Radio Tadio

Ujenzi

28 October 2025, 11:13 am

Nyan’ghwale iko shwari kuelekea uchaguzi kesho

Idadi ya wananchi waliojiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura ni wilayani Nyang’hwale 124,036 na kuwa jumla ya vituo 360. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita, Grace Kingalame, amewahakikishia wananchi wa wilaya hiyo kuwa hali…

8 October 2025, 11:39

MCT yanoa wanahabari kukabiliana na habari potofu Kigoma

Baraza la habari Tanzania (MCT) limetoa mafunzo maalum kwa waandishi wa habari Mkoani Kigoma yenye lengo la kupambana na changamoto za habari na taarifa potofu, na mwongozo wa sheria kuhusu upatikanaji wa taarifa na ushiriki wa taasisi za Serikali katila…

6 October 2025, 7:41 pm

Nondo za Reuben Sagayika akiomba kura za CCM Msufini

“Ninaimani kata ya Kalangalala itakwenda kubadilika kimaendeleo iwapo mtanipa kura za NDIO ili niweze kuwatumikia kwa moyo wangu” – Reuben Sagayika Na: Ester Mabula Mgombea udiwani wa kata ya Kalangalala kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Reuben Sagayika leo…

6 October 2025, 1:58 pm

Vijana Geita waeleza kwanini Oktoba 29 watatiki

Vijana hao wameeleza kuwa hawatashiriki katika vurugu, maandamano yasiyo ya lazima au propaganda za kisiasa. Na Mrisho Sadick: Vijana kutoka makundi mbalimbali ikiwemo vyuo na shule za sekondari katika Manispaa ya Geita Mkoani Geita wamesema wako tayari kushiriki kikamilifu katika…

12 September 2025, 4:34 am

TAKUKURU Geita yawafunda wasimamizi wa uchaguzi

Tanzania inajiandaa na Uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 ambapo rai imetolewa kwa wasimamizi wa uchaguzi kuepuka vitendo vya Rushwa. Na: Edga Rwenduru Taasisi ya kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Geita imewaonya wananchi na wasimamizi wa uchaguzi watakaobainika…

4 September 2025, 10:19 am

Majimbo 7 kati ya 9 Geita hayana wagombea upinzani

Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Geita kimezindua rasmi kampeni za kunadi ilani ya chama hicho kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu. Na: Edga Rwenduru Uzinduzi wa kampeni hizo umefanyika Septemba 02, mwaka huu Katika kata ya…

12 August 2025, 1:38 pm

Uchafu wa mighahawa kero kwa walaji Katavi

Moja ya mgawaha uliopo mtaa wa Mpanda hotal. Picha na Roda Elias ” Unakula chakula unakaa kidogo unaenda kununua flajiri” Na Roda Elias Baadhi ya walaji wa vyakula katika migahawa inayopatikana kata ya Mpanda hotel manispaa ya Mpanda mkoani Katavi…

27 March 2025, 9:58 pm

Wanawake Hanang’ wapata elimu ya uandaaji lishe 

Baadhi ya wanawake wilayani Hanang mkoani Manyara wamefundishwa namna ya kuandaa lishe bora ili kudhibiti tatizo la udumavu kwa watoto. Na Mzidalfa Zaid Katika kuhakikisha watoto wanakuwa na lishe bora, jamii wilayani Hanang mkoani Manyara imeshauriwa kuhifadhi vyema mazao,kwa kuhakikisha…

March 27, 2025, 9:54 am

Mbunge Kishimba ashauri mazao mengine kuongezwa KACU

Mbunge wa Jimbo la Kahama mjini Jumanne Kishimba akiwa anazungumza katika mkutano mkuu wa 29 wa KACU. (Picha na Sebastian Mnakaya) ”Wakulima wengi walioko kwenye chama kikuu cha ushirika wilaya ya Kahama (KACU) ni wa pamba na tumbaku, je, wanaolima…