Radio Tadio

Ujenzi

11 October 2023, 11:30

Waziri Pro. Mbarawa ashusha kibano kwa TRC

Katika kuhakikisha usafiri kwa kutumia treni unaimarika Waziri wa Uchukuzi Makame Mbarawa ameagiza watumishi wa Reli kufanya kazi kwa weledi na kujituma ili kuhaikisha wanatoa huduma bora. Na, Tryphone Odace Waziri wa  Ujenzi Pro. Makame Mbarawa ameonyesha kutoridhishwa utendaji wa…

5 October 2023, 2:01 pm

Wananchi Kasekese waishukuru serikali kwa kuwajengea shule mpya

Wananchi wa kijiji cha Magogo kata Kasekese wilaya ya Tanganyika mkoani  Katavi wameishukuru serikali kwa kuwajengea shule kijijini hapo. Na Gladness Richard – Tanganyika Wananchi wa kijiji cha Magogo kata Kasekese wilaya ya Tanganyika mkoani  hapa wameishukuru serikali kwa kuwajengea…

30 September 2023, 18:59

Kalinga: Wanafunzi 5 wasiojiweza kushikwa mkono

Na Gift Mario/Mufindi Kaimu Meneja mawasiliano na masoko TBA Ndugu Fredrick Kalinga, amechangia mifuko 30 ya saruji kwa ajili ya kufanikisha ujenzi wa matundu 14 ya vyoo katika shule ya msingi Igulusi kata ya Ifwagi wilayani Mufindi. Katika hotuba yake…

28 September 2023, 09:32

Mkandarasi aagizwa kuongeza kasi ujenzi barabara ya Uvinza

Serikali imesema mkandarasi anayejenga barabara ya Ilunde – Malagarasi Uvinza kuwa amekiuka makubaliano ya mkataba wa kukamilisha na kukabidhi barabara ya ya Ilunde Uvinza Mwezi oktoba mwaka huu wa 2023. Na, Kadislaus Ezekiel. Naibu Waziri wa Ujenzi Mhandisi Godfrey Kasekenya…

24 September 2023, 3:08 pm

Vijana Pemba waomba ajira ujenzi uwanja wa ndege

Wananchi waliopisha ujenzi wa uwanja wa ndege Pemba kuanza kulipwa fidia mara baada ya kukamilika kwa tathmini. Na Is-haka Mohammed Kamati ya  muda ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar  inayoratibu  masuala ya ujenzi wa uwanja wa ndege Pemba imekutana…

14 September 2023, 19:21

Kinanasi: Yajayo Kyela yanafurahisha

Mbunge wa Jimbo la Kyela Ally Mlagila Jumbe Kinanasi ameahidi kutekeleza mambo yote yaliyoombwa na wananchi wa kata ya Bujonde ikiwemo barabara ya kutoka Bujonde kwenda Nyerere ndani ya kata hiyo.  Ameyasema hayo wakati wa ziara yake ya kikazi katika…