

12 June 2024, 7:14 pm
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mh Paul Makonda wakati anawasili kwa mara ya kwanza mkoani hapa alinukuliwa akisema mkoa wa Arusha una migogoro mingi ya aridhi na kumpa kamishina wa Aridhi miezi mitatu kuhakikisha anaimaliza migogoro hiyo. Na Edward Shao.…
31 May 2024, 9:46 pm
Mashindano ya Umiseta imeendelea kuvutia wapenzi wengi wa soka wilayani Ngorongoro baada ya kukutanisha wanafunzi kutoka shule mbalimbali na wadau wa soka wilayani hapo. Na Saitoti Saringe Mashindano ya Michezo kwa Shule za Sekondari (UMISETA) leo tarehe 31 Mei, 2024,…
31 May 2024, 2:36 pm
Jamii za kifugaji zinazo patikana katika wilaya ya Ngorongoro baadhi yao wanaamini mtu mwenye ulemavu kwenye familia ni laana au mkosi hivyo wengi wao uwaficha wasionekane katika jamii. Na Edward Shao. Shirika la Ngolac [Ngorongoro legal aid center] limefanikiwa kumuibua…
30 May 2024, 12:47 pm
Ilikufanikisha maendeleo ya wananchi kwa weledi watumishi wa Halmshauri wametakiwa kuwa na umoja na ushirikiano katika kutimiza majukumu yao. Na Saitoti Saringe Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro Bw. Murtallah Sadiki Mbillu amezungumza na Watumishi wa Wilaya ya Ngorongoro…
25 May 2024, 11:26 pm
Mbali na fedha za kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani Ngorongoro kutoa serikalini pia kumekuwa na wadau wanaotoa fedha za kutekeleza miradi ya maendeleo kwa kushirikiana na halmashauri, wadau hao nikama vile KWF,TANAPA na wengineo. Na Zacharia James Jumuia ya…
23 May 2024, 6:49 pm
Shirika la Frankfurt zoological society ni moja ya mashirika yasiyo ya kiserikali ambapo makao makuu yake yapo katika mji wa Frankfurt nchini Ujerumani likiwa linajishughulisha na huifadhi wa mazingira ya asili na viumbe hai katika mazingira ya asili huku likifanya…
17 May 2024, 10:33 am
Wilaya ya Ngorongoro kupitia kamati yake ya fedha wamepanga ziara maalum za kukagua na kuhakikisha miradi mbalimbali ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa wilayani hapa inatekelezwa kwa ubora na ufanisi wa hali ya juu. Na mwandishi wetu. Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya…
11 May 2024, 12:24 pm
Baada ya kuhudumu kwa muda mfupi kwenye nafasi ya kamishina wa hifadhi,mamlaka ya Ngorongoro NCAA ndg Richard Kiiza na kuondolewa na rais Mh,Dr Samia Suluhu Hassan Machi 15,2024 hatimaye Mei 06 2024 rais amemteua Dr Elirehema Doriye kushika nafasi hiyo.…
7 May 2024, 11:17 am
Katika jitihada za serikali za kuhakikisha eneo la hifadhi ya Ngorongoro libaki wazi kupisha shughuli za uhifadhi,mamlaka ya hifadhi hiyo NCAA wapo katika hatua za mwisho kukamilisha ujenzi wa makao makuu yao wilaya ya Karatu mkoani Arusha. Na Mwandishi wetu.…
16 April 2024, 7:13 am
Baadhi ya wananchi wachache katika mitandao ya kijamii wamekuwa wakiitumia mitandao yao vibaya ikiwemo kuwatukana na kuwachafua viongozi wa nchi kwenye mitandao hiyo kinyume na matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii,hivyo viongozi wa serikali wamekuwa wakiwasisitiza kuacha kufanya hivyo kwani…
Loliondo FM Community Radio was born on april 2011 headquartered in Waso/Loiondo Township council, Ngorongoro DC, Arusha region, Tanzania United Republic. The organization partnered with different development partners in implementing projects to achieve its objectives. Loliondo FM gets more support from UNESCO, Airtel Tanzania, Insight share and previously Oxfam Tanzania. Other partners include Ngorongoro DC, Radio Tadio, local and international NGOs, Investors, individuals and more importantly the community in general
Lolindo FM Radio strives to raise voice of the pastoral communities, farmers and traders in Ngorongoro district and other coverage geographical areas including Longido District, Serengeti, Tarime in Tanzania and Narok and Kajiado County in Kenya. Loliondo FM target the following groups in its areas of focus; pastoralist communities, farmers, trader’, youth, women, and older children and people with disabilities
Loliondo FM Radio mission is to Building inclusive knowledge Community through information and communication. Loliondo FM works to create the conditions for discourse among policymakers, community, investors, conservators and peoples, based upon respect for commonly shared values. It is through this dialogue, information sharing that the community can achieve global visions of sustainable development surrounding observance of human rights, mutual respect and the alleviation of poverty. The organization focuses on areas such as climate change, education, health care, gender and cultural survival, sustainable livelihood, and human rights
Loliondo FM radio focuses on a set of objectives in the National priority areas