Radio Tadio

Afya

24 Oktoba 2023, 8:47 mu

Viongozi wa dini watakiwa kufikisha elimu ya lishe Pemba

Kuwepo kwa upungufu wa virutubisho lishe kwa jamii wizara ya elimu na mafunz, ya amali  kwa kushirikiana na wizara ya afya Zanzibar  kuwasaidia  wanafunzi kuwapatia virutubisho hivyo kwa lengo la kuijenga jamii yenye afya njema. Na Amina Masoud Viongozi wa…

18/10/2023, 09:14

Wasichana wapaswa kutambua hedhi ni fahari

Elimu ya hedhi salama shuleni hapo imeambatana na zoezi la kugawa taulo za kike kwa wasichana hao wa shule ya msingi Nkuhungu. Na Mariam Kasawa. Wasichana balehe  wametakiwa kutambua kuwa hedhi ni fahari ya kila mwanamke hivyo wanapaswa kuifurahia na…

15/10/2023, 06:59

Popo wavamia mtaa, wananchi wakumbwa na taharuki Geita

Changamoto ya popo katika baadhi ya maeneo Tanzania imeonekana kuwa ni sugu, hilo pia limetokea katika mtaa wa katikati ya mji wa Geita. Na Zubeda Handrish- Geita Wananchi wa mtaa wa Nyerere Road uliopo kata ya Kalangalala, halmshauri ya Mji…