Afya
13 Julai 2023, 4:02 um
Waziri Ummy: Sitarajii kusikia wananchi wanalalamikia dawa
Serikali mkoani Simiyu kuendelea kuboresha utoaji wa huduma za afya ili kupunguza malalamiko ya wananchi na wagonjwa mkoani hapa. Na Alex Sayi Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa hatarajii kuona wananchi na wagonjwa wakilalamikia uhaba wa dawa kwa…
13/07/2023, 13:25
Wataalam MSD watembelea Hospitali ya Kanda Chato
Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato imeendelea kuwa mkombozi mkubwa kwa wananchi wanaozunguka wilaya hiyo huku changamoto mbalimbali zinazoikabili ikiwemo dawa na vifaa tiba zikiendelea kupatiwa ufumbuzi kwa haraka. Na Mrisho Sadick Wataalam kutoka Bohari ya Dawa (MSD) wamefika katika…
12 Julai 2023, 11:41 um
DC Karagwe: Jamii ielimishwe zaidi juu ya dhana ya uwepo wa meno ya plastiki
Mkuu wa wilaya ya Karagwe Julius Kalanga Laizer ameiomba wizara ya Afya kuendelea kutoa elimu sahihi kwenye jamii juu ya Imani potofu ya uwepo wa Meno ya Plastiki kuwa ni ukatili kwa watoto. Na Ospicia Didace Mkuu wa wilaya ya…
Julai 12, 2023, 6:38 um
Cherehani aiomba halmashauri ya Ushetu kutenga eneo ujenzi wa kituo cha afya
Kijiji cha Ulowa kina zahanati moja ambayo haikidhi mahitaji ya wananchi ambapo mbunge wa jimbo la Ushetu Emmannuel Cherehani ameiomba halmashauri kutafuta eneo la kujenga kituo cha afya chenye thamani ya shilingi milioni 500 Na Sebastian Mnakaya Halmashauri ya Ushetu…
12/07/2023, 16:28
Fahamu matibabu na jinsi ya kujikinga na saratani ya jicho
Saratani ya jicho kwa watoto ambapo huanzia miezi kumi na nane na huonekana zaidi kwa watoto chini ya miaka mitano. Na Yussuph Hassan. Baada ya kufahamu juu ya utambuzi wa Ugonjwa wa saratani ya jicho kwa watoto ambapo huanzia miezi…
11/07/2023, 18:08
Ukosefu wa zahanati Mbelezungu Chamwino wapelekea vifo vya akina mama wajawazito
Sera ya afya ya mwaka 2007 imeweka wazi kuwa kila kijiji kanatakiwa kuwa na zahanati moja ili kuhudumia wananchi wa eneo hilo. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa ukosefu wa Zahanati katika kijiji cha Mbelezungu Wilayani Chamwino ni sababu inayosababisha vifo…
11 Julai 2023, 5:45 um
Wizara ya Afya Yawajengea uwezo Wanahabari Iringa.
Na Adelphina Kutika Wizara ya Afya imeendelea kuwajengea uwezo Waandishi wa Habari nchini kuhusiana na masuala ya chanjo ili waweze kuelimisha jamii. Afisa Program ya chanjo wa mpango wa Taifa wa chanjo kutoka Wizara ya Afya Lotalis Gadau amesema Wizara…
11/07/2023, 16:45
Wahudumu wa Afya nchini watakiwa kupunguza semina
Aidha Waziri Ummy amewataka wataalamu hao wa afya kufanya kazi zao kwa weledi na kuzingatia kazi zao za tiba. Na Fred Cheti. Waziri wa Afya, Mhe Ummy Mwalimu amewataka wataalamu wa afya nchini kupunguza semina ili kuwa na muda zaidi…
10/07/2023, 20:11
Uislam wazungumzia lishe na virutubisho
Suala la kufuata utaratibu wa mlo kamili ni la muhimu ili kuimarisha afya, ili kutimiza azma ya serikali kuandaa wataalam wabunifu wa kizazi kinachokuja, viongozi mbalimbali wa kiserikali na kiimani wameendelea kusisitiza kuwa lishe si suala la hiari, wanaowaza hivyo…
10 Julai 2023, 10:30 mu
Kituo cha afya Kazima chaanza kutoa huduma
MPANDA Mkuu wa mkoa wa Katavi Mhe Mwanamvua Mrindoko amefanya ziara ya ukaguzi wa miradi halmashauri ya manispaa ya Mpanda. Moja ya miradi iliyotembelewa ni kituo cha afya Kazima kilichojengwa kwa fedha za tozo za miamala ya simu. Katika ziara…