18 December 2024, 6:24 pm

TRA Pemba yawatembelea wafanyabiashara yasikiliza changamoto zao

meneja mamalaka ya mapato TRA mkoa wa  kikodi pemba  Arif Said  akizungumza na mfanya biashara  katika  maeneo ya   duka kiswani pemba ikiwa ni ziara maalum ya kuwatembelea na kusikiliza changamaoto zinazowakabili ikiwa ni ziara  maalumu ya kuwatambelea wafanya biashara kwa lengo la kujua changamoto zinazo wakabili.…

Offline
Play internet radio

Recent posts

30 September 2025, 8:01 am

Viongozi soko la Tumbe watakiwa kusimamia usafi

Viongozi wa soko la Tumbe wametakiwa kusimamia kwa umakini suala la usafi katika soko hilo ili liwe na haiba nzuri na mvuto kwa wageni wanaotembelea eneo hilo. Na Mwiaba Kombo Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Micheweni, Khatibu…

5 September 2025, 11:09 am

Pemba wamuunga mkono Rais Dkt. Mwinyi

Wananchi kisiwani Pemba wamesema hawajawahi kushuhudia maendeleo makubwa kama yale yaliyopatikana ndani ya kipindi cha miaka mitano ya uongozi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi. Na Mwiaba Kombo Wakizungumza na wahariri na…

2 September 2025, 10:33 am

Pemba wamshukuru Rais Dk. Mwinyi kwa hospitali ya wilaya

Wananchi kisiwani Pemba wamemshukuru Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, kwa kuwapatiwa Hospitali ya Wilaya katika kijiji cha Vitongoji. Na Mwiaba Kombo Shukrani hizo zimetolewa na wananchi hao walipokuwa wakizungumza na waandishi wa…

26 August 2025, 9:35 am

Wanahabari watakiwa kuelimisha umuhimu wa chanjo

Huduma ya chanjo ni kipaombele kikuu cha serikali ambapo chanjo hizo ni salama na zimethibitishwa na shirika la afya duniani (WHO)pamoja na wizara ya afya kupitia wakala wa chakula, dawa na vifaa tiba ,hivyo hakuna sababu ya kuhofia kupata chanjo…

24 July 2025, 12:35 pm

Kamati za uvuvi zatakiwa kusimamia usafi soko la Tumbe

Mkurugenzi wa halamashauri ya wilaya yaMicheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba amewataka wafanyakazi wa diko la Tumbe kuhakikisha wanasimamia iapasavyo usafi katika diko hilo ili kuweza kuindokana na maradhi ambayo yanaweza kujitokeza endapo soko hilo halitokuwa safi kwani mazingira machafu huvutia…

7 July 2025, 7:42 pm

Wanawake Pemba watakiwa kugombea nafasi za uongozi

Chama cha wananchi CUF ni miongoni mwa chama cha siasa ambacho kitashiriki uchaguzi mkuu Taifa ambao unatarajiwa kufanyika October 2025 ambapo viongozi wa chama hicho wamewataka wanachama wao pamoja na wananchi kwa ujumla kuhakikisha wanashiriki kikamilifu kwenye uchaguzi huo kwa…

1 July 2025, 9:59 pm

Shirikisho la walimu Zanzibar lampongeza Dkt. Mwinyi

Makamo wa pili wa rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na shirikisho la walimu pamoja na wananchi katika ukumbi wa skuli ya Sekondari Utaani (picha na Ofisi ya makamo wa pili ) Katika kipindi cha miaka mitano, skuli mbali…

29 June 2025, 4:17 pm

Miaka minne bila huduma ya maji kwa pengo

Ni zaidi ya miaka minne katika kijiji cha kwa pengo shehia ya Sizini wameendelea kukosa huduma ya maji safi na salama ambapo ni jambo la msingi na muhimu kwa matumizi ya binadamu ya kila siku . Na Fatma Faki WANANCHI…

13 June 2025, 10:51 am

CUF Zanzibar yajipanga kurejesha ufalme wao

Chama cha wananchi CUF ni miongoni chama kikongwe cha kisiasa ambacho kwa upande wa Zanzibar kilikuwa ni chama kikuu cha Upinzani kuanzia mwaka 1995 mpaka mwaka 2000 ambapo kuliingia migogoro ndani ya chama hicho na kusababisha kupotea kwa wanachama wake…

Mission and Vision

Micheweni Fm inapatikana mkoa wa kaskazini pemba – Zanzibar. ni kituo cha kijamii kinachotoa maudhui yanayoigusa jamii moja moja kwa moja