Loliondo FM
Loliondo FM
23 August 2024, 1:17 pm
Kufuatia yanayoendelea Ngorongoro na kuelekea Uchaguzi wa serikali za mitaa maratibu wa THRDC awataka Waandishi wa habari wasikae kimya kwa sababu wananchi wanaumia. Na Saitoti Saringe Akizingumza hii leo Agosti 23, 2024 jijini Dodoma akifungua mafunzo kwa Waandishi wa Habari…
23 August 2024, 12:23 am
Ni maandamano yaliyofanyika Agosti 21, 2024 mkoani Simiyu kwa wananchi kuandamana wakidai polisi kutochukua hatua ya kufuatilia matukio ya kupotea kwa watoto na kupatikana wakiwa wamefariki dunia. Na mwandishi wetu. Kijana Meshack Daudi Paka (21) mhitimu wa kidato cha sita…
22 August 2024, 10:33 pm
Baada ya kuwepo kwa taarifa za kufutwa kwa baadhi ya vijiji wilayani Ngorongoro kumekuwepo wadau mbalimbali wa kutetea haki za wanangorongoro kuhakikisha wanapata haki na huduma zao za msingi kama ilivyo kwa wananchi wengine hapa nchini. Na mwandishi wetu. Mahakama…
22 August 2024, 3:20 pm
Hakuna tamko lolote rasmi kutoka serikalini kuhusu maandamano ya wananchi wanaoishi tarafa ya Ngorongoro kuhusu kero mbalimbali zinazowakabili. Na mwandishi wetu. Chama cha demokrasia na maendeleo Chadema kupitia mwenyekiti wa chama hicho mh Freeman Mbowe wametoa tamko na msimamo wao…
22 August 2024, 9:33 am
Kumekuwa na maandamano kwa wananchi wanaoishi tarafa ya Ngorongoro wakiitaka serikali kuwasikiliza na kutatua changamoto na kero zinazowakabili bila ya mafanikio, hata hivyo wengine wameendelea kukubali kuhama kwa hiari kulekea Msomera. Na mwandishi wetu. Mwitikio wa wananchi wanaoishi katika eneo…
18 August 2024, 8:59 pm
Idadi kubwa ya wananchi wanaoishi katika tarafa ya Ngorongoro wameandamana hii leo Agosti 18,2024 wakishinikiza serikali iwasikilize na kutatua kero zao mbalimbali zinazowakabili. Na mwandishi wetu. Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imesema kuwa shughuli za utalii bado zinaendelea katika…
10 August 2024, 4:35 am
Magofu ya Engaruka ni moja ya maeneo yenye historia kubwa sana Tanzania miaka 500 hivi iliyopita, jamii ya wakulima ilitumia mfumo wa hali ya juu wa kilimo cha umwagiliaji katika eneo hilo. Na Mwandishi wetu. Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi…
1 August 2024, 3:44 pm
Lishe ni kiasi na aina ya chakula unachokula kulingana na mahitaji ya mwili wako na lishe bora inamaanisha kuwa kiasi sahihi cha virutubishi vya mwili huliwa baadhi ya watu ula chakula kujaza matumbo na si kuzingatia lishe bora kwa mujibu…
29 July 2024, 10:44 am
PWC wamekuwa na mchango mkubwa katika jamii za kifugaji hususan kwenye masuala ya ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto, kuwawezesha wanawake kiuchumi na miradi mingine mingi ya kimaendeleo. Na Mwandishi wetu. Shirika la PWC wakiongozana na viongozi wa mila…
26 July 2024, 9:39 am
UNESCO ni shirika la elimu, sayansi na utamaduni la umoja wa mataifa kati ya shughuli muhimu za UNESCO mojawapo ni kutunza na kulinda urithi wa dunia na mahali penye umuhimu wa pekee kihistoria, kisayansi au kiutamaduni.Na mwandishi wetu. Ujumbe wa UNESCO umehitimisha…
Loliondo FM Community Radio was born on april 2011 headquartered in Waso/Loiondo Township council, Ngorongoro DC, Arusha region, Tanzania United Republic. The organization partnered with different development partners in implementing projects to achieve its objectives. Loliondo FM gets more support from UNESCO, Airtel Tanzania, Insight share and previously Oxfam Tanzania. Other partners include Ngorongoro DC, Radio Tadio, local and international NGOs, Investors, individuals and more importantly the community in general
Lolindo FM Radio strives to raise voice of the pastoral communities, farmers and traders in Ngorongoro district and other coverage geographical areas including Longido District, Serengeti, Tarime in Tanzania and Narok and Kajiado County in Kenya. Loliondo FM target the following groups in its areas of focus; pastoralist communities, farmers, trader’, youth, women, and older children and people with disabilities
Loliondo FM Radio mission is to Building inclusive knowledge Community through information and communication. Loliondo FM works to create the conditions for discourse among policymakers, community, investors, conservators and peoples, based upon respect for commonly shared values. It is through this dialogue, information sharing that the community can achieve global visions of sustainable development surrounding observance of human rights, mutual respect and the alleviation of poverty. The organization focuses on areas such as climate change, education, health care, gender and cultural survival, sustainable livelihood, and human rights
Loliondo FM radio focuses on a set of objectives in the National priority areas