

21 October 2024, 7:02 pm
Na Joel Headman Babati. Ndio unavyoweza kusema kuwa njia pekee itakayokunusuru na kipigo hapa Tanzanite Kwaraa Babati ni wewe kutoleta timu yako uwanjani. Maana ukiingiza tu kama utapona sana basi ni sare na waliobahatika kupata sare hapa dhidi ya Fountain…
1 October 2024, 8:25 pm
Na Joel Headman Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linafanya uchunguzi wa kifo cha mtu mmoja mkazi wa Baraa jijini Arusha aliyekutwa msituni akiwa amening’inia juu ya mti. Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo, kamanda wa Polisi Mkoa…
28 September 2024, 11:14 am
Na Joel Headman Babati Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amewatahadharisha wakuu wa mikoa nchini kufikiria mara mbili mbili namna watakavyoingia mkoani Manyara. Wakuu wa mikoa waliopewa onyo hilo ni wale wote wenye timu za ligi kuu kwenye mikoa…
12 September 2024, 1:45 pm
Joel Headman Babati Timu ya mpira wa miguu ya Kengold kutoka Mbeya imeendelea kupumulia mashine kwenye ligi kuu Tanzania bara baada ya kukubali kipigo kingine toka kwa Fountain Gate fc ya Manyara. Katika mchezo huo namba 18 mzunguko wa 2…
29 August 2024, 12:39 pm
Na Joel Headman Arusha Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga amekakagua eneo la mradi wa Samia Arusha AFCON City (SAAC). Eneo hilo lenye ukubwa wa ekari 4,555.5 lipo Kata ya Olmot na Olasiti katika…
20 August 2024, 9:59 pm
Na Joel Headman Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameshtushwa na madai ya madereva wa Serikali kulogana ili wapate magari ya kufanyia kazi. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Juma Mtanda kwenye kongamano la tatu la madereva wa serikali…
16 June 2024, 4:39 pm
“elimu jumuishi kwa watoto izingatie maarifa,maadili na stadi za kazi”
13 May 2024, 11:42 am
”Serikali ilitoa muda wa kutosha kwa wanahabari kujiendeleza ili kufikia kiwango cha elimu inayotambulika kisheria” Na. Anthony Masai. Serikali ipo katika hatua za mwisho kukamilisha mchakato wa kutangaza kanuni za sheria ya huduma ya vyombo vya habari ya mwaka 2016…
2 May 2024, 4:48 pm
“Arusha inaonekana inaongoza katika matukio ya ukatili kwa sababu matukio mengi yanaripotiwa tofauti na mikoa mingine nchini” Na.Anthony Masai. Shirika lisilo la kiserikali la DSW lenye makao yake makuu mkoani Arusha linalotekeleza mradi wake wa SAFA wenye lengo la kuwezesha…
10 April 2024, 7:36 pm
“Vijana vinara wa vyuo vikuu na walio nje ya shule wamekuwa msaada mkubwa kufikisha elimu kwa vijana wengine nchini” Na Anthony Masai Shirika lisilo la kiserikali la DSW lenye makao yake makuu Tengeru wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, katika kutekeleza…
Triple A Fm is a private owned and a business oriented Radio Station Registered under the Act which formed TCRA.The Radio Station is part of other organizations which are under the umbrella of The Blue Triple A Limited registered under the Companies Ordinance (Cap 212 of the Laws of Tanzania) in 2002.The Radio Station officiated on air in 2004 under a District License to cover only one Regional of Arusha.The Owner is Mr. Papaking Sambeke Mollel and his Family.
Since 2004 Triple A Fm Radio Station works on providing contents based on youth empowerment ,and deals specifically with contents based on entertainment, sports, entrepreneurship and health .the company own only one frequency which is 88.5.
THE MISSION
As per the functions of Triple A Fm Radio Station ,the mission statement summarizes the Station roles,which is “To be an effective Radio Station that offering Needed and Quality Contents with time assurance”
THE VISION
“To be the most listened Radio Station in Arusha”
THE CORE VALUES