Recent posts
February 16, 2026, 9:25 am
Madiwani Ushetu waomba TARURA kukarabati barabara korofi
”TARURA waombwa kuzitembelea barabara zilizohariba kutoka na mvua zinazoendelea kunyesha na kuzikarabati ili zipitike na kuwaondolea wananchi adha wanazokutana nazo wakati wa kutekeleza shughuli za kiuchumi” Wakala wa barabara wa mjini na vijijini (TARURA) wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kukarabati…
February 14, 2026, 10:57 am
Baraza la Madiwani Manispaa ya Kahama lapitisha bajeti ya bil. 70
Baraza la madiwa la Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga limepitisha rasimu ya makisio ya bajeti shililingi bilioni 70 kwa mwaka wa fedha 2026/2027, fedha zitakazotumika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ndani ya Manispaa hiyo. Bajeti hiyo inatarajiwa kukusanywa…
February 14, 2026, 10:26 am
Diwani aomba serikali kujenga shule ya sekondari
”Kata ya Nyahanga ina shule za msingi tano, huku ikiwa na shule moja ya sekondari ambayo imekuwa ikipokea wanafunzi wengi hali inayosababisa kuongeza shule nyingine ya pili ili kuondokana na changamoto kuwa na wanafunzi wengi” Diwani wa kata ya Nyahanga,…
February 11, 2026, 7:44 am
Madiwani Ushetu hakikisheni miradi ya maendeleo inakamilika
”Madiwani hakikisheni miradi ya maendeleo inakamilika kwa wakati katika kata zenu” Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuhakikisha miradi ya maendeleo inakamilika kwa wakati katika kata zao, pamoja na kutatua changamoto zinazowakabili wananchi. Wito huo umetolewa…
February 9, 2026, 12:44 am
Serikali kugharimia bima ya afya kwa kaya masikini Shinyanga
Zaidi ya wananchi 63, 541 katika mkoa wa shinyanga kwa awamu ya kwanza watapatiwa huduma ya bima ya afya kwa wote bure kwa kaya zisizo na uwezo wa fedha, ikiwa gharama hizo zitalipwa na serikali. Hayo yamesemwa na mkuu wa…
February 8, 2026, 5:23 pm
Msalala yatoa bilioni moja kwa vikundi vya wajasiriamali
Mkuu wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga Frank Nkinda amewaasa wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 ya Halmashauri kuitumia vizuri kwa kuinua uchumi wao na zisiwe chanzo cha malumbano na ugomvi baina yao. Nkinda ameyasema hayo wakati akikabidhi hundi ya Shilingi…
February 8, 2026, 5:14 pm
Serikali yasitisha mkataba na mkandarasi Kahama
Serikali imesitisha mkataba na mkandarasi Kampuni ya Sichuan Road and Bridge Group(SRBG) aliyekuwa anatekeleza ujenzi wa miradi ya barabara za ndani katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga kutokana na kutokuridhishwa na kasi yake katika kutekeleza mradi huo. Hayo yameelezwa na…
February 8, 2026, 4:28 pm
TARURA Kahama kukarabati barabara ya Mtakuja-Nyahanga
Wakala wa barabara wa mjini na vijijini (TARURA) wilayani Kahama mkoani Shinyanga, imetenga kiasi cha shilingi milioni 71.1 kwa ajili kufanya matengenezo barabara inayounganisha kata ya Nyahanga na Busonga. Akizungumza katika baraza la mdiwani la Manispaa ya Kahama Kaimu meneja…
February 7, 2026, 1:32 pm
Mfumo wa IDRAS una uwezo wa kutoa risiti za EFD
”Mfumo wa IDRAS itawasaida wafanyabiasha kuondokana na gharama za kununu mashine za EFD kutokana na mfumo kutoa risiti” Mfumo jumuishi wa usimamizi wa kodi za ndani(IDRAS) umelenga kuwasaidia wafanyabaisha kupata huduma ya risiti za EFD, kupita mfumo huo na kuondokana…
February 3, 2026, 9:54 am
Mfumo wa IDRAS kupunguza gharama kwa wafanyabiashara
”Mfumo wa ADRAS utawasaidia wafanyabiashara kupunguza gharama kwa kufuata huduma katika ofisi za TRA badala yake wataweza kuipata popote pale walipo” Baadhi ya wafanyabiashara ya Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, wamesema kuwa kuanza kwa kutumika mfumo Integrated Domestic Revenue Administration…
