Loliondo FM
107.7 MHz
Waso, Loliondo, Ngorongoro, Arusha, Tanzania
0682226660
loliondofmradio2011@gmail.com
107.7 MHz
Waso, Loliondo, Ngorongoro, Arusha, Tanzania
0682226660
loliondofmradio2011@gmail.com
Katika kuhakikisha utendaji kazi Kwa viongozi wa serikali za mitaa wilayani Ngorongoro unakuwa na tija kwa wananchi, wizara ya katiba na sheria imewapatia viongozi hao mafunzo Kwa lengo la kuongeza ufanisi katika majukumu yao. Na Saitoti Saringe Wizara ya katiba…
28 October 2025, 11:56 am
Tarehe 29,2025 ni siku muhimu kwa wananchi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania kutumia haki yao ya kikatiba kupiga kura kumchagua rais,mbunge pamoja na madiwani watakao waongoza kwa miaka mitano huku wilaya ya Ngorongoro ikiwa imekamilisha maandalizi yote kuelekea siku…
30 September 2025, 1:01 pm
Ligi ya mpira wa miguu wilaya ya Ngorongoro imetatamatika licha ya kukumbwa na changamoto kadha wa kadha ikiwepo kukosekana kwa bajeti ya kutosha kuendesha ligi hiyo. Na mwandishi wetu. Walimu FC wametawazwa mabingwa wa Ligi ya Wilaya ya Ngorongoro baada…
29 July 2025, 7:27 pm
Chama cha mapinduzi (CCM) kinaendelea na mchakato was kuwapata wagombea wa nafasi mbalimbali kuelekea uchaguzi mkuu utakofanyika oktoba mwaka huu 2025 ambapo kwasasa chama hicho kipo katika mchakato wa kuwapata wagombea nafasi ya ubunge. Na Edward Shao Leo, tarehe 28…
16 June 2025, 10:37 pm
Katika hatua ya kuimarisha mazingira ya gereza, Wakili Olengurumwa ambaye ni Mwenyekiti wa Ngorongoro Legal Aid Center ametoa vifaa vya ujenzi kwa ajili ya ukarabati wa bweni la wafungwa gereza la Loliondo. Na Saitoti Saringe Tukio hilo limefanyika tarehe 16.06.2025…
8 June 2025, 9:08 pm
Mifuko na chupa za plastiki ni uchafu ulio hatari zaidi kwa mazingira hasa zikitumika na kutupwa ovyo hususani kwa wilaya ya Ngorongoro inaweza kuleta madhara makubwa kwa mifugo na wanyama endapo wataila na kuimeza. Na Zacharia James Wananchi wilayani Ngorongoro…
25 May 2025, 10:34 am
Kata ya Oloipiri imetajwa kuwa miongoni mwa kata zenye hali mbaya ya lishe kwa watoto hali iliyopelekea mkuu wa wilaya ya Ngorongoro kutoa maagizo mazito kwa shule ambazo wanafunzi hawali chakula cha mchana shuleni. Na Zacharia James. Mkuu wa wilaya…
22 May 2025, 10:08 am
Wafugaji wengi wamekuwa wakivusha kifugo barabara kiholela bila kuzingatia kanuni za usalama barabarani kwa sababu mbalimbali ikiwepo kutojua kanuni za usalama barabarani. Na Edward Shao Jeshi la polisi kitengo cha usalama mkoa wa Arusha kwa kushirikina na wilaya ya Ngorongoro…
16 May 2025, 4:35 pm
Viongozi na watendaji mbalimbali wa kiserikali hapa nchini wamekuwa wakitoa matamko ya kumpongeza rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu Hassan kwa maendeleo wanayoataja wao yameletwa nae. Na Zacharia James Baraza la madiwani halmashauri Ngorongoro limepitisha azimio…
12 May 2025, 2:36 pm
Jamii za kifugaji zimekuwa haziwapi nafasi wanawake ya kuwa viongozi kutokana na mfumo dume. Wengi wa wanajamii kutoka ndani ya jamii hiyo wakiwa na imani kwamba mwanamke hawezi kuongoza wanaume. Na Saitoti Saringe
29 April 2025, 8:24 pm
Katika hatua ya kuimarisha maendeleo na huduma kwa jamii, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, Mheshimiwa Mohammed Bayo amefanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika eneo hilo. Ziara hiyo ililenga kutathmini maendeleo ya miradi inayotekelezwa na halmashauri…
Loliondo FM Community Radio was born on april 2011 headquartered in Waso/Loiondo Township council, Ngorongoro DC, Arusha region, Tanzania United Republic. The organization partnered with different development partners in implementing projects to achieve its objectives. Loliondo FM gets more support from UNESCO, Airtel Tanzania, Insight share and previously Oxfam Tanzania. Other partners include Ngorongoro DC, Radio Tadio, local and international NGOs, Investors, individuals and more importantly the community in general
Lolindo FM Radio strives to raise voice of the pastoral communities, farmers and traders in Ngorongoro district and other coverage geographical areas including Longido District, Serengeti, Tarime in Tanzania and Narok and Kajiado County in Kenya. Loliondo FM target the following groups in its areas of focus; pastoralist communities, farmers, trader’, youth, women, and older children and people with disabilities
Loliondo FM Radio mission is to Building inclusive knowledge Community through information and communication. Loliondo FM works to create the conditions for discourse among policymakers, community, investors, conservators and peoples, based upon respect for commonly shared values. It is through this dialogue, information sharing that the community can achieve global visions of sustainable development surrounding observance of human rights, mutual respect and the alleviation of poverty. The organization focuses on areas such as climate change, education, health care, gender and cultural survival, sustainable livelihood, and human rights
Loliondo FM radio focuses on a set of objectives in the National priority areas