Afya
11 Oktoba 2023, 5:28 um
Ni athari zipi kiafya usipotumia uzazi wa mpango?-Kipindi
Mskilizaji sayansi imeeleza uzazi wa mpango ni njia muhimu ya kukuza afya ya mama na mtoto, uzazi wa mpango ni njia rahisi ya kunyonyesha mtoto hadi kufikia miaka miwili. Licha ya maelekezo hayo ya dini na ya kisayansi bado jamii…
11 Oktoba 2023, 12:58
Magonjwa zaidi ya 290 yanasababisha afya ya akili
Katika kukabiliana na ugonjwa wa afya ya akili wananchi wanashauriwa kufika kwenye vituo vya afya vinavyotoa huduma za afya ili kupima na kujua hali zao. Na Rachel Malango Tanzania inaungana na mataifa mengine ulimwenguni kuadhimisha kilele cha siku ya afya…
11 Oktoba 2023, 11:14 mu
Asilimia 80 ya wagonjwa wa akili wamerithi ugonjwa huo
Inasadikiwa kuwa mtoto mmoja kati ya sita walio na umri wa chini ya miaka 18, ana uwezekano wa kuwa na tatizo la afya ya akili hata hivyo asilimia 75 ya watu hao hawapati huduma ya afya wanayohitaji. Na Selemani Kodima.…
11 Oktoba 2023, 9:04 mu
BMH kuanzisha upasuaji wa moyo kwa watu wazima
Katika kuadhimisha Miaka 8 ya Mafanikio Hospitali ya Benjamin Mkapa zaidi ya wananchi 100 wamepatiwa huduma ya Nyonga na kupunguza gharama na usumbufu. Na Mindi Joseph. Katika kuadhimisha miaka 8 Hospitali ya Benjamin Mkapa inatarajia kuanzisha huduma za upasuaji wa…
10 Oktoba 2023, 5:12 um
Umuhimu wa kupima afya ya uzazi kabla ya ndoa-Kipindi
Amina Masoud Suala la kujiuliza je, ndoa inashabihianaje na afya, ndoa ni makubaliano ya hiari kati ya mwanamke na mwanamme. Kila anayeingia katika ndoa anahitaji kupata tulizo la moyo wake na hapa wahenga walisemaa tulizo la moyo ni kupata mke…
10 Oktoba 2023, 2:50 um
Elimu yahitajika kukomesha unyanyapaa kwa wagonjwa wa afya ya akili
“Magonjwa ya afya ya akili yanatibika iwapo utabaini mapema na kuanza matibabu“ Na Mwandishi wetu Kukosekana kwa elimu ya kutosha kwenye jamii juu ya magonjwa ya afya ya akili kumechangia unyanyapaa kwa watu wanaougua magonjwa hayo. Hayo yamesemwa na mwanasaikologia…
10 Oktoba 2023, 09:04
Malinyi kunufaika na klinik tembezi
Na Jackson Machoa/Morogoro Mkuu wa wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro Mh. Sebastian Waryuba amezindua mradi wa klinik tembezi wenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 210 uliofadhiliwa na nchi ya Uswiz kupitia shirika lisilo la kiserikali la Solider Med ili…
9 Oktoba 2023, 2:28 um
Jamii Katavi yashauriwa kuwa na matumizi sahihi ya uzazi wa mpango
Jamii Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi imeshauriwa kuwa na matumizi sahihi ya uzazi wa mpango Na Kalala Robert & Veronica Mabwile – MpandaJamii Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi imeshauriwa kuwa na matumizi sahihi ya uzazi wa mpango ili kuwa na…
7 Oktoba 2023, 8:11 mu
Ujio wa vituo vya afya kuwa mkombozi kwa wananchi
kituo cha afya ndanto {picha na lennox mwamakula} wananchi wafurahia huduma ya afya wilaya rungwe kutokana na kuondokana na changamoto ya muda mrefu. RUNGWE-MBEYA Na lennox mwamakula Jumla ya wakazi elfu kumi na nanene wanaenda kunufaika na huduma ya afya …
Oktoba 5, 2023, 8:39 mu
DC Sweda akasirishwa kituo cha afya kutofanya huduma za upasuaji
Kituo cha afya Lupila kwa muda mrefu sasa kimeshindwa kutoa huduma za upasuaji sababu zikiwa ni kukosekana kwa mtaalam wa upasuaji na kupelekea adha kubwa kwa wananchi wanaolazimika kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya kilomita zaidi ya 50 hadi…