Triple A FM

Mbowe: CHADEMA kilikuwa na sera bora

21 January 2026, 11:13 am

Mwenyekiti mstaafu wa CHADEMA Freeman Mbowe

Na Joel Headman

Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Mbowe ameeleza namna ambavyo chama hiko kilikuwa imara kutokana na namna kilivyojengwa

Akizungumza Tengeru mkoani Arusha kwenye msiba wa mwasisi wa chama hicho Edwin Mtei, Mbowe amesema miongoni mwa vitu wanavyovikumbuka zaidi ni namna marehemu mtei alivyoijenga CHADEMA

Mwenyekiti mstaafu wa CHADEMA Freeman Mbowe

Pia ameeleza kuwa Edwin Mtei ameacha uzoefu mkubwa katika vyama vya siasa nchini kutokana na autendaji wake wakati akiwa hai

Mwenyekiti mstaafu wa CHADEMA Freeman Mbowe

Mwili wa Edwin  Mtei unatarajiwa kuzikwa Jumamosi ya Januari 24, 2026 nyumbani kwake Tengeru mkoani Arusha.