Radio Tadio

Habari za Jumla

17 February 2021, 9:56 AM

Barcelona wanyooshwa na PSG mabao 4-1

LICHA ya kutupia bao la kwanza mapema dakika ya 27 kwa mkwaju wa penalti,kupitia kwa Lionel Messi bado ilikubali kichapo cha mabao 4-1 mbele ya PSG, mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, hatua ya 16 bora. Barcelona imekuwa kwenye wakati…

17 February 2021, 6:28 am

Wananchi Makanda walia na ubovu wa barabara

Na,Mariam Matundu, Dodoma. Wakazi wa kata ya makanda Wilayani Manyoni wameiomba serikali kufanya ukarabati wa barabara ya Makanda –Kintiku iliyopeteza mawasiliano tangu mwezi desemba mwaka jana 2020.Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamesema kuharibika kwa barabara hiyo…

13 February 2021, 5:28 pm

Wafanyabiashara waridhia tozo ya shilingi 50,000.

Wafanyabiashara waliopanga katika vibanda vinavyomilikiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa vilivyoko katika kata ya Kasiki maeneo ya uhindini wamekubali kulipa tozo ya shilingi 50,000 kwa mwezi kwa kibanda hadi hapo vitakapofanyika vikao vya kisheria mara baada ya mwaka wa…

11 February 2021, 2:25 pm

Muda huu utumike kutoa elimu kwa wakulima

Na,Mariam Matundu, Dodoma. Kutokana na kusitishwa kwa maonesho ya Nanenane mwaka huu,wito umetolewa kutumia muda huu kutoa elimu kwa wakulima juu ya umuhimu wa nane nane na nini wanapaswa kufanya katika maonesho hayo ili yawanufaishe kwa miaka ijayo. Hayo yameelezwa…

11 February 2021, 2:00 pm

Wasiolipa ada ya usafi jijini Dodoma kukiona

Na,Yusuph Hans, Dodoma. Halmashauri ya jiji la Dodoma imeelezea baadhi ya adabu anazoweza kupewa mwananchi au kaya ambayo haitaki kulipa ada ya uzoaji taka, inayokusanywa kutokana na huduma hiyo kutolewa kila wiki. Akizungumza na Taswira ya Habari afisa afya wa…

11 February 2021, 1:34 pm

Viongozi wa dini watakiwa kukemea ukatili kwa vitendo

Na,Mariam Matundu, Dodoma. Wito umetolewa kwa viongozi wa dini kuwa mstari wa mbele katika kuelekeza jamii mambo mema, ikiwepo kupinga na kukemea vitendo vya ukatili wa kijinsia.Hayo yameelezwa na shekhe Abdishakul Maulid wakati akizungumza katika kipindi cha Dodoma Live kinachorushwa…

10 February 2021, 2:13 pm

Wafanya biashara watakiwa kufungua maduka.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya  Kilosa Asajile Lucas Mwambambale ametoa rai kwa wafanyabiashara waliopanga katika vibanda vya biashara vinavyomilikiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa vilivyopo katika kata ya Kasiki waliofunga maduka kufungua maduka hayo ili wananchi waendelee…

9 February 2021, 2:11 pm

Mpango mwingine wa miaka 10 waanzishwa kupunguza ajali

Na,Mariam Matundu, Dodoma. Kufuatia mpango kazi wa Dunia wa kuzuia ajali za barabarani kwa asilimia 50% wa miaka kumi iliyopita 2011 hadi 2020 kutokufika malengo, umeanzishwa mpango mwingine wa miaka 10, 2021 hadi 2030 unaoendana na malengo ya maendeleo endelevu.…