Habari za Jumla
5 Machi 2024, 09:16
Wanawake kushikamana yatajwa kuwa chachu ya kukabiliana na ukatili
Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi , Vijana, Ajira na wenye Ulemavu Prof. Joyce Ndalichako amewataka wanawake mkoani Kigoma kushikamana kukabiliana na vitendo vya ukatili ambavyo vimeacha majeraha katika familia nyingi.
4 Machi 2024, 12:07
Serikali yakamilisha ujenzi wa zahanati Busunzu Kibondo
Serikali imesema itaendelea kuboresha huduma za afya kwa kuhakikisha wanaweka miundombinu bora ya vifaa tiba. Na, James Jovin Wananchi wa kijiji cha Nyaruranga kata ya Busunzu wilayani Kibondo mkoani Kigoma wameepukana na adha ya kutembea zaidi ya kilometa 20 kutafuta…
3 Machi 2024, 22:57
Kyela: Wekeza Group yatoa vifaa vya shule Unyakyusa, Ntebela
Wakati wanawake wakijiaanda kusherehekea siku ya wananke duniani kikundi cha wekeza grupu kimetoa vifaaa vya shule na chakula kwa shule za msingi Mbangamojo na Ikombe ikiwa ni ishara ya maadhimisho ya siku ya wananwake hapa wilayani Kyela. Na Nsangatii Mwakipesile…
1 Machi 2024, 8:07 um
96 wahitimu mafunzo ya udereva Maswa
Jumla ya maafisa usafirishaji 96 wamepatiwa vyeti vya udereva na leseni za uendeshaji vyombo vya moto ikiwemo pikipiki na magari madogo baada ya kufuzu mafunzo ya uendeshaji wa vyombo hivyo. Akikadhi vyeti hivyo na leseni , Mkuu wa Wilaya ya …
1 Machi 2024, 5:03 um
Wanawake jamii ya kihadzabe Meatu waomba msaada wa Rais Samia
Jamii ya kihadzabe inayoishi pembezoni mwa pori la hifadhi Makao Wilayani Meatu Mkoani Simiyu yahofia kutoweka kutokana na mabadiliko ya tabia ya Nchi. Na,Alex Sayi Wanawake wa jamii ya kihadzabe wamuomba Rais Dkt,Samia kulinusuru kabila hilo ili lisiweze kutoweka kutokana…
Machi 1, 2024, 7:22 mu
Wananchi waishukuru serikali kuwafikishia umeme Igolwa Makete
katika kutekeleza miradi ya umeme vijijini,wananchi wa kijiji cha Igolwa kilichopo katika kata ya Ipepo waipongeza Serkali kwa kuwafikishia Umeme,huku wakiomba Serkali kutatua changamoto ya Barabara. Wananchi wa kijiji cha Igolwa Kata ya Ipepo Wilayani Makete wameipongeza Serikali na Viongozi…
29 Febuari 2024, 18:51
Zaidi ya miche 100 yapandwa shule ya Mpakani Kyela
Na Ezekiel Kamanga Taasisi ya Living Together Youth Foundation(LTYF) yenye makao makuu wilaya ya Kyela inayojihusisha na utunzaji wa mazingira ikiongozwa na mkurugenzi wake Leonatha Likalango imeendelea na kampeni ya kufungua klabu za mazingira shuleni sanjari na upandaji miti ya…
29 Febuari 2024, 17:06
Rungwe yazindua chanjo ya minyoo, kichocho
Na mwandishi wetu Mkuu wa wilaya ya Rungwe Mhe. Jaffar Haniu tarehe 28.2.2024 amezindua zoezi la chanjo ya minyoo na kichocho ikiwa ni sehemu ya kutokomeza magonjwa yote yasiyopewa kipaumbele katika jamii. Zoezi hili limefanyika katika shule ya msingi Katumba…
29 Febuari 2024, 16:58
Waandishi wa habari watakiwa kuelimisha jamii
Na Mwandishi wetu Songwe Kamanda wa Polisi mkoani Songwe SACP Theopista Mallya amewataka waandishi wa habari mkoani hapa kuendelea kuielimisha jamii dhidi ya vitendo vya ukatili. Kamanda Mallya ameyasema hayo February 28, mwaka huu, mbele ya viongozi wa Klabu ya…
29 Febuari 2024, 16:52
Wananchi Makongolosi waishukru serikali kwa kupeleka huduma za upasuaji
Na mwandishi wetu Wananchi wa Mamlaka ya mji mdogo Makongolosi wameushukuru serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwapelekea vifaa tiba katika kituo cha afya cha Makongolosi kwani…