Radio Tadio

Habari za Jumla

27 September 2023, 14:34

Serikali yaombwa kuendelea kutoa elimu juu ya kukabiliana na majanga

Wataalam wamekuwa wakishauri wafanyabiashara, wananchi kufundishwa kukabiliana na majanga ya moto ikiwemo Kuepuka makazi holela, kuhimiza miundombinu ya kisasa pamoja utekelezaji wa sheria upewe kipaumbele. Katende Kandole. Baadhi ya wakazi wa jiji la Dodoma wameiomba serikali kuendelea kutoa elimu kwa jamii…

22 September 2023, 17:45

Vyombo vya habari Kagera kuchochea miradi ya maendeleo

Mradi wa bomba la mafuta ni miongoni mwa miradi ya kimkakati inayotekelezwa na serikali unaohusisha nchi mbili kwa  maana ya Tanzania na Uganda hivyo waandishi wa habari hawana budi kueleza wananchi habari sahihi na kwa wakati juu ya mwenendo wa…

19 September 2023, 10:44 pm

Mgogoro wakulima na wafugaji waitesa Chikobe

Changamoto ya wakulima na wafugaji bado imeendelea kusumbua katika baadhi ya maeneo mkoani Geita. Na Said Sindo- Geita Wakulima wa kijiji cha Chikobe kata ya Nyachiluluma, wilayani na mkoani Geita wamesema wapo hatarini kukumbwa na njaa baada ya mashamba yao…

19 September 2023, 9:21 pm

Wananchi Makete waishukuru serikali kutoa pembejeo kwa wakati

Kuelekea msimu wa kupanda mazao wananchi wameendelea kujitokeza katika vituo vya pembejeo kwa ajili ya kuchukua mbolea, ikiwa ni siku chache baada ya serikali kutangaza wakulima kuhakiki taarifa zao. Na Aldo Sanga. Wananchi wamejitokeza kwa wingi kwenye vituo vya pembejeo…

12 September 2023, 11:55 am

Sekta ya Maendeleo Mufindi yapewa kongole

Lengo letu ni kusaidia sekta zote kama tulivyoanza na sekta ya Afya na shughuli mbalimbali za maendeleo Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mufindi Festo Mgina akipokea Cheti cha Pongezi kutoka kwa mkuu wa taasisi ya Vijana ( Youth Agency…

11 September 2023, 12:51 pm

Wazazi wilayani Kyela wahimizwa kuwapeleka watoto kliniki

Katika jitihada za kuhakikisha watoto wanakuwa na afya bora, katibu wa watoa huduma za afya kwa watoto wilaya ya Kyela Bakari Samson amewaasa wazazi na walezi kuhakikisha watoto wanapelekwa kliniki Na Secilia Nkili Imeelezwa kuwa kutompeleka mtoto mwenye umri chini…

8 September 2023, 12:56 pm

Kamati za kupinga ukatili Zanzibar zatoa neno kupunguza talaka

Visiwani Zanziabar kumekuwa na engezeko la talaka kila siku hali hiyo ndio imepelekea  kamati maalum ya kupinga  vitendo vya udhalilishaji  Zanzibar kutoa ushauri kwa serikali kwa kutoa elimu hiyo skuli na madrsa. Na Mwandishi wetu. Kamati za kupinga vitendo vya…