Radio Tadio

Afya

22 Disemba 2023, 2:20 um

Hospitali Siha yakabidhiwa vifaa tiba na magari matatu

Vifaa tiba pamoja na gari vilivyokabidhiwa katika hospitali ya wilaya ya Siha (picha na Elizabeth Mafie) Hospitali ya wilaya ya Siha imekabidhiwa vifaa tiba pamoja na magari vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mia tisa. Na Elizabeth Mafie Ambulance…

20 Disemba 2023, 4:06 um

Wananchi Katavi waaswa kukata bima  ya afya

Kufuatia uwepo wa sheria ya bima ya afya kwa wote wananchi wa mkoa wa Katavi wametakiwa kukata bima  ya afya. Na Deus Daud – KATAVI Kufuatia uwepo wa sheria ya bima ya afya kwa wote wananchi wa mkoa wa Katavi…

19 Disemba 2023, 7:42 um

JKCI wasogeza matibabu ya kibingwa Kilimanjaro

Taasisi ya moyo Jakaya Kikwete ( JKCI ) yaanza kutoa huduma za matibabu ya kibingwa katika mkoa wa Kilimanjaro. Na Elizabeth Mafie Wananchi mkoa wa Kilimanjaro na mikoa jirani wameanza kupatiwa huduma na  matibabu ya kibingwa ya ugonjwa wa moyo…

18 Disemba 2023, 9:43 um

Magonjwa yasiyoambukiza huchangia asilimia 33 ya vifo nchini-WHO

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo wananchi huathirika zaidi na magonjwa yasiyoambukiza. Na Fred Cheti. Kwa mujibu wa takwimu kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaeleza kuwa magonjwa yasiyoambukiza yanachangia takribani asilimia 33 ya vifo vyote nchini huku takwimu hizo…