Ajira
16 August 2026, 12:57
Polisi yapiga marufuku double parking Ifakara
Jeshi la Polisi wilayani Kilombero kupitia Mkuu wa Usalama Barabarani (DTO) limewataka wafanyabiashara wa eneo la barabara ya Kilosa mjini Ifakara kuachana na tabia ya kuegesha magari ya mizigo ovyo (double parking) ili kuzuia ajali na msongamano. Na: Isidory Mtunda…
14 August 2026, 14:41
Polisi yakagua magari hospitali Mtakatifu Fransisko
Kuelekea wiki ya nenda kwa usalama, Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani wilaya ya Kilombero limefanya ukaguzi wa magari ya Hospitali ya rufaa ya mkoa ya Mtakatifu Fransisko pamoja na magari ya watumishi, kwa lengo la kubaini kasoro na…
14 August 2026, 08:43
Madereva Mang’ula watoa kero zao
Madereva wa bodaboda na bajaji Tarafa ya Mang’ula wameeleza changamoto zinazowakabili, zikiwemo taratibu za mauziano ya vyombo vya moto, TIN, vyeti vya udereva na gharama za mafunzo. Wataalamu kutoka TRA, MODS na Jeshi la Polisi wametoa ufafanuzi kuhusu masuala hayo…
12 August 2026, 08:28
Polisi wafafanua mamlaka ya usalama barabarani
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Wilaya ya Kilombero, ASP Blandina Kasongwa, amefafanua mamlaka ya Polisi katika kudhibiti usalama barabarani, huku akiwataka madereva kutii maelekezo halali ya askari bila kujali aina ya sare anayovaa. Mazungumzo hayo pia yamejadili ukiukwaji wa…
10 August 2026, 12:45
Polisi wapiga marufuku abiria wengi
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kilombero limewataka madereva wa bodaboda, bajaji na guta kuzingatia sheria za usalama barabarani, ikiwemo kutobeba abiria zaidi ya mmoja kwa bodaboda na bajaji, huku guta likisisitizwa kuwa chombo cha kubeba mizigo. Na; Kuruthum Mkata Mkuu…
4 August 2026, 10:43
Kasulu yapata 100% ya ufaulu kidato cha sita 2026
Kwa matokeo hayo ya asilimia 100 ya ufaulu wa kidato cha sita, Halmashauri ya Mji Kasulu inaendelea kuthibitisha dhamira yake ya kuimarisha sekta ya elimu na kuzalisha wahitimu wenye uwezo wa kuchangia maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla Na…
1 August 2026, 22:40
Polisi Kusini Unguja wapeleka tabasamu kwa watoto yatima
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja limetoa msaada wa mahitaji mbalimbali kwa Kituo cha Watoto Yatima cha Maftuh Foundation, Kibele, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Polisi Jamii na kuonesha dhamira ya kushirikiana na jamii. Kamanda wa…
1 August 2026, 13:10
Madereva wa matrekta, power tiller waaswa
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kilombero limewataka madereva wa matrekta na Power Tiller kuzingatia sheria za usalama barabarani, huku likieleza kuwa Power Tiller hairuhusiwi kubeba abiria kwa mujibu wa sheria. Na: Isidory Mtunda Madereva wa matrekta na Power Tiller katika…
30 July 2026, 23:00
Mbunge arejesha matumaini kwa mtoto mwenye uvimbe wa jicho
Baada ya taarifa za mtoto Jamal kusambaa mitandaoni akiomba msaada wa matibabu, Mbunge wa Jimbo la Fuoni, Asha Hussein Saleh, amejitokeza kumtembelea na kumpeleka Hospitali ya Lumumba kwa uchunguzi na matibabu. Madaktari wamebaini kuwa uvimbe alionao si saratani na mtoto…
30 July 2026, 09:47
Madereva wa Matrekta Mlimba Wapewa Elimu
Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro limefanya mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa wamiliki na madereva wa matrekta na power tiller katika Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba. Mafunzo hayo yamelenga kupunguza ajali, vifo, na majeraha, huku wataalamu wakifafanua taratibu za…