Radio Tadio

Afya

24 July 2023, 1:19 pm

Mwitikio kuchangia damu Geita mjini ni mdogo

Uhitaji wa damu salama katika Hospitali ya Halmashauri ya mji wa Geita Mkoani Geita ni Mkubwa kuliko inayopatikana kutoka kwa watu wanaochangia. Na Kale Chongela: Mwitikio wa wananchi kuchangia damu salama  bado ni Mdogo ukilinganisha na uhitaji katika Hospitali ya…

17 July 2023, 10:09 am

Nimonia kwa Watoto Inaepukika

MPANDA Mganga Mkuu wa Manispaa ya Mpanda Paul Swakala amewashauri wazazi na walezi kuwakinga Watoto na baridi kwa lengo la kuwaepusha na magonjwa yatokanayo na baridi ikiwemo NIMONIA . Ushauri huo ameutoa wakati akiongea na Mpanda Radio fm ofisini kwake…

16 July 2023, 1:17 pm

Auziwa mtungi wenye unga wa muhogo kwa ndani

Matukio ya utapeli katika nyanja mbalimbali yamekithiri ikiwamo katika upande wa upatikanaji wa vifaa vya kuzimia moto na uokoaji, jambo lililomuinua Inspekta Lukuba kuzungumzia hilo. Na Kale Chongela- Geita Jeshi la zimamoto na ukoaji mkoni Geita limewataka wananchi kufika katika…

14 July 2023, 11:21

Maswa: Ummy afurahishwa uwekezaji binafsi sekta ya afya

Waziri ahamasisha wawekezaji binafisi sekta ya Afya Mkoani Simiyu ili kusaidiana na Serikali huwahudumia wananchi Mkoania hapa. Na,Alex Sayi. Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amefurahishwa na uwekezaji binasfi kwenye Sekta ya Afya uliofanywa na mwekezaji binafsi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu.…

13 July 2023, 17:58

Fahamu matibabu ugonjwa wa saratani ya jicho

Dkt Japhet Bright Bingwa wa Mgonjwa ya Macho kutoka Hospital ya rufaa ya Dodoma anaeleza juu ya matibabu ya ugonjwa huo. Na Yussuph Hassan. Leo tunazungumzia utaratibu wa matibabu ya ugonjwa wa saratani ya jicho kulingana na dalili mbalimbali tukiungana…

13 July 2023, 1:25 pm

Wataalam MSD watembelea Hospitali ya Kanda Chato

Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato imeendelea kuwa mkombozi mkubwa kwa wananchi wanaozunguka wilaya hiyo huku changamoto mbalimbali zinazoikabili ikiwemo dawa na vifaa tiba zikiendelea kupatiwa ufumbuzi kwa haraka. Na Mrisho Sadick Wataalam kutoka Bohari ya Dawa (MSD) wamefika katika…