Elimu
Novemba 27, 2023, 7:24 um
Kamishna msaidizi, mkuu wa hifadhi ya Kitulo kuchangia mifuko 10 ya saruji Veta…
kutokana na jitihada za serikali kuendelea kujenga vyuo vya veta nchini imekuwa ni chachu kwa vijana kunufaika na mafunzo hayo katika kujiinua kiuchumi na shafii Kamishna msaidizi na mkuu wa hifadhi ya kitulo ambaye pia alikuwa mgeni rasmi katika maafali…
27 Novemba 2023, 3:54 um
Jeshi la Polisi Zanzibar kutumia vifaa vya kidijitali
Na Omary Hassan Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Hamad Khamis Hamad amesema Utendaji wa kusimamia Sheria wa Jeshi la Polisi lazima ubadilike kwa kujikita katika matumizi ya taaluma na vifaa vya kisasa ili kukabiliana na mabadiliko ya Sayansi na Teknolojia yanaoendana na mabadiliko…
20 Novemba 2023, 7:35 um
RC Katavi awapongeza na kuwatakia kila la heri wanafunzi kidato cha nne
Picha na Mtandao Jumla ya Wanafunzi 5233 wanafanya mtihani wa kuhitimu kidato cha Nne Mkoani Katavi ambapo Mkuu wa Mkoa huo amewapongeza walimu wote kwa maandalizi ya kuhakikisha wanafunzi wanafanya vizuri Na Betrod Benjamini -Katavi Mkuu wa mkoa wa Katavi…
20 Novemba 2023, 4:10 um
Michango ya chakula mashuleni kuchochea ufaulu Rungwe
uwepo wa chakula mashuleni kunasaidia kuongeza ufaulu kwa mwanafunzi pia kuna mjengea uwezo wa uwelewa RUNGWE -MBEYA Na Lennox mwamakula Mkuu wa shule ya msingi Mabonde iliyopo wilayani Rungwe mkoani Mbeya Christine Ndimbo amewaomba wazazi na walezi kujenga utamadudu wa…
20 Novemba 2023, 9:46 mu
Shule ya msingi Njiapanda yanufaika na mradi wa ‘kizazi hodari’
Na Godfrey Mengele Shule ya msingi njiapanda iliyopo kata ya Mwangata Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Mkoani Iringa imenufaika na mradi wa kizazi Hodari unaotekelezwa na USAID kanda ya kusini wenye lengo la kuwasaidia Watoto yatima wanaoishi na maambukizi ya…
18 Novemba 2023, 8:48 um
Ukosefu wa maji, upungufu wa mabweni tatizo chuo cha Kisangwa Bunda
Imeelezwa kuwa ukosefu wa maji safi na salama, upungufu wa mabweni Bado ni changamoto chuo Cha Maendeleo ya wananchi kisangwa FDC. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ukosefu wa maji safi na salama, upungufu wa mabweni Bado ni changamoto chuo Cha…
17 Novemba 2023, 21:21
Coplo Kinyaga:Mnaweza kuisaidia jamii kuwa salama na majanga
Na Sifael kyonjola Jeshi la zimamoto na uokoaji mkoa wa Mbeya limetoa mafunzo kwa waandishi wa habari jinsi ya kukabiliana na majanga ya moto yanapotokea katika jamii inayowazunguka. Mafunzo hayo yametolewa na afisa habari zimamoto na uokoaji mkoa wa Mbeya…
17 Novemba 2023, 16:56
Wanahabari Mbeya wapewa mbinu za kukabiliana na majanga ya moto
Na Mwanaisha Makumbuli Wanachama wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Mbeya, (MBPC) wamepewa mafunzo ya kukabiliana na majanga ya moto ili kuwajengea uwezo wa kujikinga na kuchukua tahadhari dhidi ya majanga hayo. Pia mafunzo hayo ya siku moja…
17 Novemba 2023, 9:55 MU
Wanafunzi Masasi wahimizwa kupambana na vitendo vya ukatili
MASASI. Mwenyekiti wa kampeni ya kupinga vitendo vya ukatili idara ye elimu mkoa wa Mtwara Kristine Simo, ambaye pia ni mwenyekiti wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Upendo Charity inayojishughulisha na kusaidia jamii yenye uhitaji iliyopo wilayani Masasi, amewataka wanafunzi…
15 Novemba 2023, 3:34 um
Shule ya msingi Chilanjilizi yalia na uhaba wa walimu wakike
Shule zenye wanafunzi mchanganyiko ni vyema kuwa na walimu wa jinsia zote kwani Watoto wa kike shuleni wanahitaji uangalizi ili kuwapa ujasiri na uwezo wa kueleza matatizo yanayowakuta wasichana wawapo shuleni. Na Victor Chigwada Wananchi wa Kata ya Ngomai wilayani…