Radio Tadio

Utamaduni

1 Mei 2026, 15:39

TASA yatambulisha mradi wa mazingira, usawa wa kijinsia Mtwara

TASA yazindua mradi Mtwara kuwajengea uwezo wanawake na vijana katika utunzaji wa mazingira na usawa wa kijinsia, ikitumia sanaa kuhamasisha jamii kushiriki kikamilifu na kuacha vitendo vinavyoharibu mazingira. Na Musa Mtepa Shirika lisilo la kiserikali la Tanzania Safaty Alliance (TASA),…

Aprili 29, 2026, 6:28 um

Penati zaamua ushindi kwa Polisi dhidi ya Bodaboda

Mashindano hayo yamekuwa na lengo la kuimarisha upendo, amani na mshikamano miongoni mwa jamii, akisisitiza kuwa michezo ina nafasi kubwa katika kuunganisha watu na kuimarisha afya. Na William Mpanju- Biharamulo, KAGERA Timu ya mpira wa miguu ya Jeshi la Polisi…

24 Aprili 2026, 2:02 um

DC Kaganda aamuru waliojenga eneo la mwekezaji kuhama

Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe. Emmanuela Mtatikolo Kaganda amewataka Wananchi wa Vijiji vya Kiru, Masware na Marangi waliojenga makazi yao ndani ya eneo la muwekezaji kubomoa nyumba zao na kuacha eneo hilo likiwa wazi kwani eneo hilo sio lao…

3 Aprili 2026, 09:37

Kisa mafuta, madereva wapandisha nauli Iringa

Nauli imepanda jambo lililopelekea baadhi ya abiria kuiomba mamlaka husika kutangaza bei halisi. Na Telesia Chalamila Baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kutangaza ongezeko la bei ya mafuta, madereva wa vyombo vya usafiri wa…

30 Machi 2026, 18:21

Panda shuka za Mariam kuitumikia Chuno

Je, viongozi huzaliwa au hutengenezwa na mazingira? Makala hii inachunguza mjadala huo kupitia Mariam Chibwalo, mwanamke aliyethubutu kusimama pekee yake dhidi ya wanaume tisa katika kinyang’anyiro cha udiwani. Akiwa amesukumwa na changamoto na hamasa ya kuwa sauti ya wananchi wa…

23 Machi 2026, 18:48

Unazuiaje uharibifu wa mazingira unaoathiri vyanzo vya maji?

Na Mariam Kasawa. Kuzuia uharibifu wa mazingira na vyanzo vya maji kunahitaji ushirikiano wa jamii, serikali, na taasisi kupanda miti, kulinda misitu, na kudhibiti taka. Hatua muhimu ni pamoja na sheria kali za mazingira (Sura 191), kutoa elimu, na kusimamia mipango kabambe…

23 Machi 2026, 17:27

Machimbo yageuka tishio kwa wananchi Zuzu

Ameeleza kuwa suala hilo tayari liliwasilishwa kwa Mkurugenzi wa Jiji ambapo uchimbaji ulisitishwa kwa muda, lakini baadaye ukaendelea tena. Na Mariam Kasawa. Diwani wa Kata ya Zuzu, Jenesta Project Malingo, amesema anaendelea kufuatilia malalamiko ya wananchi wa Mtaa wa Sokoine…

23 Machi 2026, 14:56

JUMAZA yahimiza malezi ya dini kwa vijana

Waumini wa dini ya Kiislamu wamehimizwa kuwalea vijana katika misingi ya maadili mema ili waweze kuijua vyema dini ya Allah. Wito huo umetolewa na Sheikh Farid Hadi Ahmed wakati wa mahafali ya Eid yaliyofanyika Chake Chake, Pemba. Na Is-haka Mohammed…