Podcasts

12 November 2023, 11:16 am

Wanafunzi Tumbatu washauriwa kuchunguuza afya zao.

Picha ya wanafunzi wa skuli ya sekondari Tumbatu. Na Vuai Juma. Na Vuai Juma Wanafunzi Kisiwani Tumbatu wameshauriwa kuwa na tabia ya kuchunguuza afya zao mara kwa mara ili kuweza kufahamu mwenendo wao wa kiafya. Ushauri huo umetolewa na Daktari…

7 November 2023, 12:34 pm

Mimba za utotoni zapungua nchini kwa 5%

Dodoma ni miongoni mwa mikoa iliyofanikiwa kupunguza mimba za utotoni kwa kiwango kikubwa . Na Mariam Matundu. Ripoti ya utafiti wa afya ya uzazi na mtoto na viashiria vya malaria ya mwaka 2022 imeonesha Tanzania imefanikiwa kupunguza mimba za utotoni…

2 November 2023, 18:00 pm

Makala: Huduma ya mama mjamzito na mtoto mchanga

Na Mwanahamisi Chikambu/ Gregory Millanzi Huduma ya mama na mtoto ina chimbuko lake kulingana na historia, wapo wanaosema binadamu ametokana na sokwe na wengine wanasema binadamu anatokana na binadamu mwenyewe. Karibu katika makala haya ambapo tunaangazia namna mama na mtoto…

28 October 2023, 13:56 pm

Makala – Matumizi ya mkaa wa karatasi

Na Musa Mtepa; Makala haya yanaeleza namna ambavyo kikundi hiki kimeamua kujikita katika kuandaaa mkaa unaotokana na mabox pamoja na karatasi. Katika makala haya utawasikia wanakikundi cha Tumalane, Utamaduni na Mazingira maarufu kama TUMA kinachopatikana katika kijiji cha Msangamkuu halmashauri…