Radio Tadio

Ujenzi

20 Aprili 2026, 13:16

RC Kigoma ahimiza weledi mabaraza ya ardhi, nyumba

Wajumbe hawa wa mabaraza ya ardhi na nyumba ni sehemu ya mfumo wa haki unaolenga kutatua migogoro ya ardhi kwa haraka, kwa gharama nafuu, na kwa kuzingatia mazingira ya jamii husika. Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi…

11 Aprili 2026, 5:52 mu

Wanaume Simiyu wafanyiwa ukatili wa kijinsia

Wakati taarifa kutoka dawati la jinsia na watoto zikieleza kuwa idadi kubwa ya watu wanaofanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia ni wanawake na watoto, lakini hali ni tofauti kwa baadhi ya wanaume wa mkoa wa Simiyu, wakieleza kuwa wamepitia ukatili kutoka kwa wake…

9 Januari 2026, 10:26 mu

Serikali yaahidi kuiboresha DIT

Kwa malengo ya kuongeza ubora wa taaluma Na Devi Moses SERIKALI imeahidi kuendelea kuboresha na kuendeleza Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam(DIT) Kampasi ya Songwe ili kuongeza ubora wa mafunzo ya ufundi nchini. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu,…

2 Disemba 2025, 3:50 um

Halmashauri ya Manispaa ya Geita yapata viongozi wapya

Leo Disemba 02, 2025 kikao cha kwanza cha baraza la madiwani kimefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Dkt. Samia Suluhu Hassan eneo la Bombambili manispaa ya Geita. Na: Ester Mabula Baraza la madiwani la halmashauri ya manispaa ya Geita limeketi…

27 Novemba 2025, 14:52

Watumishi wa umma wapewa elimu ya majanga ya moto Kasulu

Watumishi wa umma Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wamepatiwa elimu ya kukabiliana na majanga ya moto Na Hagai Ruyagila Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Wilayani Kasulu, mkoani Kigoma, limetoa mafunzo kwa watumishi wa umma wa Halmashauri ya Mji Kasulu…

17 Novemba 2025, 17:12

Wahitimu VETA Kibondo wahimizwa kujikwamua kimaisha

Wahitimu katika chuo cha ufundi stadi veta Wilayani Kibondo mkoani Kigoma wamehimizwa kutumia mafunzo waliyoyapata kwa ajili ya manufaa yao ili waweze kujikwamua katika maisha yao ya kila siku hali itakayopunguza wimbi la vijana wasio na ajira hapa nchini. Na…

28 Oktoba 2025, 11:13 mu

Nyan’ghwale iko shwari kuelekea uchaguzi kesho

Idadi ya wananchi waliojiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura ni wilayani Nyang’hwale 124,036 na kuwa jumla ya vituo 360. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita, Grace Kingalame, amewahakikishia wananchi wa wilaya hiyo kuwa hali…

8 Oktoba 2025, 11:39

MCT yanoa wanahabari kukabiliana na habari potofu Kigoma

Baraza la habari Tanzania (MCT) limetoa mafunzo maalum kwa waandishi wa habari Mkoani Kigoma yenye lengo la kupambana na changamoto za habari na taarifa potofu, na mwongozo wa sheria kuhusu upatikanaji wa taarifa na ushiriki wa taasisi za Serikali katila…

6 Oktoba 2025, 7:41 um

Nondo za Reuben Sagayika akiomba kura za CCM Msufini

“Ninaimani kata ya Kalangalala itakwenda kubadilika kimaendeleo iwapo mtanipa kura za NDIO ili niweze kuwatumikia kwa moyo wangu” – Reuben Sagayika Na: Ester Mabula Mgombea udiwani wa kata ya Kalangalala kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Reuben Sagayika leo…

6 Oktoba 2025, 1:58 um

Vijana Geita waeleza kwanini Oktoba 29 watatiki

Vijana hao wameeleza kuwa hawatashiriki katika vurugu, maandamano yasiyo ya lazima au propaganda za kisiasa. Na Mrisho Sadick: Vijana kutoka makundi mbalimbali ikiwemo vyuo na shule za sekondari katika Manispaa ya Geita Mkoani Geita wamesema wako tayari kushiriki kikamilifu katika…