Recent posts
October 28, 2025, 3:58 pm
Wachimbaji wadogo wa madini tunzeni amani
”kuitunza amani tulionayo ni pamoja na kuzingatia sheria taratibu na kanuni za nchi yetu” Na Sebastian Mnakaya Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu wilayani Kahama mkoani Shinyanga amewataka kuitunza amani tulionayo kwa kuzingatia sheria taratibu na kanuni za nchi yetu,…
October 28, 2025, 3:42 pm
Vijana Kahama wahimizana kupiga kura
Wilaya ya Kahama iko salama, wananchi jitokezeni kupiga kura Na Sebastian Mnakaya Kuelekea Uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika oktoba 29, 2025, Vijana wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamehimizana kushiriki uchaguzi mkuu pamoja na kulinda amani na utulivu na kuachana na maandamano. Hayo…
September 21, 2025, 2:03 pm
Wananchi changia huduma za maji miradi iwe endelevu-Koya
”Wananchi wanapaswa kuelimishwa juu ya umuhimu ya kuchangia huduma ya maji ili kuwa na miradi endelevu ya maji” Na Sebastian Mnakaya Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira vijijini (RUWASA) Taifa Mhandisi Ruth Koya…
September 9, 2025, 3:04 pm
DC Nkinda atatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa zaidi ya miaka 5
Mkuu wa wilaya ya Kahama Frank Nkinda na mwekezaji Tenth Maruhe (Picha na Sebastian Mnakaya) ”kwa mujibu wa sheria za ardhi, kutokana na maelezo ya afisa ardhi na mwekezaji mzawa Tenth Maruhe ametoa maagizo barabara hiyo kuondolewa ilipo kwa sasa…
August 20, 2025, 5:32 pm
Wananchi Kahama watakiwa kuchangamkia fursa za uwekezaji
”Wananchi wilayani Kahama changamkieni fursa za uwekezaji na kampuni ya Uwekezaji ya UTT Asset Management and Investor Services (UTT AMIS)” Na Sebastian Mnakaya Wananchi wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kutumia fursa ya kuwekeza fedha zao na kampuni ya…
August 19, 2025, 12:26 pm
Sheria na kanuni za matumizi ya barabara yazingatiwe
”watembea kwa miguu zingatieni upande wao sahihi wa kupita, kwa mjibu wa sheria za usalama barabarani ni mkono wa kulia wa mtumiaji ili kutoa nafasi ya kuona chombo cha moto kilichombele yake” Na John Juma Watumiaji wa barabara katika Halmashauri…
August 17, 2025, 4:32 pm
Wafuga nyuki Ushetu watakiwa kuwatumia wataalam
Ujenzi wa kituo hicho umegharimu kiasi cha shiringi milioni 84.8 Na Sebastian Mnakaya Wafugaji wa Nyuki katika Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuwatumia wataalamu mbambili wa ufugaji wa nyuki ili kupata asili yenye ubora na yenye kuongeza…
August 9, 2025, 8:32 pm
Wananchi watakiwa kuacha tabia ya kukopa mikopo umiza
Tanzania Commercial Banki (TCB) kwa mwaka jana imetoa mikopo zaidi ya shilingi bilioni 360 kwa wabiashara wadogo na wakati kwa vigezo rafiki. Na Sebastian Mnakaya Wananchi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuachana na mikopo kwenye taasisi za kifedha zisizo rasmi…
August 6, 2025, 8:31 pm
Mwenge wa uhuru wazindua miradi ya zaidi ya bilion 1 Msalala
Mwenge wa uhuru umekagua na kuweka jiwe la msingi katika miradi sita katika halmashauri ya Msalala yenye thamani ya Bilion moja na Milioni tisini na tatu Na Senastian Mnakaya Jumla ya miradi sita ya maendeleo yenye thamani ya shilingi Bilion…
August 6, 2025, 8:11 pm
Mgodi wa Barrick Bulyanhulu wajenga soko la kisasa
Fedha za uwajibikaji kwa jamii (CSR) imefanikisha ujenzi wa soko la kisasa Na Sebastian Mnakaya Kampuni ya Barrick inazidi kutekeleza dhamira ya kuboresha maisha ya wananchi wanaoishi maeneo yanayozunguka migodi yake ya Bulyanhulu kupitia fedha za uwajibikaji kwa jamii (CSR)…
