Kahama FM
MAJI
October 31, 2021, 4:38 pm
KAHAMA:RUWASA YAKUTANA NA WADAU WA MAJI NA VYOMBO VYA WATOA HUDUMA ZA MAJI;
Wananchi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuendelea kutumia maji yanayotokana na vyanzo vya uhakika vilivyothibitishwa kwa ubora na RUWASA ili yawe salama katika afya zao pamoja na kuwataka viongozi kuendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya maji kwa wakati. Hayo yamesemwa na…
October 31, 2021, 4:25 pm
KAHAMA:RUWASA YATAKIWA KUTEKELEZA MIRADI YA MAJI MBALIMBALI KWA WAKATI.
Wakala ya Usambazaji Maji na Usafi na Mazingira Vijijini (RUWASA) wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya maji ili kila mwananchi apate maji pamoja na kuanza ujenzi wa usambazaji wa maji pindi wanapopata fedha za miradi. Agizo…