28 January 2024, 4:59 pm

Atakayehama kwa hiari Ngorongoro kupewa haki zote za msingi

Katika mwendelezo wa wananchi wanaoishi ndani ya hifadhi ya Ngorongoro kuhama kwa hiari kupisha zoezi la uhifadhi, hatimaye kaya zingine 118 zenye watu 818 na mifugo 3,129 wamehama kuelekea Msomera. Na Edward Shao Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. John…

Offline
Play internet radio

Recent posts

16 April 2024, 7:13 am

Nape Nnauye awataka wananchi Ngorongoro kusimama na Samia

Baadhi ya wananchi wachache katika mitandao ya kijamii wamekuwa wakiitumia mitandao yao vibaya ikiwemo kuwatukana na kuwachafua viongozi wa nchi kwenye mitandao hiyo kinyume na matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii,hivyo viongozi wa serikali wamekuwa wakiwasisitiza kuacha kufanya hivyo kwani…

9 April 2024, 11:17 am

Mbunge Ole Shangai awaka sakata la uhamaji wa hiari Ngorongoro

Katika harakati za kuendelea kuwafikishia viongozi wa juu wa serikali kero za wananchi wa Ngorongoro, mbunge Emanuel Shangai amesimama bungeni kuhoji kwa Waziri Mkuu sakata la uhamaji Ngorongoro ikiwa ni la hiari kwanini wananchi wanawekewa vikwanzo vya kimaendeleo? Na Edward…

7 April 2024, 2:21 pm

FIFA watoa mafunzo kwa walimu wa michezo Ngorongoro

Mafunzo ya ukocha ngazi ya awali kwa walimu wa michezo shule za msingi na sekondari yameanza kitolewa wilayani hapa ambapo moja ya faida kubwa ambazo wanufaika wataipata na kuelewa na kufahamu zaidi mbinu mbalimbali za mpira wa miguu na mifumo…

6 April 2024, 12:26 pm

Kamishna wa uhifadhi atumia milioni 400 kulala hotelini Ngorongoro

Viongozi wa ngazi za chini waliochaguliwa na wananchi kutetea na kuibua kero zao wilayani Ngorongoro wameendelea kusimama na wananchi, hii ni baada ya diwani wa kata ya Alaitole tarafa ya Ngorongoro kuibua sakata la aliyekuwa kamishna wa mamlaka ya huifadhi…

2 April 2024, 10:46 am

Ngorongoro yaguswa na bilioni 2.5 za TASAF Arusha

Serikali imekuwa ikiendelea na mpango wa kuzinusuru kaya masikini kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF kwa halmashauri zote zilizo kwenye mpango huo, halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro ikiwemo. Na mwandishi wetu. Jumla ya shilingi bilioni 2.5 zimegawiwa na serikali kwa…

27 March 2024, 11:39 am

Kaya 140 zanufaika na fedha za Tasaf Ngorongoro

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilianza kutekeleza mradi wa mfuko wa maendeleo ya jamii – TASAF kuanzia mwaka 2000, ikiwa ni moja ya mbinu za kutokomeza umasikini ambazo pia zilisaidia ajenda ya ugatuaji wa madaraka. Katika kipindi cha…

24 March 2024, 11:15 am

UCRT wazindua mradi mpya wa uhifadhi shirikishi Ngorongoro

Shiraika la UCRT limekuwa likitekeleza shughuli mbalimbali pamoja na miradi ya maendeleo wilayani hapa kwa manufaa ya wananchi huku wakishirikiana na halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro kwa ukaribu. Na Mathias Tooko, Uzinduzi wa mradi huo umefanyika Machi 23 2024 kupitia…

22 March 2024, 2:02 pm

Enguserosambu wagoma kutoa eneo la shamba darasa Ngorongoro

Wafugaji waliowengi wilayani Ngorongoro wanahitaji elimu ya ufugaji bora,wakisasa na wenye tija hivyo elimu mbalimbali ihusuyo ufugaji,na mashamba darasa ni miongoni mwa elimu hiyo. Na Edward Shao. Mkuu wa wilaya Ngorongoro Kanali Wilson Sakulo amewataka wanakijiji wa kata ya Enguserosambu…

16 March 2024, 4:39 pm

Serikali yatoa vifaa tiba kituo cha afya Sale

Na Saitoti Saringe. Katika kuboresha huduma za afya serikali imeendelea kununua vifaa vya tiba muhimu kwa lengo la kuhakikisha wananchi wanapata huduma stahiki kuanzia vituo vya afya wilayani Ngorongoro. Kituo cha afya Sale kilichopo kata ya Sale kimepokea vifaa vipya…

Loliondo FM Profile

Loliondo FM Community Radio was born on april 2011 headquartered in Waso/Loiondo Township council, Ngorongoro DC, Arusha region, Tanzania United Republic. The organization partnered with different development partners in implementing projects to achieve its objectives. Loliondo FM gets more support from UNESCO, Airtel Tanzania, Insight share and previously Oxfam Tanzania. Other partners include Ngorongoro DC, Radio Tadio, local and international NGOs, Investors, individuals and more importantly the community in general

Lolindo FM Radio strives to raise voice of the pastoral communities, farmers and traders in Ngorongoro district and other coverage geographical areas including Longido District, Serengeti, Tarime in Tanzania and Narok and Kajiado County in Kenya. Loliondo FM target the following groups in its areas of focus; pastoralist communities, farmers, trader’, youth, women, and older children and people with disabilities

Loliondo FM Radio mission is to Building inclusive knowledge Community through information and communication. Loliondo FM works to create the conditions for discourse among policymakers, community, investors, conservators and peoples, based upon respect for commonly shared values. It is through this dialogue, information sharing that the community can achieve global visions of sustainable development surrounding observance of human rights, mutual respect and the alleviation of poverty. The organization focuses on areas such as climate change, education, health care, gender and cultural survival, sustainable livelihood, and human rights

Loliondo FM radio focuses on a set of objectives in the National priority areas

  1. Loliondo FM radio becomes reliable media community Centre  
  2. To encourage individuals and groups in target communities to participate in production of community media ie publications, video, radio, online and web broadcasting
  3. To work with community members to ensure appropriate and accessible platforms exist to express and promote the community voice
  4. To tackle negative stereotyping by mainstreaming media through production and distribution of locally created and produced community media that positively influence policymakers