Radio Tadio
Ajira
7 July 2022, 11:22 am
Makala: Vijana wamejiandaaje na Fursa za Ujenzi wa Kiwanda cha uchakataji wa Ges…
Ujenzi wa Kiwanda cha uchakataji na usindikaji wa Gesi asilia unatarajia kuanza kutekelezwa mkoani Lindi ambapo tayari nchi yetu ya Tanzania imesaini mkataba wa awali wa ujenzi huo. Swali ni je? Vijana wa mikoa ya Mtwara na Lindi wamejiandaaje na…
29 April 2021, 6:00 am
Diwani Nkonko aahidi kuwasaidia vijana kupatiwa mkopo na halmashauri
Na; Seleman Kodima. Diwani wa kata ya Nkonko wilayani Manyoni Ezekiel Samwel amesema ataendelea kupambana na kuhakikisha Vijana katika kata yake wanachangamka na Kupata mkopo unaotolewa Halmashauri kwa kundi la wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ili kujikwamua kiuchumi, kujiongezea…