Habari za Jumla
9 Aprili 2024, 1:09 um
Prof. Kabudi afuturisha mamia ya wakazi Rudewa
Zimesalia siku chache ili kuisha kwa mwezi Mtukufu wa Ramadhan ambapo waislam duniani kote wamekuwa wakitimiza moja ya nguzo muhimu ya dini kwa kufunga na kufanya ibada na matendo mema huku wakidumisha amani, upendo na ushirikiano baina yao. Na Asha…
9 Aprili 2024, 11:17 mu
Mbunge Ole Shangai awaka sakata la uhamaji wa hiari Ngorongoro
Katika harakati za kuendelea kuwafikishia viongozi wa juu wa serikali kero za wananchi wa Ngorongoro, mbunge Emanuel Shangai amesimama bungeni kuhoji kwa Waziri Mkuu sakata la uhamaji Ngorongoro ikiwa ni la hiari kwanini wananchi wanawekewa vikwanzo vya kimaendeleo? Na Edward…
9 Aprili 2024, 10:33
DC Mufindi aandaa futari
Na Marko Msafili- Mufindi Wakati waumini wa dini ya Kiislamu kote ulimwenguni wakiendelea na mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, waumini wa dini ya Kiislamu wilayani Mufindi wameshiriki futar iliyoandaliwa na Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. Dkt. Linda Salekwa. Hafla…
9 Aprili 2024, 10:09
Wahamiaji haramu 16 mbaroni wakisafirishwa kwa STL
Na Jackson Machowa-MufindiJeshi la polisi kwa kushirikiana na idara ya uhamiaji mkoani Iringa linawashikilia wahamiaji haramu 16 raia wa Ethiopia kwa kosa la kuingia nchini bila kibali kinyume cha sheria.Wahamiaji hao wamekamatwa Jumamosi ya tarehe 6 April 2024 katika eneo…
8 Aprili 2024, 20:02
Wachungaji kemeeni mambo ya ushoga unaoendelea duniani
“Tumieni elimu na maarifa mliyoyapata vyuoni kuuaminisha ulimwengu juu ya imani ya kumtegemea Mungu na siyo fedha.” Na Ezra Mwilwa Wachungaji waliopo masomoni Chuo Kikuu Teofilo Kisanji na Chuo cha Itengule Mbeya wametakiwa kuendelea kukemea maswala ya ushoga yanayoendelea duniani.…
8 Aprili 2024, 18:37
Wananchi watakiwa kuendelea kuitunza amani
Katika kuendelea na mfungo wa Ramadhan kwa dini ya Kiislamu tumeshuhudia makundi mbalimbali nchini yamekuwa yakifanya ibada ya kufuturisha maeneo mbalmbali nchini, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Zuberi Homera ameandaa chakula cha jioni katika mkoa wake. Na Dailes Razaro…
8 Aprili 2024, 6:02 um
Ulanga: Shule ya msingi Kivukoni yaendelea kufungwa kutokana na mafuriko
“Kama maji yatakauka kabla ya April 15 mwaka huu shule ifunguliwe na kama hayatakauka shule isifunguliwe” Ni maagizo ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmshauri ya Wilaya ya Ulanga Saida Mahugu. Na Elias Maganga Wakati shule zote zikifunguliwa baada ya mapumziko ya…
8 Aprili 2024, 3:07 um
Mkoa wa Katavi umepokea Fedha zaidi ya Trillion Moja kutoka kwa Serikali
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko .Picha na Mtandao “Mafanikio ya Mkoa wa Katavi kwa miaka Mitatu ya Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Dkt Samia“ Na Liliani Vicent -Katavi Mkoa wa Katavi umepokea Fedha zaidi ya…
8 Aprili 2024, 12:33 um
Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini Sebastian Kapufi afuturisha
Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini Sebastian Kapufi.Picha na Mtandao “viongozi wa serikali na wasio waserikali wamekuwa na mchango katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa ramadhani katika dhehabu hilo kwa kutoa misaada mbalimbali ikiwemo kufuturisha” Na Deus Daudi-Katavi Mbunge…
8 Aprili 2024, 12:26 UM
Meneja Crdb Masasi akanusha uvumi mkopo wa Mama Samia
mikopo Meneja wa Crdb Masasi Heriethi Rechengura akanusha upotoshwaji wa taarifa za mikopo inayo tolewa na Crdb Kwa akili ya kuwainua wanawake na kuitwa mikopo hiyo niya Mama Samia. Bi Herieth amekanusha uvumi huo Kwa kutoa ufafanuzi kuwa mikopo iliyopo…