Radio Tadio

Elimu

27 Novemba 2023, 3:54 um

Jeshi la Polisi Zanzibar kutumia vifaa vya kidijitali

Na Omary Hassan Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Hamad Khamis Hamad amesema Utendaji wa kusimamia Sheria wa Jeshi la Polisi lazima ubadilike kwa kujikita katika matumizi ya taaluma na vifaa vya kisasa ili kukabiliana na mabadiliko ya Sayansi na Teknolojia yanaoendana na mabadiliko…

20 Novemba 2023, 4:10 um

Michango ya chakula mashuleni kuchochea ufaulu Rungwe

uwepo wa chakula mashuleni kunasaidia kuongeza ufaulu kwa mwanafunzi pia kuna mjengea uwezo wa uwelewa RUNGWE -MBEYA Na Lennox mwamakula Mkuu wa shule ya msingi Mabonde iliyopo wilayani Rungwe mkoani Mbeya  Christine Ndimbo amewaomba wazazi na walezi kujenga utamadudu wa…

17 Novemba 2023, 9:55 MU

Wanafunzi Masasi wahimizwa kupambana na vitendo vya ukatili

MASASI. Mwenyekiti wa kampeni ya kupinga vitendo vya ukatili idara ye elimu mkoa wa Mtwara Kristine Simo, ambaye pia ni mwenyekiti wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Upendo Charity inayojishughulisha na kusaidia jamii yenye uhitaji iliyopo wilayani Masasi, amewataka wanafunzi…

15 Novemba 2023, 3:34 um

Shule ya msingi Chilanjilizi yalia na uhaba wa walimu wakike

Shule zenye wanafunzi mchanganyiko ni vyema kuwa na walimu wa jinsia zote kwani Watoto wa kike shuleni  wanahitaji uangalizi ili kuwapa ujasiri na uwezo wa kueleza matatizo yanayowakuta wasichana wawapo shuleni. Na Victor Chigwada                 Wananchi wa Kata ya Ngomai wilayani…