Habari za Jumla
29 Febuari 2024, 16:43
Chunya yaongoza ukusanyaji mapato mkoa wa Mbeya
Na Mwandishi wetu Halmashauri ya wilaya ya Chunya imeendelea kuziongoza halmashauri za mkoa wa Mbeya katika ukusanyaji wa mapato kwa tofauti ya zaidi ya asilimia arobaini (40%) baada ya kukusanya shilingi bilioni 7.3 sawa na asilimia 133 kwa kipindi cha…
29 Febuari 2024, 13:06
Wananchi walia na ubovu wa miundombinu ya barabara kigoma
Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha nchini zimesababisha uharibifu wa miundombinu ya barabara hali ambayo imewalazimu wananchi kupaza sauti kwa serikali kuwasaidia kukarabati barabara kwenye maeneo yao. Na, Orida Sayon Wananchi wa Kata ya Kalinzi Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Mkoani…
28 Febuari 2024, 6:46 um
Jumla ya watoto 61125 kupata chanjo Rungwe
Ili kuhakikisha mtoto analindwa na magonjwa yasiyopewa kipaombele, jamii inatakiwa kuwa mstari wa mbele kujitokeza kuwapatia chanjo. Na lennox Mwamakula Mkuu wa wilaya ya Rungwe Jaffar Hanniu ameiomba jamii kutoa ushirikiano kwa walimu wanaowahudumia watoto wenye mahitaji maalum ili watoto…
28 Febuari 2024, 11:15 mu
DC Kaminyoge atoa ufafanuzi changamoto ya sukari wilayani Maswa
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mh, Aswege Kaminyoge ametoa ufafanuzi kuhusu Changamoto ya Kupanda kwa bei ya Sukari na kutoa maelekezo ya Serikali kuhusu upatikanaji wa Bidhaa hiyo. Kaminyoge amesema hayo wakati akizungumza na Wafanyabiashara wa Maswa na …
28 Febuari 2024, 09:45
kamchape wahatarisha usalama Kasulu
Kufuatia uwepo wa migogoro ya ardhi na suala la ramli chonganishi inayofanywa na watu wanaojiita Kamchape katika kata ya Mganza iliyopo halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma imepelekea suala la ulinzi na usalama kuwa changamoto katani humo. Afisa mtendaji wa…
28 Febuari 2024, 08:58
Vyama vya siasa kushirikishwa vyanzo vipya vya mapato Kasulu
Watendaji wa kata zilizopo ndani ya halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwashirikisha madiwani na viongozi wa vyama vya siasa pindi wanapoanzisha vyanzo vipya vya mapato katika kata zao. Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Wilayani…
27 Febuari 2024, 19:56
Rc Songwe awapongeza walimu
Na mwandishi wetu, Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Dkt. Francis K. Michael, ametembelea na kukagua hali ya ufundishaji na ujifunzaji katika Shule ya Msingi Katete iliyopo Kata ya Mpemba na Shule ya Msingi Mpemba iliyopo Kata ya Katete…
27 Febuari 2024, 19:45
Dc Batenga; Wanafunzi Chunya mna deni la kulipa kwa Rais
Na mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mrakibu Mwandamizi wa UhamiajI Mhe. Mubaraka Alhaji Batenga amesema kuwa wanafunzi wilaya ya Chunya wana deni kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa matokeo ya…
27 Febuari 2024, 19:34
Dc Batenga amtaka mkurugenzi kuhakikisha klabu zote mashuleni zinakuwa na walimu…
Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mrakibu Mwandamizi wa Uhamiaji Mhe. Mubarak Alhaji Batenga amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Chunya ndugu Tamim Kambona kuhakikisha Klabu zote zilizopo Mashuleni zinakuwa na walimu walezi pamoja na kuhakikisha wanajengewa…
27 Febuari 2024, 19:12
Mahundi akusanya 50m ujenzi wa kanisa KKKT Sinai Mbeya
Na Hobokela Lwinga Naibu Waziri wa Maji ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mbeya Mhandisi Maryprisca Mahundi ameongoza harambee ya ujenzi wa Kanisa la Kiiinjili la Kilutheri Tanzania(KKKT)Dayosisi ya Konde Usharika wa Sinai Jijini Mbeya ambapo amechangia…