Radio Tadio

Elimu

October 5, 2023, 8:52 am

Serikali yatoa fedha ujenzi wa madarasa

Kutokana na upungufu wa vyumba vya madarasa katika shule ya sekondari Matamba serikali imetoa fedha shilingi milioni 700 kutatua changamoto hiyo, Na mwandishi wetu. Zaidi ya Shilingi Milioni 700 zimetolewa na Serikali kujenga madarasa, bweni na yoo katika shule ya…

4 October 2023, 3:44 pm

NMB yatoa msaada wa dawati 100 Nyasura

Katika kuadhimisha wiki ya huduma Kwa wateja banki ya NMB tawi la Bunda wametoa msaada wa madawati 100 kwa sule ya msingi ya Nyasura iliyopo kata ya Nyasura halamshauri ya mji wa Bunda mkoani Mara. Na Adelinus Banenwa Katika kuadhimisha…

4 October 2023, 11:01

Wadau wa elimu Kigoma watakiwa kusaidia kuboresha miundombinu

Serikali imeomba wadau wa elimu kuendelea kusaidia katika kuboresha miundombinu ya elimu Mkoani Kigoma. Na Hagai Ruyagila Wadau wa elimu mkoani Kigoma wametakiwa kuunga mkono juhudi za serikali katika kuboresha sekta ya elimu kwa kuchangia upatikanaji wa miundombinu bora kwa…

30 September 2023, 3:04 pm

Taulo zimekuwa mkombozi kwa wanafunzi wa kike mashuleni

wanafunzi wa shule ya sekondari tukuyu wilayani Rungwe wakiwa wanapokea taulo[picha na lennox mwamakula] jamii imetakiwa kuendelea kumsaidia mtoto wa kike ili aweze kuondokana na vikwazo vinavyoweza kumkwamisha kutimiza ndoto zake RUNGWE-MBEYA Na lennox mwamakula Jumla ya pisi elfu ishirini…

September 29, 2023, 9:04 am

Fedha zatolewa na serikali ujenzi wa nyumba za walimu Makete

Ikiwa ni mwendelezo wa ujenzi wa shule ya Makete ilitopo katika kata ya Mlondwe wilayani Makete serkali imeendelea kutoa fedha kwaajili ya kukamilisha Ujenzi wa Miundombinu ya shule hiyo na Furahisha Nundu Kiasi cha shilingi milioniĀ  100 kimetolewa na serikali…