Jamii
15 September 2023, 12:58 pm
Lumuli kuwamlika watoto yatima Rungwe
Jamii inatakiwa kuwalea na kuwalinda watoto yatima katika maeneo yao ikiwa ni pamoja na kuwalea katika mazingira yenye usalama kwao. Na Lennox Mwamakula Ili kukabiliana na wimbi la watoto waishio katika mazingira magumu uongozi wa kijiji na kata ya Ndanto…
15 September 2023, 8:02 am
Taasisi, viongozi wa dini washirikishwe kutoa elimu anuani za makazi
Ufunguzi wa mafunzo ya kujenga uwezo kuhusu mfumo wa anuani za makazi kwa maafisa tarafa watendaji wa kata,na wenyeviti wa mitaa umefunguliwa leo katika ukumbi wa chuo cha mipango jijini Dodoma ambapo unatarajia kufanyika kwa muda wa siku mbili. Na…
13 September 2023, 4:59 pm
Nini kinapelekea baadhi ya wazazi kutelekeza familia
Leo mchanyato upo Bahi kuzungumza na Jane Mgidange ambaye ni mratibu wa Elimu jumuishi Wilaya Ya Bahi Kufahamu zaidi nini sababu za kutelekeza familia. Na Leonard Mwacha. leo tunaangazia sababu za kutelekeza familia ambapo jamii inahusika moja kwa moja kabla…
12 September 2023, 15:23
CCM kuendelea kuisimamia serikali utekelezaji miradi
Na Kelvin Mickdady Mwenyekiti Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Mufindi Ndugu. George Kavenuke amesema chama kitaendelea kuisimamia serikali katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo. Kavenuke ameyasema hayo akiwa kwenye hafla ya kukabidhi majengo ya zahanati na nyumba ya mganga…
11 September 2023, 12:50
Wananchi jijini Mbeya wakanusha taarifa zilizosambaa mitandaoni tatizo la maji
Kumekuwa na mkanganyiko juu ya upatikanaji wa maji baadhi ya maeneo mkoani Mbeya hasa kipindi hiki cha kiangazi kitendo kinachopelekea baadhi ya wananchi kulalamika kukosekana kwa maji. Na Samweli Ndoni Baadhi ya wananchi wa kata za Isanga na Iganzo wamekanusha…
7 September 2023, 7:57 pm
Kijana akamatwa usiku wa manane akidaiwa kuiba debe mbili za mpunga
Matukio ya wizi katika maeneo mbalimbali mkoani Geita yanaendelea kujitokeza licha ya jitihada ya Jeshi la Polisi mkoa wa Geita kwa kushirikiana na Jeshi la Jadi. Na Nicolaus Lyankando- Geita Kijana mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 27 amekamatwa…
7 September 2023, 1:00 pm
Maafisa ustawi jamii watakiwa kutoa elimu ya afya ya akili
Mkutano wa Maafisa ustawi wa jamii umefunguliwa jana jijini Dodoma ambao utadumu kwa muda wa siku mbili na kuwakutanisha maafisa ustawi wa jamii Nchi nzima ili kujadili namna ya kuendelea kufanya kazi kwa ufanisi. Na Yussuph Hassan. Maafisa ustawi wa…
5 September 2023, 3:35 pm
Watoto wasaidiwe kuvuka barabara ili kuepusha ajali
Kundi la watoto ni miongoni mwa makundi yanayohitaji misaada hususani pale wanapokuwa katika maeneo ya barabara ili kuepukana na ajali zinazoweza kutokea. Na Thadei Tesha. Jamii imetakiwa kushiriki katika suala la kuwasadia watoto pale wanapoelekea shuleni na maeneo mengine ya…
30 August 2023, 12:52
Tanzania, Burundi kukabiliana na ajali Ziwa Tanganyika
Katika kukabiliana na ajali ndani ya Ziwa Tanganyika Serikali ya Tanzania na Burundi zimeonyesha nia ya kushirikiana kutoa elimu ya matumizi ya vifaa vya usafirishaji ndani ya ziwa. Na, Tryphone Odace Nchi za Tanzania na Burundi zimeanza kuchukua hatua za…
30 August 2023, 12:49 pm
Auawa akidaiwa shilingi elfu 5 Geita
Matukio ya vijana kudhuriana wao kwa wao kwasababu ya pesa yanaongezeka siku hadi siku, hiyo imepelekea ACP Safia Jondo kuwashauri wazazi kufuatilia mienendo ya vijana wao na watu wao wa karibu. Na Amon Bebe- Geita Kijana mmoja mkazi wa mtaa…