Miundombinu
30 Oktoba 2023, 16:01
Wachimbaji wadogo wa madini Chunya walia na mercury, wapata ulemavu
Teknolojia ni jambo zuri katika ulimwengu wa sasa lakini hali imekuwa tofauti kwa wachimbaji eneo la Chunya ambapo badala ya furaha imegeuka kilio. Na Hobokela Lwinga Wachimbaji wadogo wa madini katika eneo la Itumbi kata ya Matundasi wilaya ya Chunya…
26/10/2023, 16:18
Kilometa 17 za lami kumaliza changamoto ya miundombinu ya barabara mjini Geita
Baada ya wananchi wa baadhi ya maeneo ya Halmashauri ya Mji wa Geita kulia na changamoto ya miundombinu ya barabara sasa serikali imesikia kilio chao. Na Kale Chongela: Halmashauri ya mji wa Geita kupitia mradi wa uboreshaji miji TACTIC imeanza…
26 Oktoba 2023, 15:05
Ukosefu wa bweni unachochea wanafunzi kupata mimba
Ni wajibu wa Wananchi, wadau wa maendeleo na Serikali kushirikiana kuhakikisha wanajenga mabweni katika shule zao hasa za vijijini ambazo wengi wa wanafunzi wanatoka mbali na kutembea kwenda mashuleni au kulazimika kupangiwa vyumba vya kuishi (mageto) hali ambayo ni hatarishi…
25/10/2023, 12:39
Vifusi barabarani kero kwa watumiaji wa vyombo vya moto Katoro
Kuchelewa kurekebishwa kwa miundombinu ya barabara imekuwa kikwazo nakuzorotesha uchumi wa wa wananchi. Na Kale Chongela: Madereva pikipiki na Bajaji wanaotumia barabara ya soko kuu la mji mdogo wa katoro wilayani Geita wamelalamikia uwepo wa vifusi katikati ya barabara hilo hali…
25/10/2023, 11:39
BOOST, EP4R na TEA zaing’arisha shule ya msingi Pangani
Serikali kupitia viongozi wetu wametuheshimisha, madarasa yaliyojengwa yatakuwa msaada mkubwa kwa wanafunzi. Na Cosmas Clement. Serikali imefanikiwa kutumia zaidi ya shilingi milioni 100 kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 hadi 2022/23 kwa ajili kutekeleza ujenzi wa miundombinu ya madarasa…
24/10/2023, 11:58
Wakazi wa Chisamila na Manzase kuondokana na kero ya barabara
Bajeti ya ujenzi, ukarabati na matengenezo ya barabara vijijini na mijini imekuwa ikiongezeka kutoka Shilingi bilioni 272.56 mwaka 2020/21 hadi Shilingi bilioni 722 katika mwaka wa fedha 2021/22 sawa na ongezeko la asilimia 185. Na Mindi Joseph. Zaidi ya millioni…
16 Oktoba 2023, 11:48 mu
Wananchi Tukuyu walilia matuta kupunguza ajali za barabarani
Na Sabina Martin Rungwe-MbeyaKufuatia uwepo wa ajali za mara kwa mara katika eneo la ushirika mji mdogo wa Tukuyu wilayani Rungwe mkoani Mbeya wananchi wa eneo hilo wameiomba serikali kuweka matuta katika eneo hilo. Baadhi ya wananchi waliozungumza na chai…
12/10/2023, 12:40
Km 19 za barabara kujengwa katika mitaa zaidi ya minne Makulu
Tayari wananchi waliopisha ujenzi wa Barabara hizo wameshalipwa stahiki zao. Na Mindi Joseph. Kilomita 19 za barabara zinatarajiwa kuchongwa katika zaidi ya Mitaa 4 katika Kata ya Dodoma Makulu kabla ya msimu wa mvua kuanza. Hii ni kufuatia ujenzi wa…
11 Oktoba 2023, 17:13
Kiwanda cha kutengeneza meli kujengwa Kigoma
Hatua ya kuanza ujenzi wa kiwanda cha kutengeneza meli kinatjwa kuwa ni miongoni mwa mikakati ya Serikali kuboresha huduma za usafirishaji ndani ya Ziwa Tanganyika. Na, Tryphone Odace Serikali Kupitia Wizara ya Uchukuzi, imetia Saini makubaliano ya kuanza ujenzi wa…
10/10/2023, 17:48
Pangani kupata usafiri wa majini wa uhakika
“Fanyeni kazi mkiwa na amani, hayo mengine mlionieleza mimi ni mlezi wenu nitakwenda kuyashughulikia.“ Na Saa Zumo Halmashauri ya Pangani mkoani Tanga iko mbioni kupata uhakika wa usafiri wa majini baada ya kufanya mazungumzo na wawekezaji wa usafirishaji wa majini.…