Habari za Jumla
11 Septemba 2023, 12:51
Wazazi wilayani Kyela wahimizwa kuwapeleka watoto kliniki
Katika jitihada za kuhakikisha watoto wanakuwa na afya bora, katibu wa watoa huduma za afya kwa watoto wilaya ya Kyela Bakari Samson amewaasa wazazi na walezi kuhakikisha watoto wanapelekwa kliniki Na Secilia Nkili Imeelezwa kuwa kutompeleka mtoto mwenye umri chini…
8 Septemba 2023, 12:56 um
Kamati za kupinga ukatili Zanzibar zatoa neno kupunguza talaka
Visiwani Zanziabar kumekuwa na engezeko la talaka kila siku hali hiyo ndio imepelekea kamati maalum ya kupinga vitendo vya udhalilishaji Zanzibar kutoa ushauri kwa serikali kwa kutoa elimu hiyo skuli na madrsa. Na Mwandishi wetu. Kamati za kupinga vitendo vya…
27/08/2023, 15:21
Kijana ajinyonga Pemba
Na Is-haka Mohammed Mtu mmoja anayejulikana kwa jina Moh’d Omar Juma maarufu Magodoro anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30 mkaazi wa Machomanne Kilimo amefariki dunia baada ya kuonekana akining’inia katika chumba kwa kujinyonga. Khamis Issa Moh`d ni Mwanafamilia wa…
18 Agosti 2023, 12:21 um
Ujenzi daraja mto Lufilyo mkombozi kwa wakazi wa Luteba, Lufilyo
Na Lennox Mwamakula Wananchi wa kata ya Luteba Halmashauri ya Busokelo wameonesha kufurahishwa na ujenzi wa daraja ambalo linaunganisha kata ya Luteba na Lufilyo. Akiongea katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Lulasi kata ya Luteba Mbunge wa Jimbo la…
18 Agosti 2023, 10:05 mu
Takukuru Simiyu yaokoa milioni 500 za mfanyabiashara
TAKUKURU mkoa wa Simiyu imeokoa mamilioni ya fedha za mfanyabiashara ambaye mali zake zingepigwa mnada kwa bei ya kutupwa. Na Nicholaus Machunda Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU mkoa wa Simiyu imefanikiwa kudhibiti upotevu wa zaidi ya Shilingi …
16/08/2023, 12:10
Kipindi: Mwangaza wa habari
Na Ivan Mapunda. Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa kaskazini Unguja amewataka madereva kufuata sheria za usalama barabarani ili kuepukana na ajali.
15 Agosti 2023, 4:38 um
DC Mjaja: Wazazi, walezi wazuie watoto kuokota karafuu kuwakinga na udhalilishaj…
Mkuu wa wilaya ya Mkoani anawataka wazazi na walezi wasiwaruhusu watoto wao kuokota karafuu(mpeta) kwa kuhofia vitendo vya udhalilisha kwai matendo hayo yanaendezeka sana wakati wa msimu wa zao hili linapokuja kila mwaka. Na Amina Masoud Wazazi na walezi kisiwani…
9 Agosti 2023, 15:22
Jamii yaeleza kutokuwa na elimu ya kutosha juu ya vifaa vya kuzima moto
Jeshi la zimamoto na uokoaji limekuwa kikisisitiza matumizi ya vifaa hivi katika jamii ingawa baadhi ya wananchi wanasema kuwa ipo haja kwa jeshi hilo kuongeza nguvu ili elimu hiyo izidi kuwafikia wananchi wengi. Na Thadei Tesha. Ili kukabiliana na majanga…
8 Agosti 2023, 7:24 um
Itilima:Jela miaka 30 kwa Kubaka,Kumtorosha na Kumshawishi kumuoa mwanafunzi
Mahakama ya wilaya ya Itilima imemuhukumu ,Malimi Masunga kwenda jela miaka 30 kwa makosa matatu,Kubaka ,Kumtorosha na kumshawishi kumuoa mwanafunzi chini ya miaka 16. Na,Daniel Manyanga Mahakama ya wilaya ya Itilima mkoani Simiyu imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela, Malimi…
7 Agosti 2023, 17:29
Vijana waomba utaratibu mzuri upatikanaji wa fursa
Tarehe 12 Agost ni maadhimisho ya siku ya vijana duniani ambapo pia huadhimishwa kwa kufanya makongamano mbalimbali yenye lengo la kujadili fursa na changamoto zinazowakabili vijana katika maeneo yao. Na Thadei Tesha. Baadhi ya vijana jijini Dodoma wameiomba serikali kuweka…