
Miundombinu

8 October 2023, 10:26 pm
Kwa mara ya kwanza ndege yenye kubeba abiria 72 kuanza safari Pemba
Kuwepo kwa changamoto ya usafiri wa anga kisiwani Pemba kumepelekea kuengezeka kwa kampuni nyengine ya usafirishaji abiria kwa njia ya anga. Na Fatma Rashid. Wazir wa ujenzi mawasoliano na uchukuzi Dr Khalid Salim Mohd amesema Ujenzi wa uwanja wa ndege…

6 October 2023, 10:29 am
Shilingi bilioni 70 zatengwa kuwalipa wakandarasi nchini
Na Frank Leonard Serikali imetangaza kutenga Sh bilioni 70 kila mwezi kwa ajili ya kulipa madeni ya wakandarasi wa ndani na nje wanaotekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi nchini. Akitoa taarifa hiyo leo mara baada ya kukagua maendeleo ya ukarabati wa…

6 October 2023, 08:01
Wananchi waipa kongole serikali kwa ujenzi wa madaraja ya mawe
Teknolojia ya ujenzi wa madaraja kwa kutumia mawe imetajwa kuwa mkombozi kwa wananchi wa wilaya za Kigoma baada ya kurahisisha shughuli za usafirishaji. Na. Tryphone Odace Wananchi wa vijiji vya Nyamidaho, Bitale Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma na Nyamihanga wilaya…

30 September 2023, 6:03 pm
Kampuni ya MECCO yapewa mwezi mmoja kukamilisha vifaa vya ujenzi wa barabara P…
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar haijaridhishwa na utengenezaji wa mradi wa barabara ya Chakechake – Wete, ambayo imeshatumia miezi 19 tangu ilipoanza kutengenezwa. Na fatma Rashid Waziri wa ujenzi mawasiliano na uchukuzi Dkt. Khalid Salum Mohd amesema hajaridhishwa na utendaji kazi…

28 September 2023, 10:40 pm
Madarasa mapya kupunguza msongamano wa wanafunzi Makulu
Ujenzi wa Madarasa Matano katika shule ya Dodoma Makulu tayari umekamilika huku ushiriki wa wananchi katika ujenzi huo ukitajwa kuwa mkubwa. Na Mindi Joseph. Shilingi milion 100 zimetumika katika ujenzi wa madarasa 5 katika shule ya msingi Dodoma Makulu na…

28 September 2023, 9:44 pm
Mlebe waiomba serikali kukarabati barabara
Ubovu wa miundombinu ya barabara umekuwa ukikwamisha shughuli za uchumi kwa wananchi kwani wanashindwa kusafiri kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Na Mindi Joseph. Wananchi wa Kijiji cha Mlebe Wilayani Chamwino wameiomba serikali kuwakarabatia barabara inyaounganisha kijiji hicho na Mjini ili…

27 September 2023, 5:42 pm
Wanafunzi 180 wa kidato cha tano hawajaripoti shuleni Msalato
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ametembela Jumla ya Miradi Mitatu inayoendelea Jijini Dodoma ikiwemo Ujenzi wa Mabweni Mawili ya Shule ya Sekondari Msalato, Hospitali ya Wilaya inayojengwa katika Kata ya Nala na Ujenzi wa Shule ya Sekondari Mpamaa…

September 21, 2023, 7:02 am
Barabara km 52.414 kulimwa kwa kiwango cha lami Ileje Samia apongezwa
Na Denis Sinkonde Askofu wa kanisa la Moraviani jimbo la Kusini Kenani Panja kwa niaba ya wananchi wa Kijiji cha Ibungu Kata ya Bupigu ametoa shukrani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia_Suluhu Hassan pamoja na Viongozi…

20 September 2023, 4:45 pm
Hombolo Makulu walia na uchakavu wa shule
Mazingira magumu au uchakavu wa miundombinu ya shule pamoja ongezeko la wanafunzi ni moja ya changamoto zinazo ikabili sekta ya elimu. Na Victor Chigwada. Wananchi wa mtaa wa Hombolo Makulu wamelalamikia uchakavu wa miundombinu ya shule yao ya msingi hali…

19 September 2023, 3:43 pm
Shekimweri ataka ofisi ya mtaa wa kwa Mathias Miyuji kuwa ya mfano
Ujenzi wa jengo la ofisi ya mtaa wa mathias jijini dodoma unaosimamiwa na kampuni ya urasimishaji ardhi ya wise plan unatarajiwa kukamilika mwezi wa kumi mwaka huu ikiwa ni sehemu ya kurudisha fadhila kwa jamii. Na David Kavindi. Mkuu wa…