Loliondo FM

Recent posts

18 July 2024, 10:17 am

PALISEP yazindua mradi, kuwafikia wananchi 15,000 Ngorongoro

Mashirika mengi yasiyo ya kiserikali wilayani Ngorongoro yamekuwa yakitekeleza miradi mingi yenye manufaa kwa jamii za kifugaji ikiwepo maswala ya uhifadhi, mabadiliko ya tabia ya nchi na mingine mingi. Na Edward Shao. Shirika lisilo la kiserikali PALISEP limezindua mradi wa…

9 July 2024, 8:46 am

Mimutie yaibua mapya kesi ya ulawiti mbele ya Makonda Ngorongoro

Matukio ya ukatili kwa mkoa wa Arusha yameendelea kushika kasi huku wadau wa kupambana na maswala hayo ya ukatili wakijitolea kutafuta haki kwa wahanga lakini imeonekana kukosa ushirikiano baina yao pamoja na vyombo mbalimbali vya kutoa msaada wa kisheria hali…

9 July 2024, 12:15 am

Ujenzi wa nyumba Msomera wafikia asilimia zaidi ya 90

Katika juhudi za kuendelea kuboresha mazingira na kujenga nyumba za kutosha katika kijiji cha Msomera ili kuwezesha wananchi watakao hama kwa hiari kutoka hifadhi ya Ngorongoro wanapata sehemu nzuri yakuishi pamoja na mifugo yao sasa ujenzi wa nyumba umekamilika ni…

8 July 2024, 11:10 pm

Balozi Msumbiji akoshwa na banda la Ngorongoro sabasaba

Maonesho ya biashara yanayojulikana kama sabasaba yalianza mwaka 1962 yakiwa ni maonesho ya kilimo yaliyokuwa yakifanyika katika viwanja vya Wizara ya biashara miaka ya hivi karibuni maonesho hayo yamekuwa yakishirikisha nchi takribani 20 kutoka kusini mwa Afrika (SADC) vilevile yamejulikana…

2 July 2024, 6:44 am

Wananchi Ngorongoro hawatumii maji kuhofia laana

Elimu bado inahitajika kwa wananchi katika jamii za kifugaji kuhusu matumizi safi ya maji na utunzaji wa mazingira, kulinda vyanzo vya maji na kulinda miundombinu ya maji katika matumizi yao ya kila siku ikiwemo wakati wa unyweshaji wa mifugo maji.…

2 July 2024, 2:03 am

Makonda na ziara ya kwanza Ngorongoro

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. Paul Makonda amefika walayani Ngorongoro kwa mara ya kwanza tangu ateuliwe kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na Zacharia James. Mkuu…

22 June 2024, 5:58 pm

RAS Arusha aahidi kumleta Makonda Ngorongoro

Kwa mujibu wa Katibu Tawala Mkoa wa Arusha lengo la mkoa ni kufikia (single digit) yaani chini ya hoja kumi ambazo zimefikia lengo ni halmashauri 5 pekee. Na Zacharia James. Katibu tawala wa mkoa wa Arusha mhe. Massaile Albano Musa…

19 June 2024, 4:44 pm

Jamii ya Maasai kuongozwa na viongozi wa kimila wanawake

Ni mara chache kushuhudia viongozi wa kimila wanawake wameaminiwa na kupewa nafasi katika kuongoza jamii, lakini shirika la Memutie limefanikiwa kuielimisha jamii ya kimaasai na kukubali kupata viongozi wa kimila wanawake maarufu Ingaigwanak na kuwasimika rasmi tayari kuanza majukumu yao.…

Loliondo FM Profile

Loliondo FM Community Radio was born on april 2011 headquartered in Waso/Loiondo Township council, Ngorongoro DC, Arusha region, Tanzania United Republic. The organization partnered with different development partners in implementing projects to achieve its objectives. Loliondo FM gets more support from UNESCO, Airtel Tanzania, Insight share and previously Oxfam Tanzania. Other partners include Ngorongoro DC, Radio Tadio, local and international NGOs, Investors, individuals and more importantly the community in general

Lolindo FM Radio strives to raise voice of the pastoral communities, farmers and traders in Ngorongoro district and other coverage geographical areas including Longido District, Serengeti, Tarime in Tanzania and Narok and Kajiado County in Kenya. Loliondo FM target the following groups in its areas of focus; pastoralist communities, farmers, trader’, youth, women, and older children and people with disabilities

Loliondo FM Radio mission is to Building inclusive knowledge Community through information and communication. Loliondo FM works to create the conditions for discourse among policymakers, community, investors, conservators and peoples, based upon respect for commonly shared values. It is through this dialogue, information sharing that the community can achieve global visions of sustainable development surrounding observance of human rights, mutual respect and the alleviation of poverty. The organization focuses on areas such as climate change, education, health care, gender and cultural survival, sustainable livelihood, and human rights

Loliondo FM radio focuses on a set of objectives in the National priority areas

  1. Loliondo FM radio becomes reliable media community Centre  
  2. To encourage individuals and groups in target communities to participate in production of community media ie publications, video, radio, online and web broadcasting
  3. To work with community members to ensure appropriate and accessible platforms exist to express and promote the community voice
  4. To tackle negative stereotyping by mainstreaming media through production and distribution of locally created and produced community media that positively influence policymakers