Afya
12 Septemba 2023, 12:26
Serikali yaendelea kuchukua tahadhari kudhibiti Polio Nchini
Aidha wakuu wa Mikoa, Wilaya pamoja na Viongozi mbalimbali wametakiwa kusimamia Kampeni ya Kitaifa ya chanjo ya matone pamoja na Waganga wa Mikoa kutoa chanjo hiyo kwa wakati sambamba na kutoa elimu kwa jamii. Na Yussuph Hassan. Serikali imeendelea kuchukuwa…
12 Septemba 2023, 9:24 mu
Maisha na UVIKO 19
Umuhimu wa chanjo ya UVIKO 19 kwa wana jamii na kuchukua tahadhari ili kujilinda dhidi ya maambukizi ya mlipuko huo. Mtalaam wa afya kutoka ofisi ya Mganga mkuu wilaya ya Nyasa Dr Richard Kubingwa Akitoa elimu ya uchanjaji na kujikinga…
11 Septemba 2023, 3:17 um
Wanahabari kuwa mabalozi kutoa elimu ya sikoseli
Mkoa wa Tabora unashika nafasi ya nne miongoni mwa mikoa yenye waathirika wengi wa ugonjwa wa sikoseli nchini. Kaimu Mkurugenzi wa hospital ya Rufaa ya mkoa wa Tabora Kitete Dkt. Renatus Burashahu amewaomba waandishi wa habari kuwa mstari wa mbele…
11 Septemba 2023, 12:50 um
Wafugaji Makete wapigwa marufuku kuingiza mifugo eneo la hospitali
Juhudi za kuendelea kutoa elimu kwa wananchi zinaendelea kutunza mazingira kwa kutopeleka mifugo katika eneo la hospitali. Furahisha Nundu – Makete Wakazi wa kata ya Iwawa wilaya ya Makete mkoani Njombe wametakiwa kutunza miundombinu na vifaa vya ujenzi katika Hosptitali…
11 Septemba 2023, 12:49
Fahamu jinsi mifumo ya maisha inavyosababisha ongezeko la magonjwa
Katika maisha ya binadamu kumekuwa na mifumo mbalimbali ya maisha, ambapo watanzania walio wengi wana tabia ya kutozingatia afya hasa katika suala la ulaji hali inayowafanya wakumbwe na magonjwa mbalimbali. Na Hobokela lwinga Kutokana na mifumo mbalimbali ya maisha kuchangia…
11 Septemba 2023, 12:11 um
Zaidi ya watoto elfu 99 kupata chanjo ya polio Karagwe
Watoto 99,159 wilayani Karagwe watakuwa miongoni mwa watoto 3,250,598 wenye umri wa chini ya miaka minane watakaopata chanjo ya kinga ya polio katika kampeni ya chanjo kitaifa Septemba 21-24 mwaka huu. Na. Tumaini Anatory Kwa mujibu wa mratibu wa chanjo…
10 Septemba 2023, 8:53 um
Wazee watakiwa kuchangamkia bima ya afya
Na. Jovinus Ezekiel Missenyi Wazee katika kata ya Bugandika wilayani Missenyi mkoani Kagera wametakiwa kujiunga na bima ya afya ya CHF iliyoboreshwa kwa lengo la kuwawezesha kunufaika na huduma za matibabu. Akiongea na wazee wa kikundi cha wazee Bikolw’engonzi kilichopo katika…
9 Septemba 2023, 1:37 um
Idara ya Tiba Pemba: Endeleeni kutumia vyandarua kumaliza ugonjwa wa malaria
Ugonjwa wa malaria bado upo visiwani Zanziabr hivyo jamii inatakiwa kutumia vyandarua vinavyotolewa na serikali kupitia Wizara ya Afya kitengo cha malaria kwa kushirikiana na wahisani mbalimbali wa maendeleo kwa ajili ya kujifunika na sio kuvifunga kwenye bustani za bogaboga …
8 Septemba 2023, 1:43 um
Vijana waaswa kuacha matumizi ya madawa ya kulevya ili kuepuka utegemezi kwa fam…
Utegemezi kwa familia imetajwa kuwa moja ya sababu inayosababishwa na matumizi ya madawa ya kulevya kwa vijana. Na Daniel Magwina- Geita Kufuatia wimbi la vijana kuingia katika matumizi ya madawa ya kulevya baadhi ya wananchi mkoani Geita mapema leo hii,…
8 Septemba 2023, 13:34
Zaidi ya watoto 884,500 kupatiwa chanjo ya polio Kigoma
Na, Josephine Kiravu Zaidi ya watoto 884,500 walio chini ya miaka 8 wanatarijiwa kufikiwa na kupatiwa chanjo ya Polio ambayo itaanza kutolewa nyumba kwa nyumba kuanzia septemba 21hadi 24 Mkoani Kigoma. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa kamati ya…