Habari za Jumla
8 March 2021, 4:01 PM
Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani mkoa wa mtwara yafanyika wilayani masas…
Maadhimisho ya siku ya wanawake dunia ambayo huazimishwa kila mwaka ifikapo tarehe 8 mwezi wa 3 yamefikiwa kilele chake hii leo , maadhimisho hayo. katika mkoa wa mtwara yamiadhishwa katika wilaya ya msasasi uwanja wa boma na kuhudhuliwa na viongozi…
8 March 2021, 09:52 am
Waandishi wa Habari wanawake Mtwara waadhimisha IWD21
Waandishi wa Habari Wanawake kutoka Chama cha Waandishi wa Habari Mtwara (MTPC) Leo Machi 8, 2021 wameadhimisha siku ya Wanawake Duniani katika shule ya sekondari ya Mtwara Sisters. Akizungumza katika maadhimisho hayo mwenyekiti wa MTPC Grace Kasembe amesema wameona vyema…
6 March 2021, 14:54 pm
KIWOHEDE yatoa Taulo za kike siku ya wanawake Duniani
Siku ya wanawake Duniani imeadhimishwa leo Machi 6, 2021 katika Kata ya Nanguruwe Halmashauri ya wilaya ya Mtwara kwa taasisi na Mashirika ya mbalimbali kuwashika mkono wanawake katika kuadhimisha sikukuu hii muhimu. Mkuu wa wilaya ya Mtwara Danstan Kyobya amesema…
6 March 2021, 14:15 pm
Door of hope yatoa msaada kwa ajili ya siku ya Wanawake Duniani
Kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Leo 6, Machi 202, taasisi ya Door of Hope Tanzania imekabidhi kilo 200 za Mchele kwenye Halmashauri ya Mtwara Mikindani chini ya Idara ya Maendeleo ya jamii kama sehemu ya kuwashika mkono wanawake…
6 March 2021, 13:54 pm
TANESCO Mtwara wapewa siku 10 kukarabati mitambo ya kufua umeme
Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani ametoa agizo la kuhakikisha ndani ya siku 10 mashine mbili za kufua na kuzalisha umeme wa gesi asilia zinakamilika ili kuongeza upatikanaji wa umeme wa uhakika kwa Mtwara na Lindi. Waziri Kalemani ametoa agizo…
5 March 2021, 1:28 pm
Halmashauri yahamisha mnada wa Msalato
Na, Shani Nicholous, Dodoma. Halmashauri ya jiji la Dodoma imepanga kuuhamishia mnada wa Msalato pembezoni mwa Soko la Jobu Ndugai lililopo Kata ya Nzuguni. Mpango huo umepangwa kutekelezwa kabla ya nusu ya mwaka huu ambapo mnada huo unatarajiwa kuanzia juma…
5 March 2021, 1:14 pm
Wananchi Makulu wachekelea umeme wa REA
Na,Victor Chigwada, Dodoma. Wananchi wa Kata ya Dodoma Makulu jijini Dodoma wameishukuru Serikali kwa kufanikisha kusambaza umeme kupitia mpango wa umeme Vijijini REA, kwani kwa sasa huduma hiyo imefikia idadi kubwa ya kaya. Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya…
4 March 2021, 3:08 PM
Kipindi cha jamii yetu, unyanyasaji wa kijinsia
4 March 2021, 9:51 am
Jamii yasisitizwa kuendelea kuchukua tahadhari .
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi ameonyesha kuridhishwa kwake na utendaji kazi wa kitengo kinachosimamia utekelezaji wa afua mbalimbali katika kitengo cha magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele kwa namna ambavyo kimekuwa kikifanya majukumu yake na kutoa mrejesho chanya katika utekelezaji…
4 March 2021, 4:12 AM
TAASISI ya (TaTeDo) kwa kushirikiana na Shirika la WWf watoa mafunzo wajasiliam…
TAASISI ya kuendeleza Nishati Asili Tanzania (TaTeDo) kwa kushirikiana na Shirika la WWF wameanza kutoa mafunzo kwa wajasiliamali wadogo wanawake zaidi ya 20 kutoka katika vikundi 10 wilayani Masasi mkoani Mtwara ya kuwajengea uwezo wa umuhimu wa matumizi bora ya…