Radio Tadio

Afya

9 Januari 2024, 8:43 mu

Mwanamke akutwa amefariki kitandani kwake

Matukio ya watu kukutwa wamefariki Dunia yanazidi kushika kasi wilayani Sengerema ambapo baadhi yao wanadai yanasababishwa na msongo wa mawazo pamoja na ugumu wa maisha kwa watu jambo lililopelekea mwenyekiti wa mtaa wa Migombani wilayani hapo kuwataka wananchi kuwa na…

08/01/2024, 21:18

Jamii yaendelea kusisitizwa kuwapatia watoto lishe bora

Wazazi wanashauriwa juu ya mambo ya kuzingatia katika kuandaa mchanganyiko wa lishe bora unaofaa kwa mtoto. Na Thadei Tesha.Jamii imeendelea kusisitizwa kuwapatia watoto lishe bora na kuacha kuwapa chakula kimazoea kwa lengo la kumsaidia mtoto kuwa na afya njema. Leo…

08/01/2024, 16:14

Mbeya: Samia mgeni rasmi maadhimisho ya maridhiano kitaifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dr Samia suluhu Hasani anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika siku ya maridhiano kitaifa yanayotarajia kufanyika mkoa wa Mbeya mwezi machi mwaka huu. Na Masoud Maulid Kuelekea   maadhimisho ya siku ya maridhiano kitaifa march…

7 Januari 2024, 12:32 um

Wakazi wa Ilenge wilayani Rungwe wafurahia kupata zahanati

Baada ya kufuata huduma ya matibabu umbali mrefu wananchi wa kijiji cha Ilenge wameipongeza serikali kwa kuwajengea zahanati kwani wamesema imewapunguzia changamoto ya kukosa matibabu. RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Mkuu wa wilaya Rungwe Jaffar Haniu amepongeza juhudi zilizofanya na wakazi…

5 Januari 2024, 17:02

Kituo cha afya kipya chazinduliwa halmashauri ya wilaya Kibondo

Halmashauri ya wilaya ya Kibondo imezindua kituo kipya cha afya kilichopo katika kata ya Kibondo mjini kilichogharimu shilingi milioni 500 mpaka kukamilika kwake ikiwa ni mkakati wa kupunguza msongamano wa wagonjwa katika hospitali ya wilaya na  kuboresha huduma za afya.…

5 Januari 2024, 16:43

Watoto zaidi ya 600 waripotiwa kufariki wakati wa kuzaliwa Kigoma

Zaidi ya watoto wachanga 600 wamefariki wakati wa kuzaliwa mkoani Kigoma huku akina mama 76 wakipoteza maisha wakati wa kujifungua  katika  kipindi  cha Januari hadi  Desemba 2023. Na, Josephine Kiravu. Hakuna mama anaebeba ujauzito kwa kipindi cha miezi 9 halafu matarajio…

04/01/2024, 13:02

Kukaja Kununu wamwaga bima za afya Kyela

Katika kuhikikisha watoto wanakuwa na afya bora hapa nchini umoja wa kikundi cha Kukaja kununu kimetoa bima za afya na vifaa vya usafi vyenye thamani ya zaidi ya shilingi laki tano katika hospitali ya wilaya ya Kyela. Na James Mwakyembe…

04/01/2024, 11:12

Aonekana hai baada ya kufariki miaka 3 iliyopita Geita

Mwanamke Mugumba Misalaba aliyepatikana akiwa hai Fitina baada ya kufariki miaka 3 iliyopita. Picha na Amon Bebe Matukio ya baadhi ya watu kufariki dunia na kuonekana tena yameendelea kutokea katika maeneo tofauti, jambo ambalo linazua mizozo na kuhusishwa na imani…

30 Disemba 2023, 09:04

Wananchi Rungwe waendelea kufurahia huduma za afya

Na mwandishi wetu Huduma ya matibabu katika kituo cha afya Iponjola zimeanza leo  rasmi tarehe 29.12.2023 ikiwa ni hatua  ya kuwasogezea wananchi huduma hii muhimu karibu na makazi yao. Kituo hiki kilichojengwa na Serikali kwa Kushirikiana na Wananchi kimegharimu zaidi …