Ajira
4 August 2026, 10:43
Kasulu yapata 100% ya ufaulu kidato cha sita 2026
Kwa matokeo hayo ya asilimia 100 ya ufaulu wa kidato cha sita, Halmashauri ya Mji Kasulu inaendelea kuthibitisha dhamira yake ya kuimarisha sekta ya elimu na kuzalisha wahitimu wenye uwezo wa kuchangia maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla Na…
1 August 2026, 22:40
Polisi Kusini Unguja wapeleka tabasamu kwa watoto yatima
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja limetoa msaada wa mahitaji mbalimbali kwa Kituo cha Watoto Yatima cha Maftuh Foundation, Kibele, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Polisi Jamii na kuonesha dhamira ya kushirikiana na jamii. Kamanda wa…
1 August 2026, 13:10
Madereva wa matrekta, power tiller waaswa
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kilombero limewataka madereva wa matrekta na Power Tiller kuzingatia sheria za usalama barabarani, huku likieleza kuwa Power Tiller hairuhusiwi kubeba abiria kwa mujibu wa sheria. Na: Isidory Mtunda Madereva wa matrekta na Power Tiller katika…
30 July 2026, 23:00
Mbunge arejesha matumaini kwa mtoto mwenye uvimbe wa jicho
Baada ya taarifa za mtoto Jamal kusambaa mitandaoni akiomba msaada wa matibabu, Mbunge wa Jimbo la Fuoni, Asha Hussein Saleh, amejitokeza kumtembelea na kumpeleka Hospitali ya Lumumba kwa uchunguzi na matibabu. Madaktari wamebaini kuwa uvimbe alionao si saratani na mtoto…
30 July 2026, 09:47
Madereva wa Matrekta Mlimba Wapewa Elimu
Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro limefanya mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa wamiliki na madereva wa matrekta na power tiller katika Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba. Mafunzo hayo yamelenga kupunguza ajali, vifo, na majeraha, huku wataalamu wakifafanua taratibu za…
25 July 2026, 13:58
Wamiliki matrekta wapongeza polisi Kilombero
Wamiliki na madereva wa matrekta na power tiller tarafa ya Kidatu wilayani Kilombero wamepongeza jeshi la polisi kwa mafunzo ya usalama barabarani, huku wakipokea maelekezo ya kujiorodhesha ili kurahisisha utoaji wa mafunzo na leseni katika eneo lao. Na: Isidory Mtunda…
23 July 2026, 08:54
Halmashauri 3 zapata hati safi Kigoma
Mkuu wa Mkoa Kigoma Balozi Sirro ameutaka uongozi katika Halmashauri za Mkoa kutosita kuwachukulia hatua watendaji wanaosababisha hoja sambamba na wakusanya mapato wasio waadilifu wanaosababisha upotevu wa fedha za makusanyo. Na Mwandishi wetu Kwa mujibu wa Taarifa ya Mdhibiti na…
15 July 2026, 16:58
Watumishi wakumbushwa matumizi sahihi ya mfumo wa PEPMIS Kasulu
Mfumo wa Upimaji wa Utendaji Kazi kwa Watumishi wa Umma (PEPMIS) ni mfumo wa kidijitali unaotumika kuwasaidia watumishi wa umma kupanga, kutekeleza, kufuatilia na kutathmini utendaji wao wa kazi na mfumo huu umeanzishwa ili kuongeza uwajibikaji, uwazi na ufanisi katika…
15 July 2026, 09:02
Enabel yakabidhi madarasa yanayohamishika Kasulu
Elimu ni msingi muhimu wa maendeleo ya mtu binafsi na taifa kwa ujumla na kupitia elimu, jamii hupata maarifa, ujuzi na maadili yanayochangia maendeleo ya kiuchumi, kijamii na kisiasa, utekelezaji wa miradi ya elimu unahitaji rasilimali nyingi, utaalamu na ushirikiano…
20 June 2026, 22:04
Zanzibar yazindua awamu ya pili kampeni msaada wa kisheria
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kuimarisha huduma za msaada wa kisheria ili kuhakikisha wananchi wanapata haki kwa wakati, kwa usawa na kwa ufanisi. Na Berema Nassor Akizungumza katika uzinduzi wa…