Radio Tadio

KIFO

5 February 2024, 5:04 pm

Mwizi wa kuku aua, atokomea kusikojulikana

Wananchi wataka sungusungu kurudishwa ili kukabiliana na vitendo vya uharifu pamoja na wizi wa kuku unaoendelea kutokea kata ya Sungamile Wilayani Sengerema. Na:Emmanuel Twimanye Mwanamme mmoja mwenye umri wa miaka 40 ameuawa kwa kudaiwa kuchomwa na kisu na mtu anayedaiwa…

27 December 2023, 1:03 pm

Aliyejeruhiwa na mamba Chrismas afariki: Bunda

Mmoja wa majeruhi wa tukio la kushambuliwa na mamba eneo la Mayoro kata ya Nyamihoro amefariki wakati akikibizwa hispitali ya mkoa Na Adelinus Banenwa Mmoja wa majeruhi wa tukio la kushambuliwa na mamba eneo la Mayoro kata ya Nyamihoro amefariki…

28 November 2023, 11:48

Mwanamke afariki akielekea kutibiwa hospitali

Na Frola Godwin Mwananke mmoja anayejulikana kwa majina ya Selina Kasekwa (69)amekutwa amefari katika mashamba ya Tazara yaliyopo Ikuti Iyunga jijini Mbeya. Wakizungumza na kituo hiki baadhi ya mashuhuda wamedai marehemu alikuwa mgonjwa hivyo kifo chake kimetokea wakati akijipeleka hospitali…

17 November 2023, 21:48

Mchungaji kanisa la Moravian afariki Dunia

Na Hobokela Lwinga Mchungaji wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini Magharibi ushirika wa Meta Mbeya Sifael Mwashibanda amefariki Dunia jijini Dar es salaam alikokuwa anapatiwa matibabu. Akitoa taarifa ya kifo cha mch.Sifael Mwashibanda, Katibu mkuu wa Kanisa la…

16 November 2023, 17:03

Familia ya kijana aliyefariki Kakonko yaomba uchunguzi ufanyike

Familia ya Kijana Enock Elias aliyefariki katika mazingira ya kutatanisha yaomba uchunguzi dhidi ya waliohusika na mauaji hayo. Na Kadislaus Ezekiel Familia ya kijana Enock Elias Sabakwishi, mkazi wa kijiji cha Ilabiro kata ya Katanga wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma,…

16 October 2023, 2:18 pm

Mtoto wa miaka 3 afa maji wilayani Sengerema

Ikumbukwe mwezi September watoto wanne walipoteza maisha kwa kuzama kwenye bwawa kata ya Katunguru na kufanya jumla ya watoto sita kufa maji maeneo tofauti tofauti wilayani Sengerema kwa mwaka huu 2023. Na;Emmanuel Twimanye. Mtoto wa kike mwenye umri wa miaka…

6 October 2023, 16:21

Afariki baada ya kufukiwa na kifusi cha mawe Kigoma

Jamii imeomba Serikali kuchukua hatua za kudhibiti shughuli za uchimbaji wa madini ya mawe katika eneo la masanga manispaa ya kigoma Ujiji kutokana na kuhatarisha maisha ya watu. Na Eliud Theogenes Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Shabani amefariki…

14 September 2023, 06:58 am

Binti mwenye ulemavu atuhumiwa kujinyonga hadi kufa

Marehemu amekutwa amefungwa kamba aina ya Manila shingoni huku puani akichuruzika Damu. Na Musa Mtepa Katika hali isiyo ya kawaida Samia Ahmad Mohamed (20), mkazi wa kijiji cha Sinde, Msangamkuu Halmashauri ya wilaya ya Mtwara, mlemavu wa mikono na miguu…

27 August 2023, 3:21 pm

Kijana ajinyonga Pemba

Na Is-haka Mohammed Mtu mmoja anayejulikana kwa jina Moh’d Omar Juma maarufu Magodoro   anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30 mkaazi wa Machomanne Kilimo amefariki dunia baada ya kuonekana akining’inia katika chumba kwa kujinyonga. Khamis Issa Moh`d ni Mwanafamilia  wa…