

10 April 2024, 4:48 pm
Na Anthony Masai Mvua iliyonyesha kwa siku mbili mfululizo jijini Arusha imesababisha madhara hasa uharibifu wa miundombinu na makazi. Mvua kubwa zilizonyesha kwa siku mbili mfululizo zimeharibu barabara iliyokuwa ikiendelea kujengwa inayoanzia eneo la Mianzini mataa jijini Arusha hadi Ilkiding’a…
27 March 2024, 10:36 pm
Na Joel Headman Wakati taifa likisubiri kutolewa kwa ripoti ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG) mwishoni mwa mwezi huu au mwanzoni mwa Aprili, wananchi wametakiwa kufuatilia na kufahamu mwenendo wa rasilimali za nchi. Wito huo umetolewa…
23 March 2024, 10:17 pm
“kila mtu au taasisi inayopata kibali cha ujenzi katika maeneo ya jiji ,ipande miti kumi” Na.Anthony Masai Halmashauri ya jiji la Arusha imesisitiza kwamba itaendelea kusimamia msimamo wake wa kuhakikisha kila mtu au taasisi inayopata kibali cha ujenzi katika maeneo…
19 March 2024, 1:23 pm
“Asilimia 80 ya waandishi wa habari nchini hawana mikataba ya ajira” Na Anthony Masai Chama cha wafanyakazi katika vyombo vya habari nchini (JOWUTA) kimesema wakati Serikali ikiendelea na mchakato wa kuirasmisha sekta ya habari nchini,inaendelea kupoteza mapato mengi ambayo yangetokana…
17 March 2024, 10:21 pm
Na Joel Headman Umoja wa kwanza wa wanawake wanahabari ngazi ya mkoa nchini umezinduliwa mkoani Arusha. Umoja huo uliopewa jina la Arusha Women in Media umezinduliwa jijini Arusha Jumamosi Machi 16, 2024. Akizungumza mwenyekiti wa umoja huo Jamila Omar amesema…
7 March 2024, 3:54 pm
“vipaumbele vitakuwa katika sekta ya Elimu, Afya na Miundombinu kwani maeneo hayo ndio yanawagusa wananchi moja kwa moja” Na.Anthony Masai Baraza la Madiwani Halmashauri ya Jiji la Arusha limepitisha Bajeti ya kiasi cha shilingi Bilioni 51 kutoka katika mapato ya…
7 March 2024, 3:10 pm
“zaidi ya kilomita 152 za barabara ziko katika hatua mbali mbali za ujenzi kwa kiwango cha lami” Na.Anthony Masai Wakala wa Barabara TANROADS Mkoa wa Arusha,umebainisha jitihada zilizofanywa na Serikali ya awamu ya sita katika ujenzi wa madaraja na barabara…
24 February 2024, 10:26 pm
Na Joel Headman. Watu 15 wamefariki dunia papo hapo mkoani Arusha katika ajali ya barabarani iliyohusisha magari matatu. Akiwa katika eneo la Kibaoni Ngaramtoni ilikotokea ajali hiyo, Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha SACP Justine Masejo amesema ajali hiyo imetokea…
2 February 2024, 2:27 pm
“Vtendo vya ukeketaji nchini vimepungua lakini vimeongezeka kwa mkoa wa Arusha ambao unaongoza nchini kwa vitendo hivyo” Na. Anthony Masai. Maadhimisho ya kitaifa ya siku ya kupinga vitendo vya ukeketaji nchini yanatarajia kufanyika katika kijiji cha Olchorvosi,kata ya Musa,halmashauri ya…
1 February 2024, 9:14 pm
“Wahalifu walipo gereza la Kisongo ni 704,asilimia 70 ni wafungwa na 30 ni mahabusu,tofauti na miaka ya nyuma ambapo ilikuwa kinyume chake” Na. Anthony Masai. Jaji Mfawidhi Mahakama Kuu kanda ya Arusha Jaji Joackim Tinganga,amesema mabadiliko makubwa yaliyofanyika kwenye mifumo…
Triple A Fm is a private owned and a business oriented Radio Station Registered under the Act which formed TCRA.The Radio Station is part of other organizations which are under the umbrella of The Blue Triple A Limited registered under the Companies Ordinance (Cap 212 of the Laws of Tanzania) in 2002.The Radio Station officiated on air in 2004 under a District License to cover only one Regional of Arusha.The Owner is Mr. Papaking Sambeke Mollel and his Family.
Since 2004 Triple A Fm Radio Station works on providing contents based on youth empowerment ,and deals specifically with contents based on entertainment, sports, entrepreneurship and health .the company own only one frequency which is 88.5.
THE MISSION
As per the functions of Triple A Fm Radio Station ,the mission statement summarizes the Station roles,which is “To be an effective Radio Station that offering Needed and Quality Contents with time assurance”
THE VISION
“To be the most listened Radio Station in Arusha”
THE CORE VALUES