Afya
24 Oktoba 2023, 10:09 mu
Viongozi wa dini Pemba watakiwa kutoa elimu kwa jamii juu ya umuhimu wa lishe
Lishe ni jambo muhimu kwa binadam hivo ni jukumu la kila binadamu kuhakikisha anapata lishe iliyobora ili kujenga mwili imara na madhubuti. Na Essau Kalukubila. Viongozi wa dini kisiwani Pemba wametakiwa kutumia nafasi zao kufikisha Elimu ya Lishe kwa jamii…
24 Oktoba 2023, 8:47 mu
Viongozi wa dini watakiwa kufikisha elimu ya lishe Pemba
Kuwepo kwa upungufu wa virutubisho lishe kwa jamii wizara ya elimu na mafunz, ya amali kwa kushirikiana na wizara ya afya Zanzibar kuwasaidia wanafunzi kuwapatia virutubisho hivyo kwa lengo la kuijenga jamii yenye afya njema. Na Amina Masoud Viongozi wa…
23 Oktoba 2023, 11:30
DC Kigoma awataka wananchi kufanya mazoezi kujikinga na maradhi
Mazoezi yanatajwa kusaidia kujenga afya na kukinga miili dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza kwenye jamii. Na, Lucas Hoha. Mkuu wa wilaya ya Kigoma Salum Kalli amewaasa wananchi wa wilaya ya Kigoma kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi ya kukimbia ili kujikinga na…
23 Oktoba 2023, 09:18
UWT Bunda watembelea wagonjwa hospitali ya Manyamanyama
UWT Bunda watembelea hospitali ya Manyamanyama-Bunda kuonesha matendo ya huruma kwa wagonjwa katika kuadhimisha kilele cha wiki ya UWT Na Edward Lucas Maadhimisho ya wiki ya Wanawake UWT Wilaya ya Bunda mkoa wa Mara yamefikia kilele hapo jana 22 Oct…
Oktoba 22, 2023, 7:40 mu
Wananchi Ileje wajitolea kujenga nyumba ya mtoa huduma wa afya
Na Denis Sinkonde, Ileje Wananchi wa kijiji cha Izuba kata ya Isongole wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe wanatarajia kumaliza ujenzi wa vyumba ya wahudumu wa zahanati ya Izuba ili kuwaondolea adha wahudumu wa zahanati hiyo kuishi mbali. Hayo yamebainishwa…
18/10/2023, 18:30
Madereva waonywa kupakia dizeli, petroli kwenye usafiri wa umma
Changamoto ya baadhi ya wasafirishaji kuruhusu kupakia chupa zenye mafuta ya dizeli na petroli kwenye vyombo vyaio imekuwa kero kwa abiria mkoani Geita. Na Zubeda Handrish- Geita Baadhi ya abiria wanaotumia magari madogo ya abiria aina ya hiace yanayofanya safari…
18/10/2023, 09:14
Wasichana wapaswa kutambua hedhi ni fahari
Elimu ya hedhi salama shuleni hapo imeambatana na zoezi la kugawa taulo za kike kwa wasichana hao wa shule ya msingi Nkuhungu. Na Mariam Kasawa. Wasichana balehe wametakiwa kutambua kuwa hedhi ni fahari ya kila mwanamke hivyo wanapaswa kuifurahia na…
Oktoba 17, 2023, 1:16 um
Wananchi watakiwa kuwa makini na matangazo ya biashara ya dawa, vifaa tiba
Kutokana na wafanyabiashara kutumia matangazo kufanya bidhaa yake ijulikane na kushawishi watumiaji kutumia bidhaa hiyo TMDA inahakikisha matangazo hayo yanayohusiana na dawa, vifaa tiba na vitendanishi hayana taarifa za upotoshaji. Na Rose Njinile Wito umetolewa kwa wananchi wilayani Makete mkoani…
15 Oktoba 2023, 10:11 mu
Wakazi wa Mlimba wapokea huduma za kibingwa za afya kwa furaha
Baadhi ya wagonjwa wakisubiri huduma za kibingwa -Picha na Isidory Matandula Madaktari bingwa wa mfumo wa mkojo na ENT (Ear, Norse and Throat) kutoka hospitali ya rufaa ya Mtakatifu Fransisko, Ifakara, wiki hii wametoa huduma za kibingwa katika Kituo cha…
15/10/2023, 06:59
Popo wavamia mtaa, wananchi wakumbwa na taharuki Geita
Changamoto ya popo katika baadhi ya maeneo Tanzania imeonekana kuwa ni sugu, hilo pia limetokea katika mtaa wa katikati ya mji wa Geita. Na Zubeda Handrish- Geita Wananchi wa mtaa wa Nyerere Road uliopo kata ya Kalangalala, halmshauri ya Mji…