
Ajira

February 18, 2025, 6:26 pm
watano wafariki dunia katika bwawa lililochimbwa na mkandarasi
Tukio limetokea Febuari 15 katika kijiji hicho na kuhusisha watoto wanne wa kike wa familia mbili tofauti ambao walikuwa wakiogelea katika bwawa hilo Na Salvatory Ntandu Wakazi watano wa Kijiji cha Bulige Wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamefariki dunia kwa kuzama…

10 February 2025, 1:07 pm
RUWASA kusambaza mita za maji za malipo kabla
Na Mzidalfa Zaid Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini RUWASA inatarajia kusambaza mita za maji za malipo kabla ya matumizi baada mafanikio ya kufunga mita za majaribio Kwa wananchi ambazo zimeanza kuonesha mafanikio makubwa. Akiongea wakati wa…

February 6, 2025, 11:23 am
Miili ya wachimbaji wadogo waliofariki mgodi wa Nkandi yaagwa Kahama
Mpaka sasa miili miwili kati ya mitatu ya wachimbaji wanaodhaniwa kufukiwa na kifusi ndani ya mgodi wa Nkandi uliopo eneo la mwime Wilayani Kahama imepatikana, huku mmoja ukiendelea kutafutwa na leo miili miwili imekabidhiwa kwa ndugu kwa ajili ya kusafirishwa…

19 January 2025, 2:30 pm
Baraza la Madiwani Sengerema lapitisha bajeti ya 66b
Halmashauri ya Sengerema kwa bajeti ya Mwaka 2023/24 iliweza kufanya vizuri na kuvuka lengo kwa Asilimia 115 na bajeti ya sasa ya 2024/25 mpaka kufikia january hii imefikia asilimia 55,pia imepitisha mpango wa bajeti wa 2025/26. Na;Elisha Magege Halmashauri ya…

12 November 2024, 3:28 pm
Wananchi 226 walipwa fidia wilayani Nyang’hwale
Jumla ya wananchi 226 katika kata ya Mwingiro wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita wamelipwa fidia ya zaidi ya shilingi bilioni 7.2 kutokana na maeneo yao kuchukuliwa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa zaidi ya miaka 20 . Na: Kale Chongela – Geita…

14 October 2024, 13:41
Vijana wa kanisa la Moravian washiriki mkutano na kujifunza neno la Mungu
Takribani siku nne vijana wa kanisa la Moravian wamekuwa na Mkutano wa kujifunza neno la Mungu. Na Hobokela Lwinga Vijana kati kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi wamehitimisha Mkutano wao mkuu wa Jimbo uliofanyika katika ushirika wa Mkwajuni…

12 October 2024, 09:33
Vijana KMT-JKM wafanya mkutano mkuu Songwe
kumalizika kwa Mkutano mkuu wa Jimbo kwa kanisa la Moravian Tanzania kunatoa fursa kwa vijana hao kuanza maandalizi ya mkuu wa kanisa la Moravian Tanzania (KMT) ambao utafanyika jijini Dodoma. Na Hobokela Lwinga Vijana kati wa kanisa la Moravian tanzania…

6 September 2024, 13:46
Vijana watakiwa kutojihusisha na vurugu ndani ya kanisa
Ili kuwa na kizazi chenye maadili mema kanisa la Moravian limekuwa na Utaratibu wa kuratibu mikutano mbalimbali kwenye idara Zake ikiwemo vijana ili kuwafundisha kumjua Mungu. Na Hobokela Lwinga Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi limewataka vijana kuwa…

18 January 2024, 14:33
Waziri Ndalichako atoa wito kuwaandikisha shule watoto wenye ulemavu
Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu kazi, vijana, ajira na wenye ulemavu Nchini Tanzania Profesa Joyce Ndalichako amewataka wazazi na walezi Wilayani Kasulu mkoani Kigoma kuwaandikisha shule watoto wao wenye ulemavu ili waweze kupatiwa elimu itakayo wasaidia kutimiza ndoto…

10 January 2024, 12:04 am
Ajira katika umri Mdogo zinavyo kwamisha ndoto za mabinti
Kama mwajiri atatoa madai kwamba hakufahamu kwamba mtu aliyemuajiri ni mtoto wakati wa kumpa ajira au kudai kupewa taarifa zisizo sahihi watakua na wajibu wa kuthibitisha kua ilikua sahihi kwa wao au mtu mwingine yeyote mwenye akili timamu kuamini kwamba…