Radio Tadio

Habari za Jumla

7 Machi 2024, 2:31 um

MPANDA, Madiwani Wahofia Bajeti Ya TARURA

“Madiwani Wa Halmashauri ya Manispaa Ya Mpanda Wameonyesha Kutoridhishwa Na Bajeti Hiyo Na Kumtaka Manager Wa Tarura Kwenda Kupitia Upya Na Kuiwasilisha Kwa Baraza Hilo Ifikapo Jumatatu ya tarehe 11 mwezi wa tatu mwaka huu” Picha na Deus Daud Na…

Machi 6, 2024, 3:56 um

Wananchi walalamikia miundombinu ya barabara Kahama

Na, Neema Nkumbi–Huheso FM Wananchi wa Kata ya Mhongolo Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga walalamikia miundombinu ya barabara kuwa mibovu wakati walipokuwa wakizungumzia kuhusu hali ya miundombinu ya Barabara. Mmoja wa wananchi hao aliejitambulisha kwa jina Obed Nyangi amesema kuwa barabara…

6 Machi 2024, 09:54

Kigoma DC yaagizwa kuhamia kwenye ofisi zake

Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma Albert Msovela amemuelekeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Kigoma kuhakikisha ifikapo Julai Mosi, 2024 halmashauri hiyo inahamia katika jengo lake la Ofisi linalojengwa na Serikali katika eneo la kiutawala kata ya Mahembe wilayani humo.…

5 Machi 2024, 10:09

Mapato yapotea, chanzo kukosekana kwa POS Kasulu

Kukosekana kwa mtambo wa ukusanyaji wa mapato (POS) Personal Operating System kwa baadhi ya kata ikiwemo Nyumbigwa na Murufyiti zilizopo halmashauri ya Mji kasulu Mkoani Kigoma imepelekea halmashauri hiyo kuendelea kupoteza mapato Hayo yamebainishwa na Watendaji wa kata hizo mbili…

4 Machi 2024, 12:07

Serikali yakamilisha ujenzi wa zahanati Busunzu Kibondo

Serikali imesema itaendelea kuboresha huduma za afya kwa kuhakikisha wanaweka miundombinu bora ya vifaa tiba. Na, James Jovin Wananchi wa kijiji cha Nyaruranga kata ya Busunzu wilayani Kibondo mkoani Kigoma wameepukana na adha ya kutembea zaidi ya kilometa 20 kutafuta…

3 Machi 2024, 22:57

Kyela: Wekeza Group yatoa vifaa vya shule Unyakyusa, Ntebela

Wakati wanawake wakijiaanda kusherehekea siku ya wananke duniani kikundi cha wekeza grupu kimetoa vifaaa vya shule na chakula kwa shule za msingi Mbangamojo na Ikombe ikiwa ni ishara ya maadhimisho ya siku ya wananwake hapa wilayani Kyela. Na Nsangatii Mwakipesile…

1 Machi 2024, 8:07 um

96 wahitimu mafunzo ya udereva Maswa

Jumla  ya  maafisa  usafirishaji 96  wamepatiwa  vyeti vya  udereva  na  leseni  za  uendeshaji  vyombo  vya  moto  ikiwemo  pikipiki  na  magari  madogo  baada  ya  kufuzu  mafunzo  ya  uendeshaji  wa  vyombo  hivyo. Akikadhi  vyeti  hivyo  na leseni , Mkuu  wa  Wilaya  ya …