Afya
22 Disemba 2023, 2:20 um
Hospitali Siha yakabidhiwa vifaa tiba na magari matatu
Vifaa tiba pamoja na gari vilivyokabidhiwa katika hospitali ya wilaya ya Siha (picha na Elizabeth Mafie) Hospitali ya wilaya ya Siha imekabidhiwa vifaa tiba pamoja na magari vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mia tisa. Na Elizabeth Mafie Ambulance…
21 Disemba 2023, 5:47 um
Tatizo la afya ya ngozi latajwa kuchangia muwasho wa jicho
Dkt. Salumu amesema matatizo ya ngozi pamoja na matumizi ya sabuni za aina tofauti husababisha mtu kupatwa na tatizo hilo. Na Aisha Alim. Tatizo la macho kupatwa na muwasho linataja kusababishwa na mambo mbalimbali ikiwemo tatizo la afya ya ngozi…
20 Disemba 2023, 4:15 um
Wananchi Katavi waaswa juu ya matumizi holela ya dawa za kuzuia mbu
Wananchi Katavi wameeleza mbinu wanazozitumia katika kuzuia na kupambana na ugonjwa wa malaria. Na Gladness Richard – Mpanda Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameeleza mbinu wanazozitumia katika kuzuia na kupambana na ugonjwa wa malaria katika msimu huu wa mvua.…
20 Disemba 2023, 4:06 um
Wananchi Katavi waaswa kukata bima ya afya
Kufuatia uwepo wa sheria ya bima ya afya kwa wote wananchi wa mkoa wa Katavi wametakiwa kukata bima ya afya. Na Deus Daud – KATAVI Kufuatia uwepo wa sheria ya bima ya afya kwa wote wananchi wa mkoa wa Katavi…
20 Disemba 2023, 1:46 um
Waganga wa wilaya watakiwa kutumia vema magari ya yaliyo tolewa na serikali
Ikumbukwe Dodoma ina jumla ya Vituo vya afya 545 ambapo hospitali ni 16,Vituo vya afya 63,zahanati 438 na kliniki maalum 26 . Na Mariam Kasawa. Waganga wakuu wa wilaya wametakiwa kutumia Vyema magari yaliyotolewa na Serikali kwa ajili ya kwenda…
20 Disemba 2023, 10:57 mu
Wakinamama 1657 wamepewa elimu juu ya lishe Ngorongoro
Wilaya ya Ngorongoro ni moja ya wilaya ambazo wanaishi wafugaji kwa asilimia kubwa na chakula chao kikukuu ni nyama pamoja na maziwa hivyo maafisa lishe wamekuwa wakiendelea kutoa elimu juu ya kula lishe bora na faida zake katika jamii hiyo…
19 Disemba 2023, 7:42 um
JKCI wasogeza matibabu ya kibingwa Kilimanjaro
Taasisi ya moyo Jakaya Kikwete ( JKCI ) yaanza kutoa huduma za matibabu ya kibingwa katika mkoa wa Kilimanjaro. Na Elizabeth Mafie Wananchi mkoa wa Kilimanjaro na mikoa jirani wameanza kupatiwa huduma na matibabu ya kibingwa ya ugonjwa wa moyo…
18 Disemba 2023, 9:43 um
Magonjwa yasiyoambukiza huchangia asilimia 33 ya vifo nchini-WHO
Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo wananchi huathirika zaidi na magonjwa yasiyoambukiza. Na Fred Cheti. Kwa mujibu wa takwimu kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaeleza kuwa magonjwa yasiyoambukiza yanachangia takribani asilimia 33 ya vifo vyote nchini huku takwimu hizo…
16 Disemba 2023, 16:26
‘Jizingatie’ kuwanusuru vijana na maambukizi ya Ukimwi
Na Prince Fungo Mwandishi wa Habari Highlands Fm radio Tanzania inaweza kufikia lengo la kuondokana na maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi ifikapo mwaka 2030 ikiwa wananchi watatambua umuhimu wa kupima afya zao. Pia wamesisitizwa ili kufikia lengo hilo la…
16 Disemba 2023, 11:40
Mwalusangani awalilia wadau kukamilisha ujenzi zahanati ya Nkuyu
Wadau wa maendeleo wilayani Kyela wameombwa kusaidia ujenzi wa zahanati ya Nkuyu iliyokwama kumalizika kutokana na ufinyu wa bajeti. Na James Mwakyembe Baada ujenzi wa zahanati ya Nkuyu kukwama kumalizika kwa wakati uliopangwa diwani wa kata ya Nkuyu Hezron Mwalusangani…