Radio Tadio

Ujenzi

12 Septemba 2025, 4:34 mu

TAKUKURU Geita yawafunda wasimamizi wa uchaguzi

Tanzania inajiandaa na Uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 ambapo rai imetolewa kwa wasimamizi wa uchaguzi kuepuka vitendo vya Rushwa. Na: Edga Rwenduru Taasisi ya kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Geita imewaonya wananchi na wasimamizi wa uchaguzi watakaobainika…

4 Septemba 2025, 10:19 mu

Majimbo 7 kati ya 9 Geita hayana wagombea upinzani

Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Geita kimezindua rasmi kampeni za kunadi ilani ya chama hicho kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu. Na: Edga Rwenduru Uzinduzi wa kampeni hizo umefanyika Septemba 02, mwaka huu Katika kata ya…

12 Agosti 2025, 1:38 um

Uchafu wa mighahawa kero kwa walaji Katavi

Moja ya mgawaha uliopo mtaa wa Mpanda hotal. Picha na Roda Elias ” Unakula chakula unakaa kidogo unaenda kununua flajiri” Na Roda Elias Baadhi ya walaji wa vyakula katika migahawa inayopatikana kata ya Mpanda hotel manispaa ya Mpanda mkoani Katavi…

15 Julai 2025, 2:01 um

Wasimamizi wa uchaguzi kutoka Geita, Kagera wapewa mafunzo

Jumla ya washiriki 98 kutoka mikoa ya Geita na Kagera wameshiriki katika mafunzo ya siku tatu yaliyoanza leo kuelekea uchaguzi mkuu unatarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu. Na: Ester Mabula – Geita Mafunzo hayo ya siku tatu yameanza leo Julai…

27 Machi 2025, 9:58 um

Wanawake Hanang’ wapata elimu ya uandaaji lishe 

Baadhi ya wanawake wilayani Hanang mkoani Manyara wamefundishwa namna ya kuandaa lishe bora ili kudhibiti tatizo la udumavu kwa watoto. Na Mzidalfa Zaid Katika kuhakikisha watoto wanakuwa na lishe bora, jamii wilayani Hanang mkoani Manyara imeshauriwa kuhifadhi vyema mazao,kwa kuhakikisha…

27 Machi 2025, 9:54 mu

Mbunge Kishimba ashauri mazao mengine kuongezwa KACU

Mbunge wa Jimbo la Kahama mjini Jumanne Kishimba akiwa anazungumza katika mkutano mkuu wa 29 wa KACU. (Picha na Sebastian Mnakaya) ”Wakulima wengi walioko kwenye chama kikuu cha ushirika wilaya ya Kahama (KACU) ni wa pamba na tumbaku, je, wanaolima…

15 Machi 2025, 1:29 um

Waipongeza Sengerema FM kwa kutoa elimu ya ugonjwa marburg

Serikali ya Tanzania kupitia Waziri wa Afya nchini Mh. Jenista Mhagama imetangaza kufanikiwa kuudhibiti ugonjwa wa marburg, ambao ulitangazwa kuibuka nchini mwezi Januari 2025 katika halmashauri ya wilaya ya Bihalamulo mkoani Kagera. Na,Elisha Magege Kufuatia Serikali ya Jamhuri ya Muungano…

19 Febuari 2025, 1:04 um

Sengerema yaendelea kutoa elimu ya kujikinga na Marburg

Halmashauri ya Sengerema inapatikana katika mkoa wa Mwanza ambapo ni lango kuu la watu kutoka mikoa ya kagera, kigoma, Geita na nchi jilani kuingia katika jiji la Mwanza,hivyo inatajwa kuwa sehemu iliyo kwenye hatari kubwa ya kukumbwa na ugonjwa marburg.…