Radio Tadio

Ajira

20 October 2022, 11:40 am

Maoni ya Machinga juu ya Fedha za Ujenzi wa Ofisi kila Mkoa

MPANDA Wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama machinga Mkoani Katavi wamekuwa na maoni tofauti tofauti baada ya Serikali kutenga kiasi cha shilingi milion 10 za ujenzi wa ofisi za machinga kila Mkoa. Wakizungumza na Mpanda radio fm wafanyabiashara hao wamesema ujenzi…