Radio Tadio

Ajira

29 April 2021, 6:00 am

Diwani Nkonko aahidi kuwasaidia vijana kupatiwa mkopo na halmashauri

Na; Seleman Kodima. Diwani wa kata ya Nkonko wilayani Manyoni Ezekiel Samwel amesema ataendelea kupambana na kuhakikisha Vijana katika kata yake  wanachangamka na  Kupata mkopo unaotolewa Halmashauri kwa kundi la   wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ili kujikwamua kiuchumi, kujiongezea…