Afya
20 Septemba 2023, 2:14 um
Wanahabari wapewa mafunzo ya habari za afya kuibua yaliyojificha kwenye sekta ya…
Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii ESRF Tanzania inaendesha mafunzo kwa waandishi wa habari wa Radio Jamii nchini ili kusaidia katika juhudi za kuboresha huduma za afya katika jamii na isack mwashiuya Mafunzo hayo ya siku 4 yameanza rasmi…
20 Septemba 2023, 1:09 um
Uhaba wa wahudumu wa afya katika kijiji cha mtanila chunya ni kero kwa wananchi
Kwa mujibu wa sera ya maji ,Maji ni muhimu kwa viumbe vyote duniani, bila maji hakuna uhai. Aidha maji ni muhimu kwa maendeleo ya kiuchumi na kijamii.Upatikanaji wa maji safi na salama kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na usafi…
20 Septemba 2023, 6:52 mu
ESRF yazinoa radio jamii kuboresha huduma za afya nchini
Na Edward Lucas Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii ESRF Tanzania inaendesha mafunzo kwa waandishi wa habari wa Radio Jamii nchini ili kusaidia katika juhudi za kuboresha huduma za afya katika jamii. Mafunzo hayo ya siku 4 yameanza leo…
19 Septemba 2023, 17:01
Mapinduzi A waomba nyumba ya daktari wa zahati yao
Hata hivyo Serikali inawataka wawekezaji wote nchini kushiriki kikamilifu katika kutatua changamoto zinazo wakabili wananchi walio karibu na mradi wa mwekezaji huyo. Na Victor Chigwada. Wananchi wa mtaa wa mpinduzi A wameiomba Serikali na wadau wa afya kuwasaidia kupatikana wa…
19 Septemba 2023, 3:44 um
Kyerwa kuwafikia watoto 95,454 chanjo ya polio
Watoto 95,454 wenye umri kuanzia 0 hadi miaka 8 wilayani Kyerwa watapatiwa chanjo ya Polio kuanzia September 21-24 mwaka huu. Akizungumza na Redio Karagwe Fm Sauti ya Wananchi September 19 mwaka huu, Mratibu wa Elimu ya Afya kwa Umma (DPH…
19 Septemba 2023, 12:46
Vikundi vya usafi vyaomba ushirikiano maeneo wanayofika kufanya usafi
Mazingira ni sehemu yoyote inayomzunguka binadamu na mazingira hayo ili kuepusha athari ikiwemo magojwa ya mlipuko ikiwemo kipindupindu hayana budii kuyalinda kwa kuhakikisha yanakuwa safi wakati wote. Na Sadoki Mwaigaga Wafanyabiashara wa soko la Sido jijini Mbeya wameshauriwa kutoa ushirikiano…
19 Septemba 2023, 10:06 mu
Wanahabari wanolewa kuhusu chanjo ya polio
Mkoa wa Katavi unatarajia kutoa chanjo kwa Watoto 227,862 ambapo chanjo hiyo itatolewa kwa halmashauri zote tano mkoani hapa. Na Veronica Mabwile – KataviWananchi Mkoani Katavi wametakiwa kushiriki ipasavyo katika kampeni ya chanjo ya polio inayotarajiwa kuanza kutolewa kuanzia September…
18 Septemba 2023, 20:14
Toeni ushirikiano watoto wapate chanjo ya polio
Msingi wa binadamu ni afya na unapo kuwa na afya ni lazima uilinde,katika maisha ya binadamu yeyote wakati anazaliwa ni lazima apewe ulinzi wa afya yake kwa kupatiwa chanjo ya magonjwa mbalimbali,hivi karibuni serikali imekuwa na msisitizo wa kila mtanzania…
18 Septemba 2023, 19:47
Homera: Epukeni matumizi ya simu wakati wa kutoa huduma kwa wagonjwa
Kufanya kazi kwa weledi ni sehemu ya binadamu anayejitambua na kutambua nafasi yake na ukitaka kupongezwa ni lazima uoneshe weledi wa kazi yako, ishi ukijua maisha yako yanategemea maisha ya mwingine. Na Mwandishi wetu Mkuu wa mkoa wa Mbeya Comrade…
16 Septemba 2023, 11:20 um
Storm FM yazindua kipindi kipya cha Afya Chikobe
Katika kuelekea miaka 9 ya uwepo wa Kituo cha redio cha Storm FM mkoani Geita, tunayo furaha kukufahamisha juu ya uwepo wa kipindi kipya cha “Sauti Ya Tiba” ambacho kitajikita katika kutoa elimu na taarifa sahihi juu ya magonjwa mbalimbali. Na…