Dodoma FM
Dodoma FM
18 November 2023, 12:44 pm
Wadau wa kilimo kila mmoja anawajibika katika kutekeleza majukumu yake ili kufikia malengo tuliyojiwekea kama mkoa ikiwepo kuondoa changamoto zinazowakabiri wakulima Na Musa Mtepa Mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanal Ahmed Abasi Novemba 17, 2023 amefanya uzinduzi wa msimu wa…
15 November 2023, 17:51
Na Ivillah Mgala Zaidi ya wakulima 1326 na maafisa ugani 20 kupatiwa elimu na mafunzo ya kilimo katika halmashauri ya wilaya ya mbarali mkoani Mbeya. Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya mbarali mkoani Mbeya Kanali Denis Mwila katika hafla…
15 November 2023, 14:58
Na Mawanaisha Makumbuli Na Mwanaisha Makumbuli Shirika lisilo la kiserikali feed the future wakishirikiana na USAD kutoka nchini marekani wamewapatia mafunzo wakulima wa mboga mboga na matunda namna bora ya kulima kilimo chenye tija katika mikoa ya Njombe, Morogoro ,Iringa…
23 October 2023, 11:02 am
Shirika la Marekani la Maendeleo la Kimataifa (USAID), kupitia mradi wa Kilimo Tija wameanza kuboresha teknolojia za kisasa za kilimo nchini Tanzania sambamba na kuweka mifumo ya kilimo pamoja na masoko ya mazao ya mbogamboga na matunda kwa kutoa elimu…
17 October 2023, 10:25 am
Serikali imetakiwa kuharakisha mchakato wa usambazaji wa Mbole kwa wakulima kwakuwa wakulima wengi hususani katika wilaya ya Geita hawajafikiwa na mbolea hizo. Na Mrisho Sadick Chama Cha Mpinduzi CCM wilaya ya Geita kimeiagiza serikali ya wilaya ya Geita kusambaza kwa…
10 October 2023, 11:03 pm
Wakulima Zanzibar wametakiwa kulima kilimo cha kisasa ili waendane na mapinduzi makubwa ya kilimo ulimwenguni ili waweze kujikomboa kupitia kilimo kwa kujihakikishia kupata chakula cha uhakika. Na Fatma Rashid Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mh. Othamn Masoud Othmani…
30 September 2023, 8:27 am
Zao loa mwani ni kilimo muhimu ambacho kinafaida katika maisha ya binadamu hivyo ni wajibu kukiendeleza. Na Makame Pandu. Wakulima wa mwani kisiwani Tumbatu wametakiwa kufanya juhudi zitakazowawezezesha kulima zao hilo kwa wingi zaidi ili waweze kujikwamua na umaskini. Akifungua…
26 September 2023, 3:57 pm
Kongamano hilo limejumuisha wadau wa kilimo na wakulima kutoka mikoa mbalimbali nchini Tanzania mkakati wa kilimo hai unatarajia kuja na majibu juu ya kilimo hai . Na David Kavindi. Imeelezwa kuwa rasimu ya mkakati wa kilimo ikolojia hai inatakiwa kufanyiwa marekebisho…
22 September 2023, 2:26 pm
Kupitia mradi wa ASILI-B unaofadhiliwa na Vi Agroforestry, CSP kwa kushirikiana na BUFADESO wamewakutanisha wadau wa kilimo wilaya ya Bunda na kuunda jukwaa la kilimo. Na Thomas Masalu Kupitia mradi wa ASILI-B unaofadhiliwa na Vi Agroforestry, CSP kwa kushirikiana na…
17 September 2023, 17:20 pm
Na Gregory Millanzi Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) wanatarajia kuuza korosho kwa mfumo wa kidijitali kwa msimu wa mazao wa 2023/2024 mfumo ambao utatumia kompyuta kwenye kila chama cha ushirika cha msingi (AMCOS) na kutumia mizani ya kidijitali ili…