Utamaduni
13 May 2026, 16:51
Taka ngumu ni mali tumia rejea weka mji safi
Mkutano huu ukalete tija kwa maafisa mazingira wote kwa kutoa Elimu na kuelimisha Jamii kwa ujumla juu ya maswala ya Taka. Na Anwary Shaban. Wananchi wametakiwa kutambua kuwa Taka ngumu ni mali, hivyo wanaweza kuzitumia na kuzirejeleza ili kuweka mji…
13 May 2026, 12:27 pm
Wakazi Londoni Wafunguka Maumivu ya Umeme na Miundombinu
Suala la umeme jazilizi na ukarabati wa miundombinu ya barabara. Na Stephano Simbeye LONDONI: WAKAZI wa kitongoji Cha Londoni kata ya Hasanga, wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wamemkumbusha diwani wa kata ya Hasanga, Mh.Malick Nzowa suala la umeme jazilizi na…
7 May 2026, 16:57
Uharibifu wa mazingira unaopelekea athari kwenye vyanzo vya maji
Mabadiliko ya Tabianchi ni tatizo linaloikabili dunia katika karne ya ishirini na moja na kutokana na athari zake katika nyanja mbalimbali. Na Mariam Kasawa.Nchi yetu imejaliwa kuwa na vyanzo vya maji vya aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na mito, maziwa,…
1 May 2026, 15:39
TASA yatambulisha mradi wa mazingira, usawa wa kijinsia Mtwara
TASA yazindua mradi Mtwara kuwajengea uwezo wanawake na vijana katika utunzaji wa mazingira na usawa wa kijinsia, ikitumia sanaa kuhamasisha jamii kushiriki kikamilifu na kuacha vitendo vinavyoharibu mazingira. Na Musa Mtepa Shirika lisilo la kiserikali la Tanzania Safaty Alliance (TASA),…
April 29, 2026, 6:28 pm
Penati zaamua ushindi kwa Polisi dhidi ya Bodaboda
Mashindano hayo yamekuwa na lengo la kuimarisha upendo, amani na mshikamano miongoni mwa jamii, akisisitiza kuwa michezo ina nafasi kubwa katika kuunganisha watu na kuimarisha afya. Na William Mpanju- Biharamulo, KAGERA Timu ya mpira wa miguu ya Jeshi la Polisi…
24 April 2026, 2:02 pm
DC Kaganda aamuru waliojenga eneo la mwekezaji kuhama
Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe. Emmanuela Mtatikolo Kaganda amewataka Wananchi wa Vijiji vya Kiru, Masware na Marangi waliojenga makazi yao ndani ya eneo la muwekezaji kubomoa nyumba zao na kuacha eneo hilo likiwa wazi kwani eneo hilo sio lao…
9 April 2026, 14:02
Tunawezaje kukomesha ukatili wa kijinsia unao tokana na athari za mabadiliko ya…
Na Mariam Kasawa. Umoja wa Mataifa, ambao umebaini kuwa mabadiliko ya tabianchi yanazidisha msongo wa kijamii na kiuchumi unaochochea kuongezeka kwa viwango vya vurugu dhidi ya wanawake na wasichana. Ripoti hiyo inaonesha kuwa hali mbaya ya tabianchi, kuhama makazi, ukosefu…
3 April 2026, 09:37
Kisa mafuta, madereva wapandisha nauli Iringa
Nauli imepanda jambo lililopelekea baadhi ya abiria kuiomba mamlaka husika kutangaza bei halisi. Na Telesia Chalamila Baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kutangaza ongezeko la bei ya mafuta, madereva wa vyombo vya usafiri wa…
30 March 2026, 18:21
Panda shuka za Mariam kuitumikia Chuno
Je, viongozi huzaliwa au hutengenezwa na mazingira? Makala hii inachunguza mjadala huo kupitia Mariam Chibwalo, mwanamke aliyethubutu kusimama pekee yake dhidi ya wanaume tisa katika kinyang’anyiro cha udiwani. Akiwa amesukumwa na changamoto na hamasa ya kuwa sauti ya wananchi wa…
23 March 2026, 18:48
Unazuiaje uharibifu wa mazingira unaoathiri vyanzo vya maji?
Na Mariam Kasawa. Kuzuia uharibifu wa mazingira na vyanzo vya maji kunahitaji ushirikiano wa jamii, serikali, na taasisi kupanda miti, kulinda misitu, na kudhibiti taka. Hatua muhimu ni pamoja na sheria kali za mazingira (Sura 191), kutoa elimu, na kusimamia mipango kabambe…