Habari za Jumla
26 Aprili 2023, 2:46 um
Wanaushirika Kilombero wapatiwa mafunzo
wanachama wa ushirika wa uvuvi,usindikaji na masoko wakifuatilia mafunzo{Picha na Elias Maganga} Vyama vingi vya ushirika vimekufa kutokana na kutokuwa na elimu ya ushirika na kutokuwa na siri, hivyo wanachama wametakiwa kuitumia elimu waliyoipata ili kuundeleza ushirika huo Na Elias…
26 Aprili 2023, 9:21 mu
BUNDA QUEENS YAREJEA KWA KISHINDO NA KUPOKELEWA NA MKUU WA WILAYA DKT. VICENT AN…
Mabingwa wa ligi Daraja la kwanza wanawake Bunda Queens yarejea nyumbani kwa kishindo na kupokelewa na Mkuu wa Wilaya pamoja na mamia ya wakazi wa Bunda katika uwanja wa sabasaba. Bunda Queens kwa heshima ya waliyoileta Bunda wamemkabidhi Mheshimiwa Mkuu…
25 Aprili 2023, 4:24 um
Bunda kinara wizi wa fedha za miradi ya maendeleo mkoani Mara
Imeelezwa kua katika miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali mkoani Mara Wilaya ya Bunda inaongoza kwa wizi wa vifaa vya ujenzi wa miradi hiyo jambo ambalo linarudisha nyuma juhudi za serikali. Hayo yamebainishwa na mkuu wa Mkoa wa Mara Meja…
17 Aprili 2023, 4:41 um
Mbunge Kabati aiomba Serikali kukarabati Barabara korofi Iringa.
Wananchi wa Iringa wanashindwa kufanya shughuli za kiuchumi kutokana na ubovu wa miundombinu ya Barabara. Na Hafidh Ally Serikali imeombwa kukarabati barabara Korofi za Mkoani Iringa ambazo zimekuwa hazipiti katika kipindi cha Mvua ili kufungua shughuli za kiuchumi. Hayo yamezungumzwa…
11 Aprili 2023, 8:46 UM
Mapokezi ya mwenge wa uhuru halmashauri ya mji Masasi
makabidhiano ya Mwenge wa uhuru Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Masasi Ndg Elias Ntiruhungwa. Ukiwa Halmashauri ya Mji Mwenge wa Uhuru utakimbizwa Kilometa 81 na utapita katika Miradi 5…
11 Aprili 2023, 11:05 mu
Simanzi: Binti aliyejinyonga Pangani
Binti mmoja anayefahamika kwa jina la Mwajuma Fadhili anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 14 mwanafunzi wa Darasa la Saba wa shule ya Msingi Kimangāa wilayani pangani Mkoani Tanga amekutwa amejinyonga Aprili 9 usiku. Akizungumza na Pangani FM kaimu mkuu…
7 Aprili 2023, 7:10 mu
Watu 5 Katavi Wakamatwa na Kilo 4 na Kete 209 za Bangi
MPANDA Jeshi la polisi mkoa wa katavi limefanikiwa kuwakamata watu watano wakiwa na kilo nne na kete mia mbili na tisa za madawa ya kulevya aina ya bangi. Akizungumza na waandishi wa habari kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa…
5 Aprili 2023, 3:53 um
Wanaushirika wakubaliana kuongeza hisa pamoja na michango-Kilombero
Wanachama wa Chama cha Ushirika cha Uvuvi,Usindikaji na Masoko Kilombero wakiwa kenye mkutano Chama cha Ushirika cha Uvuvi,UsindikajiĀ na Masoko Kilombero kimeundwa kwalengo la kuwaunganisha Wavuvi wote wanaojihusha na Uvuvi na hio itasaidia kudhibiti uvuvi haramu ili kuulinda Mto Kilombero…
4 Aprili 2023, 5:53 mu
Wananchi Mpanda Watoa Maoni Mseto Juu ya Damuchafu
MPANDA Baadhi Ya wananchi wa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametoa maoni mseto juu ya wimbi lililoibuka la watu wanaofanya matukio ya kupora na kuiba mitaani maarufu kama Damu Chafu. Wameyasema hayo kwa nyakati tofauti wakati wakizungumza na kituo hiki…