Loliondo FM

Recent posts

28 January 2024, 4:59 pm

Atakayehama kwa hiari Ngorongoro kupewa haki zote za msingi

Katika mwendelezo wa wananchi wanaoishi ndani ya hifadhi ya Ngorongoro kuhama kwa hiari kupisha zoezi la uhifadhi, hatimaye kaya zingine 118 zenye watu 818 na mifugo 3,129 wamehama kuelekea Msomera. Na Edward Shao Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. John…

22 January 2024, 1:29 pm

Matukio ya mvua Ngorongoro mmoja afariki

Katika Matukio makubwa ya wiki wilayani hapa yametawaliwa kwa kiasi kikubwa ni athari mbalimbali ambazo zimesababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha kwa wingi ikiwemo mtu mmoja kupoteza Maisha baada ya kusombwa na maji. Na Edward Shao, Mvua zinazoendelea kunyesha hapa wilayani…

16 January 2024, 11:33 pm

Serikali yakabidhi vifaa vya wanafunzi wenye huitaji maalum Ngorongoro

Serikali imeendelea kutatua changamoto mbalimbali zinazowafanya wanafunzi kushindwa kuendelea na na masomo ikiwemo kutoa vifaa vya kusomea kwa wanafunzi wenye huitaji maalum. Na Edward Shao. Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro imepokea vifaa maalum kwaajili ya wanafunzi wenye mahitaji maalum. Serikali…

26 December 2023, 3:59 pm

Matukio makubwa Ngorongoro

Matukio makubwa kwa wilaya ya Ngorongoro kwa wiki mbili zilizopita na yaliyowagusa wananchi walio wengi wilayani hapa ni pamoja na ujio wa mkuu mpya wa wilaya wengi wakisubiri kuona utendaji wake wa kazi. Na Edward Shao. Haya hapa ni matukio…

20 December 2023, 10:57 am

Wakinamama 1657 wamepewa elimu juu ya lishe Ngorongoro

Wilaya ya Ngorongoro ni moja ya wilaya ambazo wanaishi wafugaji kwa asilimia kubwa na chakula chao kikukuu ni nyama pamoja na maziwa hivyo maafisa lishe wamekuwa wakiendelea kutoa elimu juu ya kula lishe bora na faida zake katika jamii hiyo…

17 December 2023, 1:52 pm

PWC watumia redio kumlinda mtoto wa kike kipindi cha likizo

Jamii za kifugaji wilayani Ngorongoro wamekuwa wakitumia kipindi cha likizo kwa wanafunzi pindi wanaporudi nyumbani kutekeleza mila na desturi kwa mtoto wa kike ambazo zimekuwa zikimkatili, Mila au matendo hayo ni kama vile kuozeshwa,mimba za utotoni,kufanyishwa kazi ngumu na hata…

13 December 2023, 12:03 pm

Ngorongoro yafanya vizuri ukusanyaji mapato robo ya kwanza 2023/2024

Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro imefanya vizuri Katika ukusanyaji wa mapato kwa robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2023/24 Julai hadi Septemba ikikusanya kiasi cha Tsh.778,893,937 ikiwa ni asilimia 25 ya makisio ya mwaka huu wa 2023. Na Zacharia…

11 December 2023, 1:29 pm

TADIO yawafikia wanahabari Loliondo

Baada ya mtandao wa redio TADIO ambalo ni jukwaa linalounganisha redio za kijamii Tanzania kufanikisha mafunzo ya wanahabari ya namna yakuchapisha maudhui mtandaoni kwa Kanda ya kaskazini yaliyofanyika kwa siku mbili Desemba 7-8, 2023 sasa wameanza kuwapatia mafunzo wale waliosalia…

10 December 2023, 6:37 pm

Ngorongoro yanogeshwa na uhuru cup bonanza

Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro imeadhimisha miaka 62 ya uhuru wa Tanganyika kwa kuandaa mashindano ya mpira wa miguu yaliyokutanisha timu nne ambazo ni Serengeti boys,Loliondo sports,soitsambu fc na Merau fc. Na Zacharia James Timu Soitsambu fc wametawazwa kuwa mabingwa…

8 December 2023, 4:39 pm

Tatizo la umeme Ngorongoro

Wananchi wilayani Ngorongoro wamekuwa wakiitaja kero ya kukatika kwa umeme mara kwa mara kuwa ni moja ya kero kubwa kwao kwani wamekuwa wakiofia kuungua kwa mali zao zinazotumia umeme na hata kushindwa kufanya kazi zao za kila siku hususani wale…