Loliondo FM

Recent posts

14 June 2024, 9:07 am

Dc Ngorongoro:Tatueni migogoro kwenye kata zenu

Na Zacharia James Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro Mhe.kanali Wilson Sakulo amewataka waheshimiwa madiwani kushiriki kikamilifu kusaidia kutatua migogoro yote iliyopo katika maeneo ya kata zao kwani wao wananguvu kubwa na imani ya Wananchi wao. Ameyasema hayo katika mkutano wa…

13 June 2024, 5:30 pm

Wakazi 4000 kufikiwa na madaktari bingwa Ngorongoro

Katika kuhakikisha serikali inaboresha huduma za afya nchini, wilaya ya Ngorongoro imepokea madaktari bingwa kwa ajili ya kuongeza nguvu katika kutoa huduma za uhakika kwa wananchi. Na Saitoti Saringe. Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Kanali Wilson Sakulo amefanya ufunguzi wa…

12 June 2024, 7:14 pm

Ashambuliwa na sime kisa kulisha ng’ombe chumvi Ngorongoro

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mh Paul Makonda wakati anawasili kwa mara ya kwanza mkoani hapa alinukuliwa akisema mkoa wa Arusha una migogoro mingi ya aridhi na kumpa kamishina wa Aridhi miezi mitatu kuhakikisha anaimaliza migogoro hiyo. Na Edward Shao.…

31 May 2024, 9:46 pm

Mashindano ya UMISETA yashika kasi Ngorongoro

Mashindano ya Umiseta imeendelea kuvutia wapenzi wengi wa soka wilayani Ngorongoro baada ya kukutanisha wanafunzi kutoka shule mbalimbali na wadau wa soka wilayani hapo. Na Saitoti Saringe Mashindano ya Michezo kwa Shule za Sekondari (UMISETA) leo tarehe 31 Mei, 2024,…

31 May 2024, 2:36 pm

Aliyefichwa kwa miaka 13 kisa ulemavu aibuliwa Ngorongoro

Jamii za kifugaji zinazo patikana katika wilaya ya Ngorongoro baadhi yao wanaamini mtu mwenye ulemavu kwenye familia ni laana au mkosi hivyo wengi wao uwaficha wasionekane katika jamii. Na Edward Shao. Shirika la Ngolac [Ngorongoro legal aid center] limefanikiwa kumuibua…

30 May 2024, 12:47 pm

DED Ngorongoro awataka watumishi kushirikiana

Ilikufanikisha maendeleo ya wananchi kwa weledi watumishi wa Halmshauri wametakiwa kuwa na umoja na ushirikiano katika kutimiza majukumu yao. Na Saitoti Saringe Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro Bw. Murtallah Sadiki Mbillu amezungumza na Watumishi wa Wilaya ya Ngorongoro…

25 May 2024, 11:26 pm

ALAT yaipongeza Ngorongoro

Mbali na fedha za kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani Ngorongoro kutoa serikalini pia kumekuwa na wadau wanaotoa fedha za kutekeleza miradi ya maendeleo kwa kushirikiana na halmashauri, wadau hao nikama vile KWF,TANAPA na wengineo. Na Zacharia James Jumuia ya…

23 May 2024, 6:49 pm

Frankfurt yatoa ufadhili wa ufundi stadi Ngorongoro

Shirika la Frankfurt zoological society ni moja ya mashirika yasiyo ya kiserikali ambapo makao makuu yake yapo katika mji wa Frankfurt nchini Ujerumani likiwa linajishughulisha na huifadhi wa mazingira ya asili na viumbe hai katika mazingira ya asili huku likifanya…

17 May 2024, 10:33 am

Kamati: Kituo cha afya Arash kifanye kazi kabla ya Mei 20 Ngorongoro

Wilaya ya Ngorongoro kupitia kamati yake ya fedha wamepanga ziara maalum za kukagua na kuhakikisha miradi mbalimbali ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa wilayani hapa inatekelezwa kwa ubora na ufanisi wa hali ya juu. Na mwandishi wetu. Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya…

Loliondo FM Profile

Loliondo FM Community Radio was born on april 2011 headquartered in Waso/Loiondo Township council, Ngorongoro DC, Arusha region, Tanzania United Republic. The organization partnered with different development partners in implementing projects to achieve its objectives. Loliondo FM gets more support from UNESCO, Airtel Tanzania, Insight share and previously Oxfam Tanzania. Other partners include Ngorongoro DC, Radio Tadio, local and international NGOs, Investors, individuals and more importantly the community in general

Lolindo FM Radio strives to raise voice of the pastoral communities, farmers and traders in Ngorongoro district and other coverage geographical areas including Longido District, Serengeti, Tarime in Tanzania and Narok and Kajiado County in Kenya. Loliondo FM target the following groups in its areas of focus; pastoralist communities, farmers, trader’, youth, women, and older children and people with disabilities

Loliondo FM Radio mission is to Building inclusive knowledge Community through information and communication. Loliondo FM works to create the conditions for discourse among policymakers, community, investors, conservators and peoples, based upon respect for commonly shared values. It is through this dialogue, information sharing that the community can achieve global visions of sustainable development surrounding observance of human rights, mutual respect and the alleviation of poverty. The organization focuses on areas such as climate change, education, health care, gender and cultural survival, sustainable livelihood, and human rights

Loliondo FM radio focuses on a set of objectives in the National priority areas

  1. Loliondo FM radio becomes reliable media community Centre  
  2. To encourage individuals and groups in target communities to participate in production of community media ie publications, video, radio, online and web broadcasting
  3. To work with community members to ensure appropriate and accessible platforms exist to express and promote the community voice
  4. To tackle negative stereotyping by mainstreaming media through production and distribution of locally created and produced community media that positively influence policymakers