Radio Tadio

Ujenzi

30 May 2023, 2:57 pm

Nguvu kazi za wananchi kuchochea miradi ya maendeleo kukamilika kwa wakati

Miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ya awamu ya sita inadhamiria kuondoa adha za wananchi wanazokabiliana nazo ikiwemo katika sekta ya elimu, afya na masuala ya kijamii ambayo ili kukamilika inahitaji jitihada za wananchi kuunga mkono jitihada hizo hususan kujitolea nguvu…

6 March 2023, 11:40 am

Mpwapwa yatarajia kuanza  kilimo cha umwagiliaji

Bwawa hilo ambalo linajengwa kati ya kijiji cha Chunyu na Ng’ambi wilayani Mpwapwa hadi sasa umefikia asilimia 30 huku ukitarajiwa kukamilika ifikapo Novemba mwaka huu. Na Mariam Kasawa Jumla ya shilingi bilioni 27 zimetolewa ili kukamilisha uchimbaji wa bwawa litakalo…

16 February 2023, 3:46 pm

Bilioni 1.172 kujenga barabara kongwa

Wakala wa barabara za mijini na vijijini Tanzania (TARURA) wilayani kongwa wanatarajia kutumia shilingi Bilioni 1.172 kwaajili ya kujenga na kukarabati miundombinu ya barabara katika bajeti ya mwaka wa fedha 2023/2024. Na Bernadetha Mwakilabi. Meneja wa TARURA Kongwa injinia Peter…

15 February 2023, 11:14 am

Baraza La Taifa la Ujenzi lajipanga kutekeleza Majukumu Tisa

Na Fred Cheti. Baraza La Taifa la Ujenzi limesema kwa Mwaka 2023 limejipanga kutekeleza Majukumu Tisa ambapo ni pamoja na kukamilisha muongozo wa gharama za ujenzi wa barabara Nchini kwa kuandaa gharama za msingi za Mkandarasi katika kutekeleza kazi mbalimbali…

7 February 2023, 2:49 pm

Kituo cha Polisi Ifakara ni chakavu-Dc Kyobya

Na Kuruthum Mkata Uchakavu wa Jengo na miundo mbinu mibovu ya umeme katika   Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Kilombero kilichopo Ifakara ,imepelekea Mkuu wa Wilaya ya Kilombero wakili Dunstan Kyobya kuagiza kufanya marekebisho ikiwa ni pamoja na kupaka rangi…

3 February 2023, 11:39 am

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Ataka Ujenzi ukamilike

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule amewataka wasimamizi wa ujenzi wa kituo cha Afya cha Itiso kilichopo wilayani Chamwino kuharakisha ukamilishaji wa ujenzi wa kituo hicho ili kianze kutoa huduma kwa wananchi. Na Fred Cheti Mkuu huyo wa…

January 4, 2023, 8:30 am

Wanachama wa CCM Nyarugusu wachangia ujenzi wa ofisi ya chama.

Na Kale Chongela: Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM ) Kata ya Nyarugusu wilayani Geita kwa kauli moja wameamua kuchangishana fedha kwa ajili ya ujenzi wa Ofisi ya chama ya Kata itakayogharimu kiasi cha Shilingi Milioni ( 50 ) ili…

15 December 2022, 4:47 pm

Wilaya ya Maswa kuandikisha Watoto wa Darasa la Awali 13,000 kwa Mwaka…

Imeelezwa  kuwa  Wilaya  ya  Maswa   Mkoa  wa  Simiyu  hadi  kufikia   mwezi  Novemba , 2022  Imefanikiwa Kuandikisha  Watoto  wa  Darasa  la  Awali   Elfu  Saba (7000)  Sawa  na  Asilimia  Hamsini  na  Mbili (52%)  ya  Makisio  yote  ya  Watoto   Elfu  kumi  na  tatu…