Ajali
11 Septemba 2023, 9:55 mu
Watoto wawili wa familia moja wafariki kwa ajali ya moto Katavi
Katika eneo la tukio kimekutwa kiberiti ambacho kinadhaniwa kuachwa na mtu . Na William Liwali-Katavi Watoto wawili wa familia moja Florida Froline na Ferisian Froline wenye umri wa miaka mitatu wamefariki dunia baada ya nyumba yao kuungua moto mtaa wa…
8 Septemba 2023, 12:02 um
Mtu mmoja ajeruhiwa na watu wasiojuilikana Pemba
Mmiliki wa kambi ya uchumaji zao la karafuu anajeruhia na watu wasiojuuilikana huko kambini kwake matukio hayo yanajitokeza kila msimu wa karafuu unapofika kisiwani Pemba. Na Mwandishi wetu. WATU wasiofahamika Wadaiwa kuvamia kambi ya karafuu na Kumshambulia kwa vitu vyenye…
4 Septemba 2023, 11:54 mu
Watu watano wamenusurika kifo baada ya lori kugonga nyumba
Taharuki yaibuka baada ya Lori kugonga nyumba nyakati za usiku katika Mtaa wa Kivukoni Halmashauri ya mji wa Geita Mkoani Geita. Na Mrisho Sadick: Watu watano wamenusurika kifo baada ya Lori la mchanga lenye namba za usajili T 665 DWF…
4 Septemba 2023, 9:44 mu
Watoto Wawili Familia Moja Wafariki kwa Ajali ya Moto
KATAVI. Watoto wawili wa familia moja Florida Froline (3) na Ferisian Froline (3) wamefariki dunia Baada ya nyumba waliokuwemo kuungua Moto mtaa wa Tulieni kata ya Nsemulwa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi. Shuhuda wa tukio hilo wameeleza kuwa watoto hao…
26 Agosti 2023, 9:19 um
Bunda: watoto 3 wanusurika kifo nyumba ikiteketa kwa moto
Watoto 3 wanusurika kifo nyumba ikiteketea kwa moto maeneo ya mtaa wa majengo kata ya kabarimu halmashauri ya mji wa Bunda mkoani mara huku chanzo kikitajwa ni mtoto kuchezea kiberiti. Na Adelinus Banenwa Watoto 3 wanusurika kifo nyumba ikiteketea kwa…
Agosti 23, 2023, 4:53 um
Watoto wafariki Tinde wakichezea gari
Watoto wawili wanaokadiriwa kuwa na umri wa miaka kati ya 6 na 7 wamefariki dunia kwa kukosa hewa wakichezea gari katika Kitongoji Ng’ung’ula Kijiji cha Jomu kata ya Tinde wilaya ya Shinyanga. Mwenyekiti wa Kijiji cha Tinde, Juma Warioba ameiambia…
14 Agosti 2023, 5:12 um
Waokolewa wakiwa hai baada ya kukaa chini ya ardhi kwa siku tisa
Matukio ya wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu kufariki dunia katika Mkoa wa Geita yameendelea kujitokeza mara kwa mara huku sababu ya matukio hayo ikiwa ni uduni wa vifaa wanavyotumia. Na Mrisho Sadick: Wachimbaji wadogo wawili Mpina Shukuru (29) mkazi…
8 Agosti 2023, 12:39 um
Moto wateketeza hotel Pongwe
Mkuu wa mkoa wa Kusini Unguja amewataka zimamoto kutoa elimu ya kukabiliana na majanga ya moto kwa wananchi. Na Fatuma Mkuu wa Mkoa Kusini Unguja Rashid Hadid Rashid ameziagiza mamlaka ya zima moto, shirika la umeme na idara ya maafa kuandaa utaratibu…
6 Agosti 2023, 10:05 um
Ghala la pamba la 4C lateketea kwa moto Bunda
Ghala la pamba linalomilikiwa na kampuni ya 4c limeteketea kwa moto huku likiwa na mzigo wa pamba ndani, hadi sasa haijulikani hasara ni kiasi gani. Na Adelinus Banenwa Katibu tawala wilaya ya Bunda Mhe Salumu Mtelela amesema hadi sasa haijulikani…
2 Agosti 2023, 9:55 um
Bunda: Miili yote 13 yapatikana ajali ya mitumbwi Ziwa Victoria
28 walipata ajali 30 July 2023, wakanusurika 14 siku ya tukio , mtoto wa mwaka mmoja akapatikana akiwa amefariki na katika zoezi la utafutaji tarehe 1 August 2023 hadi kufikia saa 12:00 jioni wawili walikuwa wamepatikana na kufika asubuhi 2…