Triple A FM

Recent posts

30 September 2025, 11:58 am

Medali zaidi zinakuja-Simbu

“Tuendelee kuwa Pamoja tushikamane tushirikiane tupendane na tuweze kusonga mbele” Na Joel Headman Bingwa wa dunia wa marathoni Mtanzania Alphonce Simbu baada ya mapokezi ya kishindo jiji Arusha ameahidi kupambana na kutafuta medali nyingine kwa ajili ya kulitangaza zaidi taifa…

25 September 2025, 1:38 pm

Usinunue kiwanja, nyumba kabla ya kusikiliza hii

“Kwa sababu mwisho wa siku wale ndio watakuwa mashahidi wako wa kwanza katika…. kuonyesha kwamba umiliki huu ni wa bwana X au ni wa bwana Y” Na Jolaz Joel Headman Takwimu rasmi za wizara ya ardhi, Nyumba na Maendeleo ya…

24 September 2025, 3:04 pm

Mkude “Changamkieni fursa AFCON”

Na Daudi Peter Mkuu wa Wilaya ya Arusha Joseph Mkude amewataka wananchi kuwa tayari na kujiandaa kuchangamkia fursa mbalimbali zitakazoletwa na mashindano ya AFCON yanayotarajiwa kufanyika mwaka 2027 Akizungumza na Triple A Mkude amesema kuwa michuano hiyo imefungua fursa kwa…

24 September 2025, 2:35 pm

UDP kuifanya Arusha kitovu cha utalii wa michezo

“Suala zima la riadha,suala zima la mpira wa miguu,mpira wa mikono,mpira wa pete na michezo aina nyinginezo nyingi kwa sababu tunaona fursa ya ajira” Na Joel Headman Mgombeau rais wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha United Democratic Party (UDP)…

18 September 2025, 5:34 pm

Mbinu za Fountain ‘kuiua’ Simba zawekwa wazi

Na Joel Headman Wazee wa Kikombe cha bati, chai ya moto leo wamekiona cha moto kutoka kwa Purple Nation Mbeya City kwenye mchezo wa 3 wa ligi kuu uliomalizika jioni hii hapa Tanzanite Kwaraa Babati Kipute hicho kilianza majira ya…

17 September 2025, 10:36 am

Ubwabwa ni lugha ya picha-Mgombea CHAUMMA

“Nimekuja kupitia kauli yangu ya mimi nitawafikisha,endapo nitapata…endapo nitafanikiwa kuwa mbunge wa jimbo hili” Na Joel Headman Mgombea ubunge jimbo la Arumeru Magharibi kupitia chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) bi.Nasinyari Mollel ameeleza kuwa sera inayopigiwa chapuo na chama chake…

16 September 2025, 4:38 pm

Umewahi kuisikia ‘rushwa shukrani’?

“Kuna baadhi ya wagombea ama vyama vya siasa vinaweza vikaja vikatoa sasa badae kwamba tunashukuru…” Na Joel Headman Kama haukuwa na taarifa kuna aina tofauti za rushwa hata zile ambazo hukuzisikia wala kudhani kama zipo. Pengine unaweza kujiuliza ni ipi…

9 September 2025, 11:47 am

Simulizi ya aliyeolewa akiwa na umri mdogo

“Nilienda kwa ndugu zangu, majirani wao wakaona ni kitu cha kawaida sana….yaani naumia, naumia nikikaa ndani ndio hivyo naliaa najiona kabisa maisha yangu yamefika mwisho, ndoto yangu ilikuwa niwe daktari”

3 September 2025, 11:01 am

Bodaboda alivyogonga na kuingia ndani ya gari

“Alafu ni mwendo kasi, sio kitu kingine ndio ajali ya pikipiki, ameingia mwenyewe” Na Joel Headman Afisa usafirishaji (bodaboda) mwanaume mkazi wa Arusha amejeruhiwa baada ya kupata ajali eneo la mataa ya kuongoza magari ya Triple A kwenye barabara kuu…

3 September 2025, 10:48 am

Hatma ya Ngorongoro baada ya uchaguzi

Na Joel Headman Mkuu wa Mkoa wa Arusha Amos Makalla amewataka wananchi wa Wilaya ya Ngorngoro kuwa watulivu na kuendelea kudumisha amani na Mshikamano wakati wakisubiri majibu ya Tume mbili zilizoundwa kushughulikia changamoto zao. Akizungumza na wananchi wa Kijiji cha…

ABOUT US.

ORGANIZATION.

Triple A Fm is a private owned and a business oriented Radio Station Registered under the Act which formed TCRA.The Radio Station is part of other organizations which are under the umbrella of The Blue Triple A Limited registered under the Companies Ordinance (Cap 212 of the Laws of Tanzania) in 2002.The Radio Station officiated on air in 2004 under a District License to cover only one Regional of Arusha.The Owner is Mr. Papaking Sambeke Mollel and his Family.

Since 2004 Triple A Fm Radio Station works on providing contents based on youth empowerment ,and deals specifically with contents based on entertainment, sports, entrepreneurship and health   .the company own only one frequency which is 88.5.

THE MISSION

As per the functions of Triple A Fm Radio Station ,the mission statement summarizes the Station  roles,which is “To be an effective Radio Station that offering Needed and Quality Contents with time assurance”

THE VISION

“To be the most listened Radio Station in Arusha”

THE CORE VALUES

  • Professionalism
  • Quality
  • Integrity
  • Innovation
  • A drive for customer satisfaction.