Taasisi ya Tulia Trust yadhamiria kuondoa umasikini kwenye jamii
kutokana na kuto kuwepo kwa usawa ndani ya jamii taasisi ya Tulia Trust imeendelea na kampeni yake ya kukimbiza Bendera ikiwa imebeba ujumbe wa upendo, usawa na uwajibikaji wa kuwatembelea wenye mahitaji maalumu wilayani Rungwe. RUNGWE..MBEYA Na lennox Mwamakula Taasisi…
12 Disemba 2023, 9:04 mu
Watekelezaji wa mpango wa makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto watakiwa kutenga…
Mkutano huo umezinduliwa leo jijini Dodoma ambapo umeambatana na ufungunguzi wa Mwongozo Jumuishi wa Taifa wa Utekelezaji wa Mpango wa (PJT-MMMAM). Na Mwandishi wetu. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Dkt. Dorothy Gwajima ametoa rai kwa…
10 Disemba 2023, 11:51 mu
Viongozi wa kimila wilayani Longido, wamuombea Dua Rais Samia
Viongozi wa mila wa jamii ya kimasai na viongozi wa dini wamuonbea dua ya heri, mafanikio na ushindi Rais Samia Suluhu Hassan Na Baraka David Ole Maika. Viongozi wa mila wa jamii ya kimasai na viongozi wa dini kutoka wilaya…
9 Disemba 2023, 11:34 mu
Mkutano Mkuu wa Umoja wa Wajane Afrika kufanyika Zanzibar 2024
Na Najat Omar Mkutano Mkuu wa Umoja wa Wajane Afrika kufanyika Zanzibar 2024. Zanzibar : Kwa mara ya kwanza Zanzibar itapokea ugeni wa nchi 54 katika Mkutano mkuu wa Umoja wa wajane Afrika ambao unatarajiwa kufanyika Zanzibar mwezi June kuanzia…
7 Disemba 2023, 9:47 um
Miradi ya TASAF yakosa ushirikishwaji baina ya mfuko, viongozi na jamii
Aidha mabadiliko hayo ya malipo katika mfuko wa jamii wa kusaidia kaya maskini yalikuja yakiwa na lengo la kurahisisha utekelezi wa zoezi la utoaji fedha kwa walengwa. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa kukosekana kwa nguvu ya ushirikishwaji katika miradi ya…
6 Disemba 2023, 7:11 um
Ajinyonga baada ya kutelekezewa watoto saba na mke wake
Matukio ya wanandoa kuachana yanazidi kushika kasi wilayani Sengerema huku yakitanjwa kuwa ndio chanzo kinacho pelekea vifo kwa baadhi yao baada ya kutalakiana kufuatia msongo wa mawazo na kusindwa kuvumilia maumivu . Na:Emmanuel Twimanye. Mwanaume mwenye umri wa miaka 37…
5 Disemba 2023, 6:56 um
Fisi wavunja mlango, watokomea na mbuzi saba wa familia moja Sengerema
Matukio ya fisi kushambulia mifugo na binadamu yameendelea kushika kasi wilayani Sengerema licha ya jitihada za serikali na mamlaka za wanyamapori kukabiliana na wanyama hao lakini bado fisi na mamba imekuwa tishio. Na:Emmanuel Twimanye Kundi la fisi limevamia kwa mkazi…