Radio Tadio

Ujenzi

3 February 2023, 11:39 am

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Ataka Ujenzi ukamilike

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule amewataka wasimamizi wa ujenzi wa kituo cha Afya cha Itiso kilichopo wilayani Chamwino kuharakisha ukamilishaji wa ujenzi wa kituo hicho ili kianze kutoa huduma kwa wananchi. Na Fred Cheti Mkuu huyo wa…

15 December 2022, 10:17 am

Majengo mapya kujengwa katika makao makuu ya tarafa Tanganyika

TANGANYIKA Katika kuimarisha huduma za kimahakama mkoani Katavi Serikali imejipanga kujenga majengo mapya katika makao makuu ya tarafa zote wilayani Tanganyika. Hayo yamesemwa na naibu waziri wa katiba na sheria Geofrey Pinda wakati wa ziara ya waziri Mkuu Kassim Majaliwa…

11 October 2022, 5:03 pm

Wananchi wa kijiji cha Zebeya Wamemshukuru Rais Samia kwa kutoa Fedha Za…

Wananchi  wa  kijiji   cha  Zebeya  kilichopo  Kata  ya  Senani  Wilayani  Maswa  Mkoani  Simiyu  Wamemshukuru    Rais  wa  Jamhuri  ya  Muungano  wa   Tanzania   Mh  Samia  Suruhu  Hasani  kwa  kutoa  Fedha  Zaidi  ya  Shilingi  Bilioni  1.6    kwa  Ajili  ya  Ujenzi  na  Ukarabati  wa  …

31 May 2022, 10:48 pm

Serikali inaendelea kuwaboreshea mazingira ya kazi.

  Na mwandishi wetu. Serikali kupitia wizara ya Afya, inaendelea na mkakati wa kuboresha miundombinu ya huduma za afya, unaoenda sambamba na ujenzi wa nyumba za watumishi wa Afya, ili wahudumu kuwa na makzi katika maeneo yao ya kazi pamoja…

30 April 2021, 12:01 pm

TACAIDS yawajengea uwezo wasichana kutambua haki zao

Na; Mariam Matundu. Tume ya kudhibiti  Ukimwi nchini TACAIDS  chini ya  uratibu wa masuala ya ukimwi kwa mtazamo wa kijinsia imetoa mafunzo kwa wasichana na wanawake wanaoishi na virusi vya ukimwi ili kuwapatia utambuzi wa haki zao za msingi katika maeneo yao. Akizungumza…