Habari za Jumla
25 April 2024, 16:44
Tunajivunia muungano kwani maendeleo yapo
Muungano wa Tanganyika na Zanzabar umeendelea kuwa nguzo ya umoja na mshikamano na kuchochea ukuaji wa maendeleo kupitia utekelezwaji wa miradi mbalimbali wa maendeleo. Na Kadislaus Ezekiel – Kigoma Wananchi Mkoani Kigoma, wamepongeza Serikali kwa kuendelea kuboresha huduma za afya…
25 April 2024, 16:05
DC Kasulu: Mnafanyia kazi mahali pachafu
Natamani kuona juhudi za serikali inazofanya kuboresha majengo ya vituo vya afya zinatumika pia kwenye kusimamia usafi ili wananchi wapate huduma mahali pasafi sio mgonjwa anakutana na uchafu hawezi hata kupona. Na Michael Mpunije – Kasulu Mkuu wa Wilaya ya…
25 April 2024, 14:49
Wanachuo Kasulu wakosa vifaa vya kujifunzia
Serikali imeombwa kusaidia kutatua changamoto ya ukosefu wa vifaa vya kujifunzia wanafunzi wa chuo cha ualimu kaslu Mkoani Kigoma. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Chuo cha Ualimu Kasulu (Kasulu TTC) kilichopo halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma kinakabiliwa na changamoto…
25 April 2024, 1:49 am
Dsw kuimarisha mifumo ya kuzuia ukatili wa kijinsia
ili kukabiliana na vitendo ya ukatili wa kijinsia kwa watoto jamii imetakiwa kuwa mstari wa mbele kutoa tarifa kwenye vyombo vya kisheria. MBEYA Na Lennox Mwamakula Shirika lisilo la kiserikali la DSW Tanzania linalojihusisha na masuala ya maendeleo Kwa vijana…
24 April 2024, 8:00 pm
DC Sengerema aongoza wananchi kupanda miti miaka 60 ya muungano
Katika Zoezi hili la Kumbukizi ya miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar jumla ya miche 800 imepandwa katika eneo la Hospitali ya Wilaya ya Sengerema sambamba na kufanya usafi katika Eneo hilo. Na:Kelvin Philipo Wananchi Wilayani Sengerema Mkoani…
24 April 2024, 19:42
CSK: watoa elimu ya ukatili Mtwara vijijini
Matukio ya ukatili wa kijinsia umekuwa ukitokea katika maeneo mbalimbali ya wilayani Mtwara hivyo ndio sababu iliyotufanya kuja kutoa elimu hapa katika Kijiji cha Nanguruwe. Na Gregory Milanzi Shirika lisilo la kiserikali la utafiti (CSK) kwa kushirikiana na Jeshi la…
24 April 2024, 15:02
Ujasiriamali kuwaponza walimu Kibondo
Baadhi ya walimu katika shule ya msingi Boma wilayani Kibondo mkoani Kigoma kwa kushirikiana na kamati ya shule hiyo wanatuhumiwa kuwazuwia wajasiliamali wadogo kuuza bidhaa zao kando na shule hiyo na badala yake walimu ndio wamegeuka wafanyabiashara badala ya kufundisha…
24 April 2024, 10:46
Maswa wanogesha muungano kwa kutoa madawati
Wakuu wa Idara Halmashauri ya Wilaya ya Maswa wamekabidhi Seti za Madawati Miatatu kwa ajili ya Shule za Msingi na Sekondari ili kupunguza Uhaba unaozikabiri shule hizo baada ya kujibana kwenye Bajeti za Matumizi ya Ofisi zao Na Nicholaus Machunda…
23 April 2024, 10:25 pm
Wasichana 8,035 kupata chanjo ya saratani ya malango wa kizazi Makete
kupitia kampeni ya Kitafa ya chanjo ya HPV kwa wasichana wa umri miaka Jumla wa wasichana 8035 wa umri wa kuanzia miaka 9-14 wanatarajia kupata chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi ,zoezi ambalo litafanyika kwa siku tano kuanzia April…
23 April 2024, 18:12
Dc Maswa awashukia viongozi wazembe
Wananchi wakeleka na utendaji kazi wa wenyeviti wa vitongoji na vijiji kushindwa kuwasikiliza kero zinawakabili ambazo zipo kwenye uwezo wa viongozi hao hivyo kuondoa uaminifu kwao Na,Paul Yohana Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Aswege Kaminyoge awewataka wenyeviti wa…