Triple A FM
Triple A FM
16 July 2025, 12:13 pm
Tumeshapata viti karibia 300 ambavyo vitakuja kuwekwa kwenye majukwaa haya…..uwanja huu utakuwa wa tofauti sana….malengo yetu ni hata mechi za Afcon zije kufanya mazoezi ya AFCON Joel Headman Uchumi wa mji wa Babati umepanda kwa kasi hadi kuzidi malengo yaliyowekwa…
20 June 2025, 12:46 pm
Joel Headman “Kwenye upande wa FM ahami anabaki na redio yake, anayetaka kupokea signal ya dijitali ni lazima awe na kifaa cha kupokelea chenye uwezo wa kupokea signal ya dijitali” Mha. Jan kaaya Mamlaka ya mawasiliano nchini TCRA imetangaza kuanza…
6 June 2025, 10:58 pm
Na Joel Headman Naibu waziri mkuu dk. Dotto Biteko leo amefungua maonyesho ya kimataifa ya utalii ya Karibu Kili Fair 2025 jijini arusha Akizungumza mkuu wa mauzo kwa wateja wakubwa na serikali kutoka kampuni ya YAS Anatory Lelo ameeleza kuwa…
2 June 2025, 10:31 am
Na Joel Headman Asasi za kiraia nchini Tanzania zinatarajia kuanza maadhimisho ya wiki ya AZAKI 2025 (CSO Week 2025) itakayo jadili Dira ya maendeleo ya Taifa pamoja na kuwakutanisha wadau na washiriki wasiop[ungua 800 Akizungumza na waandishi wa habari Mwenyekiti…
31 May 2025, 6:53 pm
Na Joel Headman Babati Ushindi wa 3-1 dhidi ya Simba ni kama umewapa mzuka sana Singida United aisee Mnyama Simba sasa hana lake tena kwenye mashindano ya shirikisho Tanzania kwani kwa kipigo hicho wameaga rasmi mashindano hayo Mechi hii ni…
30 May 2025, 1:03 pm
Na Joel Headman Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani Mkoa wa Arusha limewakutanisha zaidi ya madereva 800 wanaoongoza watalii kwa ajili ya kuwapatia mafunzo maalumu ya kuwajengea uwezo pindi wanapotoa huduma hiyo ya usafiri Akifungua mafunzo hayo mkoani Arusha,…
29 May 2025, 10:58 am
Na Joel Headman Ikiwa imepita miaka 33 tangu kuasisiwa kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi mwaka 1992, bado viongozi na wanachama wanaendelea kutambua mchango wa viongozi na waasisi wao CHADEMA ilianzishwa Mei…
27 May 2025, 10:55 am
Na Jane Silayo Diwani wa Kata ya Sakina Mkoani Arusha ameiomba serikali kuwajengea shule ya sekondari ndani ya kata hiyo ili kuchochea maendeleo ya elimu kwa watoto. Akizungumza katika Kipindi cha Ukurasa Mpya cha Triple A Radio, Bw Elvicent Willson…
26 May 2025, 10:18 am
Na Joel Headman Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama barabarani Mkoa wa Arusha limetoa mafunzo kwa madereva wanaondesha magari ya Serikali mkoani hapa kwa ajili ya kuwajengea uwezo juu ya matumizi sahihi ya barabara na mifumo ya Jeshi la Polisi…
21 May 2025, 10:29 am
Na Joel Headman Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda amewahamasisha wananchi kujitokeza kuhakiki taarifa zao kwenye daftari la kudumu la wapiga kura Ametoa hamasa hiyo Jumatatu Mei 20, 2025 kwenye kituo cha kuandikisha wapiga kura kilichopo kwenye Hospitali ya…
Triple A Fm is a private owned and a business oriented Radio Station Registered under the Act which formed TCRA.The Radio Station is part of other organizations which are under the umbrella of The Blue Triple A Limited registered under the Companies Ordinance (Cap 212 of the Laws of Tanzania) in 2002.The Radio Station officiated on air in 2004 under a District License to cover only one Regional of Arusha.The Owner is Mr. Papaking Sambeke Mollel and his Family.
Since 2004 Triple A Fm Radio Station works on providing contents based on youth empowerment ,and deals specifically with contents based on entertainment, sports, entrepreneurship and health .the company own only one frequency which is 88.5.
THE MISSION
As per the functions of Triple A Fm Radio Station ,the mission statement summarizes the Station roles,which is “To be an effective Radio Station that offering Needed and Quality Contents with time assurance”
THE VISION
“To be the most listened Radio Station in Arusha”
THE CORE VALUES