Loliondo FM

Recent posts

6 April 2024, 12:26 pm

Kamishna wa uhifadhi atumia milioni 400 kulala hotelini Ngorongoro

Viongozi wa ngazi za chini waliochaguliwa na wananchi kutetea na kuibua kero zao wilayani Ngorongoro wameendelea kusimama na wananchi, hii ni baada ya diwani wa kata ya Alaitole tarafa ya Ngorongoro kuibua sakata la aliyekuwa kamishna wa mamlaka ya huifadhi…

2 April 2024, 10:46 am

Ngorongoro yaguswa na bilioni 2.5 za TASAF Arusha

Serikali imekuwa ikiendelea na mpango wa kuzinusuru kaya masikini kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF kwa halmashauri zote zilizo kwenye mpango huo, halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro ikiwemo. Na mwandishi wetu. Jumla ya shilingi bilioni 2.5 zimegawiwa na serikali kwa…

27 March 2024, 11:39 am

Kaya 140 zanufaika na fedha za Tasaf Ngorongoro

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilianza kutekeleza mradi wa mfuko wa maendeleo ya jamii – TASAF kuanzia mwaka 2000, ikiwa ni moja ya mbinu za kutokomeza umasikini ambazo pia zilisaidia ajenda ya ugatuaji wa madaraka. Katika kipindi cha…

24 March 2024, 11:15 am

UCRT wazindua mradi mpya wa uhifadhi shirikishi Ngorongoro

Shiraika la UCRT limekuwa likitekeleza shughuli mbalimbali pamoja na miradi ya maendeleo wilayani hapa kwa manufaa ya wananchi huku wakishirikiana na halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro kwa ukaribu. Na Mathias Tooko, Uzinduzi wa mradi huo umefanyika Machi 23 2024 kupitia…

22 March 2024, 2:02 pm

Enguserosambu wagoma kutoa eneo la shamba darasa Ngorongoro

Wafugaji waliowengi wilayani Ngorongoro wanahitaji elimu ya ufugaji bora,wakisasa na wenye tija hivyo elimu mbalimbali ihusuyo ufugaji,na mashamba darasa ni miongoni mwa elimu hiyo. Na Edward Shao. Mkuu wa wilaya Ngorongoro Kanali Wilson Sakulo amewataka wanakijiji wa kata ya Enguserosambu…

16 March 2024, 4:39 pm

Serikali yatoa vifaa tiba kituo cha afya Sale

Na Saitoti Saringe. Katika kuboresha huduma za afya serikali imeendelea kununua vifaa vya tiba muhimu kwa lengo la kuhakikisha wananchi wanapata huduma stahiki kuanzia vituo vya afya wilayani Ngorongoro. Kituo cha afya Sale kilichopo kata ya Sale kimepokea vifaa vipya…

15 March 2024, 12:36 pm

Wananchi Samunge, Digodigo kero zao mikononi mwa Dc Sakulo

Ni muendelezo wa zira za mkuu wa wilaya Kanali Sakulo katika kutembelea vijiji na kata mbalimbali kusikiliza na kutatua kero za wananchi. Na mwandishi wetu Wananchi Kata ya Samunge na Kata ya Digodigo Machi 14, 2024 wamemshukuru Mhe. Mkuu wa…

14 March 2024, 3:19 pm

Nguzo zaanguka Longido, Ngorongoro yakosa umeme

Umeme umeendelea kuwa kero kwa wananchi kutokana na kukosekana kwa huduma hii muhimu kwa shughuli za kila siku kwa kukatika mara kwa mara kwenye maeneo mengi hapa nchini. Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro Mh Kanali Wilson Sakulo tarehe 13 Machi…

8 March 2024, 11:03 am

Kamati ya siasa Arusha yaridhishwa miradi ya maendeleo Ngorongoro

Ni ziara ya mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiambatana na viongozi wengine wa mkoa ikiwemo mkuu wa mkoa wa Arusha Mh John Mongella wamefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo wilayani hapa huku wakitoa pongezi kwa mkurugenzi mtendaji kwa…

25 February 2024, 8:46 am

DC Ngorongoro na ziara ya kwanza

Miradi mingi ya maendeleo wilayani Ngorongoro inayotekelezwa kupitia ufadhili wa benki ya maendeleo ya Ujerumani (KFW) imegusa karibu kila sekta muhimu ikiwepo Afya,barabara pamoja na sekta ya elimu. Na mwandishi wetu. Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Kanal. Wilson Sakulo leo…