Radio Tadio
30 April 2021, 12:01
Na; Mariam Matundu. Tume ya kudhibiti Ukimwi nchini TACAIDS chini ya uratibu wa masuala ya ukimwi kwa mtazamo wa kijinsia imetoa mafunzo kwa wasichana na wanawake wanaoishi na virusi vya ukimwi ili kuwapatia utambuzi wa haki zao za msingi katika maeneo yao. Akizungumza…