
Ujenzi

18 July 2023, 12:07 pm
CCM yaridhishwa na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa uzio shule ya msingi Mazinyun…
Kupatiwa fedha na serikali katika mradi wa shule ya ujenzi wa uzio katika ya shule ya Mazinyungu unakwenda kuwanufaisha wanafunzi shuleni hapo ambao walikua wanakumbana na adha mbalimbali hususan ya usalama wao wawapo shule kwa kuwa shule hiyo ipo karibu…

30 May 2023, 2:57 pm
Nguvu kazi za wananchi kuchochea miradi ya maendeleo kukamilika kwa wakati
Miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ya awamu ya sita inadhamiria kuondoa adha za wananchi wanazokabiliana nazo ikiwemo katika sekta ya elimu, afya na masuala ya kijamii ambayo ili kukamilika inahitaji jitihada za wananchi kuunga mkono jitihada hizo hususan kujitolea nguvu…

7 April 2023, 1:07 pm
Serikali yasikia kilio cha shule ya mbao yatoa zaidi ya shilingi 400 kujenga shu…
Adha wanayoipata kwa sasa wanafunzi wa shule ya msingi Mambegwa ni kukaa chini pamoja na kusomea kwenye majengo ya muda yaliyojengwa na wananchi baada ya majengo ya kudumu ya shule hiyo kusombwa na maji. Na Asha Madohola Hatimaye kijiji cha…

9 March 2023, 4:35 pm
Uongozi wa kata ya Itiso yatoa pongezi kwa jitihada za ujenzi wa madarasa
Uongozi umetoa pongezi kwa wananchi wa kata ya Itiso wilayani Chamwino kwa juhudi kubwa wanayoifanya ya ujenzi wa Vyumba vya madarasa . Na Victor Chigwada. Uongozi wa Kata ya Itiso wilayani Chamwino umetoa pongezi kwa wananchi wa kata hiyo kwa…

6 March 2023, 11:40 am
Mpwapwa yatarajia kuanza kilimo cha umwagiliaji
Bwawa hilo ambalo linajengwa kati ya kijiji cha Chunyu na Ng’ambi wilayani Mpwapwa hadi sasa umefikia asilimia 30 huku ukitarajiwa kukamilika ifikapo Novemba mwaka huu. Na Mariam Kasawa Jumla ya shilingi bilioni 27 zimetolewa ili kukamilisha uchimbaji wa bwawa litakalo…

16 February 2023, 3:46 pm
Bilioni 1.172 kujenga barabara kongwa
Wakala wa barabara za mijini na vijijini Tanzania (TARURA) wilayani kongwa wanatarajia kutumia shilingi Bilioni 1.172 kwaajili ya kujenga na kukarabati miundombinu ya barabara katika bajeti ya mwaka wa fedha 2023/2024. Na Bernadetha Mwakilabi. Meneja wa TARURA Kongwa injinia Peter…

15 February 2023, 11:14 am
Baraza La Taifa la Ujenzi lajipanga kutekeleza Majukumu Tisa
Na Fred Cheti. Baraza La Taifa la Ujenzi limesema kwa Mwaka 2023 limejipanga kutekeleza Majukumu Tisa ambapo ni pamoja na kukamilisha muongozo wa gharama za ujenzi wa barabara Nchini kwa kuandaa gharama za msingi za Mkandarasi katika kutekeleza kazi mbalimbali…

7 February 2023, 2:49 pm
Kituo cha Polisi Ifakara ni chakavu-Dc Kyobya
Na Kuruthum Mkata Uchakavu wa Jengo na miundo mbinu mibovu ya umeme katika Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Kilombero kilichopo Ifakara ,imepelekea Mkuu wa Wilaya ya Kilombero wakili Dunstan Kyobya kuagiza kufanya marekebisho ikiwa ni pamoja na kupaka rangi…

3 February 2023, 11:39 am
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Ataka Ujenzi ukamilike
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule amewataka wasimamizi wa ujenzi wa kituo cha Afya cha Itiso kilichopo wilayani Chamwino kuharakisha ukamilishaji wa ujenzi wa kituo hicho ili kianze kutoa huduma kwa wananchi. Na Fred Cheti Mkuu huyo wa…

4 January 2023, 8:30 am
Wanachama wa CCM Nyarugusu wachangia ujenzi wa ofisi ya chama.
Na Kale Chongela: Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM ) Kata ya Nyarugusu wilayani Geita kwa kauli moja wameamua kuchangishana fedha kwa ajili ya ujenzi wa Ofisi ya chama ya Kata itakayogharimu kiasi cha Shilingi Milioni ( 50 ) ili…