Radio Tadio

Habari za Jumla

24 October 2023, 14:13

Bonus et promotions du Casinozer casino en ligne

Blogs Dans cet article, nous allons explorer en détail les bonus et promotions offerts par le Casinozer Casino, une plate-forme de jeu en ligne renommée pour ses offres généreuses. Préparez-vous à découvrir pourquoi ce casino en ligne attire autant de…

14 October 2023, 06:16

LATRA yatoa msimamo wa upandaji wa nauli za daladala Mbeya

Madereva mbeya wamekuwa na mgomo ambao umepelekea changamoto ya ukosefu wa usafiri,na baadhi ya wahudumu kuwatoza abria nauli ya shilingi 700 kutoka mbalizi hadi kabwe tofauti na nauli ya awali ya shilingi 500. Mamlaka Ya Udhibiti Usafiri Ardhini LATRA mkoa…

3 October 2023, 6:01 am

DC Ileje aagiza machifu wapewe ushirikiano

Na Denis Sinkonde Mkuu wa wilaya ya Ileje mkoani Songwe Mhe.Farida Mgomi amewaagiza viongozi wa serikali wilayani humo kutoa ushirikiano na machifu kukemea matukio ya uvunjifu wa amani na uharibifu wa mazingira. Mgomi amesema hayo Oktoba 2,2023 ikiwa ni siku…

29 September 2023, 12:34 pm

TBA yaupiga mwingi mradi wa majengo mkoa wa Geita

Na Zubeda Handrish- GeitaWakala wa majengo Tanzania (TBA) kupitia kwa Meneja wa TBA mkoa wa Geita Mhandisi Gladys Jefta Septemba 28,2023 amesema awamu ya kwanza (phase one) ya ujenzi wa majengo saba ya serikali  katika Mkoa wa Geita imekamilika ambapo…

27 September 2023, 11:15 pm

Wanawake someni sayansi mkaongoze meli Pemba

Kutokana kwa uwepo wa wanawake wachache kwenye sekta ya bahari hasa kuwa mabaharia ndio asasi mbali mbali kuungana kuhamasisha maskuli ili wasome masomo ya sayansi wawepo kwenye sekta hiyo. Na Fatma Rashid Wanafunzi kisiwani Pemba wametakiwa kizingatia masomo ya sayansi…