Elimu
30 Oktoba 2023, 17:35
Songwe madereva wapigwa stop ulevi
Miongoni mwa sababu kubwa ya ajali za barabarani ni kwa baadhi ya madereva kutumia vilevi kupindukia wanapokuwa barabarani wakiendesha vyombo vya vya moto,baada ya kuini hili kumekuwepo na ukaguzi uanao fanywa na jeshi la polisi kwenye vituo vya kuazia safari…
30 Oktoba 2023, 5:19 um
Rc Simiyu aonya Wanaume wanaonyemelea Wanafunzi wa Kike na kukat…
Na Nicholaus Machunda Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt Yahaya Nawanda amewaonya Wanaume wote wanaotongoza Wanafunzi na kuwapatia Ujauzito unaopelekea kukatisha ndoto zao za Masomo. RC Nawanda amesema hayo katika Ziara yake Wilayani Maswa ya kukagua Miradi mbalimbali ya Maendeleo …
30 Oktoba 2023, 12:20 um
Umbali mrefu chanzo wanafunzi kukatisha masomo Mbandee
Kupitia mradi wa BOOST umeendelea kuimarisha elimu msingi kwani takribani shilingi trilioni moja zimejenga madarasa ya shule za msingi 9,705 na kukarabati shule za msingi kongwe kwa mwaka wa fedha 2022/23. Na Mindi Joseph. Umbali mrefu wanaotembea wanafunzi wa kitongoji…
27 Oktoba 2023, 9:14 um
Bashungwa: Serikali inaendelea kuboresha maslahi ya walimu
Na Jovinus Ezekiel Waziri wa ujenzi na mbunge wa jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa amewahakikishia walimu wa wilaya ya Karagwe kuwafikishia changamoto zinazowakabili ikewemo madeni ya walimu na kikokotoo cha malipo ya msitaafu kutokuwa rafiki kwa serikali ili ziweze kupatiwa…
27 Oktoba 2023, 6:14 um
Kamati za mitihani Zanzibar zatakiwa kuzingatia maadili
Kufuatia kufanyika mitihani ya taifa ya hivi karibuni Zanzibar, kamati maalum za usimamizi zimetakiwa kuwa waaminifu kwenye usimamizi wao na kuhakikisha wanafanya kazi inavyotakiwa kwa kufuatia miongozo yao. Na Amina Masoud. Kamati za za mitihani za mikoa na wilaya zimetakiwa…
26 Oktoba 2023, 16:06
RPC Mbeya awataka wanafunzi kuacha uharifu
Katika kupambana na ugarifu elimu inapaswa kuanzia chini ya ngazi ya familia hasa kwa watoto ,mkoa wa mbeya kupitia jeshi la polisi limekuwa na utaratibu wa kutoa elimu kupitia shule mbalimbali ili kukabiliana na matukio ya kiharifu ikiwemo ukatili wa…
26 Oktoba 2023, 13:40
Zaidi ya wanafunzi wa kike 130 wapatiwa taulo za kike Yalawe sekondari Mbeya Dc
Mtoto wa kike amekuwa akipitia madhira kadhaa ambazo zimekuwa zikimfanya kukosa masomo,wengine kutokana na ugumu wa maisha waliyonayo wazazi wao wamekuwa wakiacha shule na kujikuta wakishindwa kutimiza ndoto zao,hali hiyo imekuwa ikichochea uwepo wa ndoa za utotoni. Na Hobokela Lwinga…
25 Oktoba 2023, 13:54
Miundombinu mibovu, uhaba wa vifaa vyaitesa shule ya msingi Rutale
Na, Lucas Hoha Licha ya wadau wa maendeleo na serikali kufanya jitihada za kupunguza uhaba wa miundombinu ya madawati na matundu ya vyoo katika shule ya msingi Rutale iliyopo kata ya Kipampa manispaa ya Kigoma Ujiji, bado shule hiyo inakabiliwa…
25 Oktoba 2023, 12:18 um
Wazazi shirikianeni katika malezi ya watoto wenu wapate elimu bora
Kila mmoja akisimama katika nafasi yake itapunguza wanafunzi kuzurura mitaani na kuacha utoro. Na Saa Zumo. Wazazi na walezi wameshauriwa kuwa na ushirikiano katika malezi na makuzi ya watoto ili kuwawezesha kusoma kwa bidii na kufikia malengo yao. Hayo yamejiri…
24 Oktoba 2023, 16:47
Sekondari ya Shisyete yakabiliwa na uhaba wa walimu, vifaa
Wakati mapambano ya kuhakikisha wanafunzi wanakuwa na mazingira mazuri hali hiyo si nzuri katika shule ya sekondari Shisyete iliyoko Mbeya Dc nakilio hicho kikitolewa na wanafunzi wa shule. Na josea sinkala Shule ya sekondari Shisyete kata ya Shizuvi wilayani Mbeya…