Afya
16 Septemba 2023, 11:20 um
Storm FM yazindua kipindi kipya cha Afya Chikobe
Katika kuelekea miaka 9 ya uwepo wa Kituo cha redio cha Storm FM mkoani Geita, tunayo furaha kukufahamisha juu ya uwepo wa kipindi kipya cha “Sauti Ya Tiba” ambacho kitajikita katika kutoa elimu na taarifa sahihi juu ya magonjwa mbalimbali. Na…
16 Septemba 2023, 1:21 um
Ishololo waondokana na adha ya kutembea umbali mrefu
Ubunifu wa ujenzi wa miradi kupitia fedha za TASAF umekuwa na matokeo chanya hususani maeneo ya vijijini ambayo yalikuwa yakikabiliwa na changamoto ya huduma za jamii kama afya, maji na elimu. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa kijiji cha Ishololo wilayani…
15 Septemba 2023, 22:46
Mbeya kuanza kutoa chanjo ya polio kwa watoto chini ya umri wa miaka 8
Wanasema kinga ni bora kuliko tiba,ili uweze kuwa salama huna budii kukubaliana na ushauri wa wataalamu wa afya unaopatiwa juu ya afya yako.kila binadamu tangu kuzaliwa kwake lazima apewe chanjo ili kuweza kuimarisha afya yake, hali hiyo ukiwa kama mzazi…
15 Septemba 2023, 19:35
Akina baba wanyooshewa kidole kutoshiriki kikamilifu malezi ya watoto
Na Mwandishi wetu Isack Mwashiuya Imebainika kuwa ‘ubize’ wa wazazi na ushiriki mdogo kwa akina baba katika malezi ya mtoto tangu anapozaliwa ni moja kati ya sababu ya watoto wengi kuwa na uwezo mdogo wa uelewa na kuwa wazito katika…
Septemba 15, 2023, 10:50 mu
Wananchi watakiwa kutunza miundombinu, vifaa vya ujenzi hosptitali ya wilaya Mak…
Wakazi wa kata ya Iwawa wilaya ya Makete mkoani Njombe wametakiwa kutunza miundombinu na vifaa vya ujenzi katika Hosptitali ya Wilaya pamoja na kuacha kufunga mifugo yao kuzunguka eneo la Hosptitali hiyo.Wito huo umetolewa na Dkt. Kitundu kwa niaba ya…
15 Septemba 2023, 6:39 mu
Jamii yatakiwa kuwa na desturi ya kufanya mazoezi
Ikumbukwe kuwa Idara ya Kinga, Wizara ya Afya imeanzisha Mpango kwa watumishi kufanya mazoezi mara mbili kwa wiki siku ya Jumatano na Ijumaa jioni mara baada ya saa za kazi kuanzia saa 9:30 hadi saa 11:00 jioni. Na Mindi joseph.…
14 Septemba 2023, 16:24
Manispaa ya Kigoma Ujiji yapunguza kiwango cha utapiamlo
Wazazi na walezi Manispa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma wametakiwa kuzingatia lishe kwa watoto wao kwa kuanda na kuwalisha vyakula vye lishe ya kutosha ili kuwakinga na utaopiamlo. Na, Josephine Kiravu Tangu kuanzishwa kwa siku ya afya ya lishe kila…
14 Septemba 2023, 11:40 mu
Wananchi wafunguka juu ya ukamilishaji dozi ya maralia kwa usahihi
Mgonjwa wa maralia anapaswa kukamilisha dozi ya Malaria ambayo anapatiwa na mtaalamu wa afya Ambapo kutamsaidia kumaliza vimelea vya maambukizi ya maralia Na John Benjamin – Mpanda Wananchi halmashauri ya manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi wametoa maoni namna wanavyoelewa…
13 Septemba 2023, 3:27 um
Ugumu wa maisha watajwa kuwa sababu ya watu kujiua
Septemba 10 kila mwaka Dunia huadhimisha siku ya kuzuia kujiua ambapo Kitaifa maadhimisho hayo yalifanyika katika Hospitlai ya Taifa ya akili Mirembe jijini Dodoma. Na Katende Kandolo. Imeelezwa kuwa ugumu wa maisha pamoja na msongo wa mawazo ni miongoni mwa…
13 Septemba 2023, 2:47 um
Jamii yatakiwa kutambua umuhimu wa kupima afya
Wataalamu wa Afya wanashauri jamii kufanya uchunguzi wa afya mara kwa mara ili kubaini hali zao na namna ya kukabiliana na magonjwa yanayoweza kujitokeza kwa haraka zaidi . Na Richald Ezekiel. Jamii imetakiwa kutambua umuhimu wa kupima afya mara kwa…