Radio Tadio

Ajira

28 July 2025, 22:31

Mzee mlemavu wa macho aomba msaada wa makazi Mtwara

Mzee Salumu Somba mkazi wa Mnyengedi, Mtwara, mlemavu wa macho, anaomba msaada wa makazi, mavazi, na mahitaji ya msingi kwa ajili ya familia yake kutokana na hali ngumu ya maisha. Na Musa Mtepa Mzee Salumu Somba, mkazi wa Kijiji cha…

25 July 2025, 4:50 pm

RC Katavi atoa siku 90 kwa DED Mpanda

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko akitoa maelekezo. Picha na Samwel Mbugi “Tengeneza vibanda vijana wafanye biashara katika hadhi” Na Samwel Mbugi Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko ametoa agizo la miezi mitatu kwa Mkurugezi wa Manispaa…

10 February 2025, 1:07 pm

RUWASA kusambaza mita za maji za malipo kabla

Na Mzidalfa Zaid Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini RUWASA inatarajia kusambaza mita za maji za malipo kabla ya matumizi baada mafanikio ya kufunga mita za majaribio Kwa wananchi ambazo zimeanza kuonesha mafanikio makubwa.  Akiongea wakati wa…

19 January 2025, 2:30 pm

Baraza la Madiwani Sengerema lapitisha bajeti ya 66b

Halmashauri ya Sengerema kwa bajeti ya Mwaka 2023/24 iliweza kufanya vizuri na kuvuka lengo kwa Asilimia 115 na bajeti ya sasa ya 2024/25 mpaka kufikia january hii imefikia asilimia 55,pia imepitisha mpango wa bajeti wa 2025/26. Na;Elisha Magege Halmashauri ya…

12 November 2024, 3:28 pm

Wananchi 226 walipwa fidia wilayani Nyang’hwale

Jumla ya wananchi 226 katika kata ya Mwingiro  wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita wamelipwa fidia ya zaidi ya shilingi bilioni 7.2  kutokana na maeneo yao kuchukuliwa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa zaidi ya miaka 20 . Na: Kale Chongela – Geita…

12 October 2024, 09:33

Vijana KMT-JKM wafanya mkutano mkuu Songwe

kumalizika kwa Mkutano mkuu wa Jimbo kwa kanisa la Moravian Tanzania kunatoa fursa kwa vijana hao kuanza maandalizi ya mkuu wa kanisa la Moravian Tanzania (KMT) ambao utafanyika jijini Dodoma. Na Hobokela Lwinga Vijana kati wa kanisa la Moravian tanzania…