Radio Tadio

Elimu

27 Oktoba 2023, 6:14 um

Kamati za mitihani Zanzibar zatakiwa kuzingatia maadili

Kufuatia kufanyika mitihani ya taifa ya  hivi karibuni  Zanzibar,  kamati maalum za usimamizi zimetakiwa kuwa waaminifu kwenye usimamizi wao na kuhakikisha  wanafanya kazi inavyotakiwa kwa kufuatia miongozo yao. Na Amina  Masoud. Kamati za za mitihani za mikoa na wilaya zimetakiwa…

26 Oktoba 2023, 16:06

RPC Mbeya awataka wanafunzi kuacha uharifu

Katika kupambana na ugarifu elimu inapaswa kuanzia chini ya ngazi ya familia hasa kwa watoto ,mkoa wa mbeya kupitia jeshi la polisi limekuwa na utaratibu wa kutoa elimu kupitia shule mbalimbali ili kukabiliana na matukio ya kiharifu ikiwemo ukatili wa…

24 Oktoba 2023, 16:47

Sekondari ya Shisyete yakabiliwa na uhaba wa walimu, vifaa

Wakati mapambano ya kuhakikisha wanafunzi wanakuwa na mazingira mazuri hali hiyo si nzuri  katika shule ya sekondari Shisyete iliyoko Mbeya Dc nakilio hicho kikitolewa na wanafunzi wa shule. Na josea sinkala Shule ya sekondari Shisyete kata ya Shizuvi wilayani Mbeya…

24 Oktoba 2023, 4:08 mu

Dawati Katavi kusimama na wanafunzi

Dawati la jinsia na watoto Katavi laahidi Kuwalinda wanafunzi ili waweze kutimiza Ndoto Zao. KataviKitengo cha Dawati la jinsia na watoto Mkoani Katavi Kimewahakikishia Kuwalinda wanafunzi Dhidi ya mienendo Mibovu ili waweze kutimiza Ndoto Zao. Akizungumza na wanafunzi wa shule…