Radio Tadio

Elimu

30 Oktoba 2023, 17:35

Songwe madereva wapigwa stop ulevi

Miongoni mwa sababu kubwa ya ajali za barabarani ni kwa baadhi ya madereva kutumia vilevi kupindukia wanapokuwa barabarani wakiendesha vyombo vya vya moto,baada ya kuini hili kumekuwepo na ukaguzi uanao fanywa na jeshi la polisi kwenye vituo vya kuazia safari…

30 Oktoba 2023, 12:20 um

Umbali mrefu chanzo wanafunzi kukatisha masomo Mbandee

Kupitia mradi wa BOOST umeendelea kuimarisha elimu msingi kwani takribani shilingi trilioni moja zimejenga madarasa ya shule za msingi 9,705 na kukarabati shule za msingi kongwe kwa mwaka wa fedha 2022/23. Na Mindi Joseph. Umbali mrefu wanaotembea wanafunzi wa kitongoji…

27 Oktoba 2023, 9:14 um

Bashungwa: Serikali inaendelea kuboresha maslahi ya walimu

Na Jovinus Ezekiel Waziri wa ujenzi na mbunge wa jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa amewahakikishia walimu wa wilaya ya  Karagwe kuwafikishia changamoto zinazowakabili ikewemo madeni ya walimu na kikokotoo cha malipo ya  msitaafu kutokuwa rafiki kwa serikali ili ziweze kupatiwa…

27 Oktoba 2023, 6:14 um

Kamati za mitihani Zanzibar zatakiwa kuzingatia maadili

Kufuatia kufanyika mitihani ya taifa ya  hivi karibuni  Zanzibar,  kamati maalum za usimamizi zimetakiwa kuwa waaminifu kwenye usimamizi wao na kuhakikisha  wanafanya kazi inavyotakiwa kwa kufuatia miongozo yao. Na Amina  Masoud. Kamati za za mitihani za mikoa na wilaya zimetakiwa…

26 Oktoba 2023, 16:06

RPC Mbeya awataka wanafunzi kuacha uharifu

Katika kupambana na ugarifu elimu inapaswa kuanzia chini ya ngazi ya familia hasa kwa watoto ,mkoa wa mbeya kupitia jeshi la polisi limekuwa na utaratibu wa kutoa elimu kupitia shule mbalimbali ili kukabiliana na matukio ya kiharifu ikiwemo ukatili wa…

24 Oktoba 2023, 16:47

Sekondari ya Shisyete yakabiliwa na uhaba wa walimu, vifaa

Wakati mapambano ya kuhakikisha wanafunzi wanakuwa na mazingira mazuri hali hiyo si nzuri  katika shule ya sekondari Shisyete iliyoko Mbeya Dc nakilio hicho kikitolewa na wanafunzi wa shule. Na josea sinkala Shule ya sekondari Shisyete kata ya Shizuvi wilayani Mbeya…