Radio Tadio

Utamaduni

5 February 2024, 6:02 pm

Taka, chupa za plastiki ni mali katika mazingira

Kwa mujibu wa redio Vatican inasena chupa za plastiki ambazo zilipaswa kutumika tena, lakini sehemu kubwa ya shehena za chupa inaishia kuwa ni taka zinazoendelea kutupwa na hivyo kuhatarisha maisha ya watu wengi duniani chupa hizi kamwe hazitaoza na zitaendelea…

18 December 2023, 12:54

Kyela:Kinanasi kutunukiwa Uchifu wilaya ya Kyela

Mbunge wa jimbo la Kyela Ally Mlaghila Jumbe Kinanasi anatarajiwa kuvikwa uchifu na jumuaiya ya wazee wa kimila wilaya ya kyela katika tukio litakalofanyika desemba 28 mwaka huu. Na Masoud Maulid Umoja wa wazee wa kimila maarufu Machifu na wasaidizi…

29 September 2023, 10:46

Tulia traditional dances festival yafana Mbeya

Mziki ni sehemu ya maisha maisha ya binadamu,jamii inasisitizqwa kuenzi na kufuatilia mziki wa asili ili kudumisha mila,destri na tamaduni Na Ezra Mwilwa Mstahiki meya wa jiji wa Mbeya Dormohamed Issa amewataka wananchi wa mkoa wa Mbeya kuyatumia maonesho ya…

August 27, 2023, 7:58 pm

Watanzania Tuenzi Mila na Desturi zetu-Mhe. Mkuchika

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Maalum Mhe. Kapt Mstaafu George Mkuchika ameiasa jamii kuenzi mila na desturi za Tanzania ambazo ndio utambulisho wa Taifa hilo ndani na nje ya nchi, na kuacha kuiga utamaduni usiofaa wa Mataifa mengine.

19 July 2023, 6:23 pm

CHAMIJATA yaja na mikakati kuenzi tamaduni

Inadaiwa kuwa utandawazi ni moja ya njia inayopelekea mila na desturi za kiafrika kusahaulika, na watu wa tamaduni hizo kufuata mambo ya kigeni, hilo limewainua CHAMIJATA kusimama kidete katika kuzilinda tamaduni hizo. Na Kale Chongela- Geita Katika kuendelea kuboresha utamaduni…

11 July 2023, 10:54

DC kigoma amepiga maarufuku ramli chonganishi kwenye jamii

Serikali imesema itawachukulia hatua za kisheria yeyote atakaye jihusisha ama kusaidia shughuli za Rambaramba (Kamchape) wanaopiga ramli chonganishi na haitawaonea huruma. Na, Lucas Hoha Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Salum Kalli ameomba viongozi wa Dini pamoja viongozi wa Serikali za…

13 April 2023, 6:33 pm

Ifahamu maana ya alama ya Ndonye kwa kabila la Wagogo

Ndonye ilitumika kwa watoto wadogo hapo zamani wa kabila hili la wagogo kama kinga ya macho lakini kwasasa wanasema hawaweki tena alama hiyo. Na Yussuph Hassan. Makabila mbalimbali Afrika na Tanzania huwa na alama mbalimbali ambazo hutambulisha kabila hilo kwa…