Utamaduni
20 July 2026, 18:00
Mabadiliko ya tabianchi yanaathirije upatikanaji wa chakula?
Wanasayansi wanabashiri kwamba ongezeko la joto na mabadiliko ya mienendo ya mvua huenda yakaathiri uzalishaji hasa katika maeneo yenye matatizo. Na Mariam Matundu.Uhakika wa upatikanaji chakula huathiriwa na mabadiliko ya tabia ya nchi kwani ukame, mabadiliko ya vizio vya joto,…
20 July 2026, 17:34
Wananchi Ilangali B walia uharibifu wa mto Kizogo
Licha ya wadau wa mazingira kufika eneo la uchimbaji kufanya tathmini na kutoa maelekezo lakini kumekuwa hakuna utekelezaji wowote. Na Anwary Shaban. Wakazi wa kitongoji cha Ilangali “B” Kata ya Manda Wilaya ya Chamwino wameendelea kulia na uharibifu wa chanzo…
15 July 2026, 1:52 pm
Aliyevamia mkondo wa maji kikaangoni Geita
Hatua hiyo inaweza kusababisha kuziba kwa njia ya maji na kuongeza hatari ya mafuriko wakati wa mvua, jambo ambalo linaweza kuathiri makazi ya wananchi wanaozunguka eneo hilo. Na: Kale Chongela Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi, Malezi na Mazingira chama cha…
10 July 2026, 18:16
Wananchi Kibaoni walalamika kuzorota kwa huduma ya uzoaji taka
Jiji ya Dodoma inakisiwa kuzalisha tani 350 za taka ngumu kwa siku ambapo kata za nje ya mji uzalishaji ni tani 114 na Kata za mjini huzalisha ni tani 236. Na Anwary Shaban. Wakazi wa mtaa wa Kibaoni kata ya…
2 July 2026, 17:16
Serikali yaendelea kusisitiza huduma za usafi wa mazingira
Jukwaa hilo la siku mbili linaendelea hadi Julai 3, 2026, likiwakutanisha viongozi wa Serikali, wataalamu, wadau wa maendeleo na sekta binafsi kujadili namna ya kuimarisha huduma za usafi wa mazingira zinazowajumuisha watu wote kwa ajili ya maendeleo endelevu nchini. Na…
1 July 2026, 16:43
Mlima Mautia umebeba historia ya kipekee ya jiolojia nchini
Tanzania ina fursa ya kuyatumia kama kivutio cha utalii wa jiolojia na kuongeza mchango wa sekta ya utalii. Na Anwary Shaban. Mlima wa Mautia uliopo wilayani Kongwa mkoani Dodoma umetajwa kuwa moja ya maeneo yenye historia ya kipekee ya kijiolojia…
30 June 2026, 17:04
Dodoma watakiwa kutunza mazingira
Shughuli hiyo ni sehemu ya juhudi zinazoendelea za kuhamasisha jamii kushiriki katika utunzaji wa mazingira na kuongeza uoto wa asili. Na Anwary Shaban. Mkuu wa Kitengo cha Maliasili na Mazingira katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Happiness Karugaba,…
23 June 2026, 16:33
Wananchi watakiwa kutunza mazingira kuepuka magonjwa
Iwapo hatua za usafi wa mazingira hazitachukuliwa kwa wakati, magonjwa hayo yanaweza kusababisha madhara makubwa kwa jamii, ikiwemo kulazwa hospitalini na hata kupoteza maisha, hivyo akasisitiza umuhimu wa kila mwananchi kushiriki katika kutunza usafi wa mazingira yanayomzunguka. Na Daniel Njau.…
19 June 2026, 18:26
Mradi wa maendeleo jumuishi ya kijani wazinduliwa Dodoma
Agridiversity Tanzania ni shirika lisilo la kiserikali (NGO) la Tanzania linalojihusisha na kuendeleza kilimo endelevu kwa wakulima wadogo. Na Elizabeth Tanzania. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amezindua Mradi wa Maendeleo Jumuishi ya Kijani (Inclusive Green Transformation – IGRET),…
17 May 2026, 11:24
TFS yapanda miche ya miti KNFR
TFS kupitia Hifadhi ya Msitu wa KNFR imepanda miche ya miti takribani 10,000 katika vijiji vinavyozunguka hifadhi hiyo kupitia mradi wa FOLUR, huku wananchi wakieleza manufaa ya msitu katika uhifadhi wa mazingira na uzalishaji wa kilimo. Na: Isidory Mtunda Wakala…