Radio Tadio

Ajira

30 May 2023, 4:58 pm

Vijana walalamika kukosa mitaji ya kujiajiri

Pamoja na serikali kutenga mikopo ya 10% kwa ajili ya vijana , akina mama na walemavu, bado kuna ugumu katika kupata mikopo hiyo. Na Bernad Magawa Katika kuhakikisha kuwa vijana hapa nchini wanajitengenezea ajira wenyewe badala ya kusubiri kuajiriwa, baadhi…

24 May 2023, 6:05 pm

Wasomi washauriwa kutokuchagua kazi

Peter ametoa wito kwa vijana kupambana bila kuchagua kazi ilimradi iwe halali na isiyo na madhara kiafya. Na Bernad Magawa . Vijana wasomi wilayani Bahi mkoani Dodoma wameshauriwa kuacha kuchagua kazi za kufanya badala yake wajikite katika kutengeneza ajira binafsi…

9 May 2023, 2:07 pm

Vijana Bahi watakiwa kujiajiri

Mtaji wa kutosha kwaajili ya kuendesha kiwanda hicho unatajwa kuwa changamoto kwa vijana hao. Na Bernad Magawa Ili kupunguza tatizo la kukosekana kwa ajira za kutosheleza vijana wote wenye sifa za kuajiriwa hapa nchini, mafundi Seremala wilayani Bahi wamewaasa vijana…

24 March 2023, 7:14 pm

Pinda aombwa kutatua uhaba wa watumishi ofisi za ardhi.

KATAVIKamishna wa ardhi mkoa wa katavi amemuomba Naibu wa Ardhi Nyumba Maendeleo na Makazi Geofrey Pinda kutatua changamoto ya uhaba wa watumishi katika ofisi za ardhi. Akizungumza Kamishna wa ardhi Geogrey Martin amesema idara ya ardhi imekuwa na uhaba wa…

9 March 2023, 3:46 pm

Madereva wa Bodaboda wahamasisha vijana kujiajiri

Madereva wa Bodaboda wilayani Bahi Mkoani Dodoma wamesema kazi wanayoifanya ni kazi rasmi na kuwahamasisha vijana wasio na ajira kuacha kukaa vijiweni bali watafute hata kazi ya bodaboda ili wajikimu kimaisha. Na Benard Magawa. Madereva wa Bodaboda wilayani Bahi Mkoani…

23 January 2023, 11:25 am

Bodaboda Bahi walalamika kuto nufaika na stendi

Na; Bernad Magawa . Madereva wa bodaboda wilayani Bahi Mkoani Dodoma wameelezea kutokunufaika na stendi ya mabasi wilayani humo . Hayo yamesema na Mwenyekiti wa madereva wa boda boda Wilaya ya Bahi Bw Mohamedi Mongoya mapema leo wakati akizungumza na…

6 January 2023, 8:57 am

Ujuzi wa mama yake wamtoa kimaisha.

Na Zubeda Handrish: Kijana Benjamin Samweli mzaliwa wa Mwanza mkazi wa Geita amezungumzia namna ambavyo mama yake mzazi amesaidia kwa kiasi kikubwa yeye kuingia kwenye biashara ya kutengeneza Culture. Kuanza kwa kumsaidia mama yeke kutengeneza hadi kufungua ofisi yake binafsi…

11 November 2022, 5:10 am

Serikali mbioni kumwaga ajira kada mbalimbali

Naibu Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, Deo Ndejembi amesema Serikali nchini, imetenga nafasi 30,000 za ajira kwa kada mbalimbali katika mwaka wa 2022/23. Ndejembi ametoa kauli hiyo hii leo Bungeni jijini Dodoma na kuongeza kuwa…

31 October 2022, 5:34 pm

Uvccm Iringa Vijijini: Iringa Sio Soko La Wafanyakazi Wa Ndani

MWENYEKITI wa jumuiya ya vijana wa chama cha mapinduzi wilaya ya Iringa vijijini (UVCCM) Elia kidavile amewataka wanafunzi wanaohitimu darasa na saba kukataa kwenda kufanya kazi za ndani pindi wanapohitimu elimu ya msingi. Akizungumza kwenye mahafali ya darasa la saba…

20 October 2022, 11:40 am

Maoni ya Machinga juu ya Fedha za Ujenzi wa Ofisi kila Mkoa

MPANDA Wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama machinga Mkoani Katavi wamekuwa na maoni tofauti tofauti baada ya Serikali kutenga kiasi cha shilingi milion 10 za ujenzi wa ofisi za machinga kila Mkoa. Wakizungumza na Mpanda radio fm wafanyabiashara hao wamesema ujenzi…