Savvy FM
Savvy FM
10 June 2025, 6:46 pm
Walimu wote nchini watakiwa kufundisha kwa weledi nakujua kuwa watanzania wana matarajio makubwa kutoka kwako katika kuleta mapinduzi makubwa ya kimaendeleo katika sekta ya elimu Na Mariam Mallya Naibu Waziri wa Tamisemi anayeshughulikia elimu, Zainab Katimba amesema hayo wakati akizindua…
7 June 2025, 7:00 pm
Wananchi wa kijiji cha Mti mmoja wamepoteza matumaini yao ya utatuzi wa mgogoro wa ardhi baina ya mtu binafsi na eneo la malisho maarufu Sepeko baada ya Mkuu wa Wilaya ya Monduli kutoonekana katika eneo la mgogoro kama alivyoahidi. Na…
5 June 2025, 9:14 pm
Wananchi wa kitongoji cha Losinoni Kata ya Kisongo mkoani Arusha wanakwenda kunufaika na maji safi na salama baada ya kukosa maji kwa muda mrefu. Na Jenifa Lazaro Akizungumza na Savvy FM mwenyekiti wa Kijiji cha Engorora mhe Onesmo Lameck amesema…
5 June 2025, 2:58 pm
Wananchi watakiwa kuungana na kuwa mstari wa mbele kukemea na kupinga ukatili katika jamii. Na Mariam Mallya Mkurugenzi Mtendaji Shirika la Voice of Women Africa lililopo mkoani Arusha, Veronica Daudi Kidemi amesema kuwa jamii ina nafasi kubwa ya kupinga vitendo…
2 June 2025, 2:43 pm
Wananchi wa kijiji cha Engutukoit kata ya Oldonyowas wametoa siku 7 kupasua chungu kwa ajili ya watu wote wanaotaka kuwapora eneo la ardhi kwa ajili ya malisho ya mifugo yao. Na Juliana Laizer Wakizungumza katika mkutano ambao mgeni rasmi alikuwa…
27 May 2025, 12:10 pm
Wawekezaji wa utalii katika bonde la mto wa Mbu wilayani Monduli wametakiwa kufuata sheria na taratibu za kiuwekezaji na kuepuka kujimilikisha maeneo yalio chini ya wananchi au vijiji bila kuwashirikisha kisheria. Na Juliana Lizer Onyo hilo limetolewa na mkuu wa…
26 May 2025, 12:58 pm
Mgogoro wa barabara uliodumu kwa takribani wiki mbili baina ya wananchi na mwekazaji katika kata ya Olmot mtaa wa Mateves Ngaramtoni ya chini umetatuliwa na wananchi kupata barabara. Na Gasper Sambweti Wakizungumza na Savvy FM wananchi wa Ngaramtoni ya chini…
16 May 2025, 9:56 am
Wazazi wametakiwa kuwajengea watoto wao uwezo wa kujiamini kutokana na matukio ya kikatili yanayoendelea kushamiri hapa nchini. Na Mariam Mallya Afisa Mradi Magdalena Mchome kutoka Taasisi ya (WEGS) inayojihusisha na kuwainua wanawake kiuchumi pamoja na masuala ya kijinsia (WEGS) Iliyopo…
6 May 2025, 2:00 pm
Taharuki imetokea baada ya mwili wa marehemu kurudishwa mochwari mara mbili kabla ya kuzikwa. Na Michael Nanyaro Kundi la vijana wa bodaboda maarufu kama wadudu wilayani Arumeru jijini Arusha wamemrudisha mwenzao aliyefariki mochwari baada ya mwili kufikishwa nyumbani na familia,…
2 May 2025, 1:06 pm
Takribani wananchi elfu kumi katika Kata ya Mbuguni Wilayani Arumeru Mkoani Arusha waliokuwa wakipata athari mbalimbali ikiwemo kupoteza makazi na maisha ya watu kutokana na bonde la Mto Nduruma kujaa maji wameanza kupata ahueni baada ya bonde hilo kudabuliwa. Na…
Savvy FM Proposal Summary
Future Goals
Expand digital footprint internationally.
Maintain financial sustainability through ethical business practices.
Continue to innovate in programming and community service.
Contact Info
Phone: +255 787877778
Email: info@savvygroup.co.tz
Web: www.savvymediagroup.co.tz
Savvy FM Proposal Summary
Address: Plot 455, Block ‘C1’, Umoja Road, Njiro, Arusha, Tanzania