Miundombinu
2 Disemba 2023, 3:41 um
RC Katavi apiga marufuku shughuli katika hifadhi ya barabara
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko akizungumza na Wajumbe katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa hatua zaidi ziweze kuchukuliwa kwa Wananchi watakaobainika kufanya Shughuli zilizo kinyume katika hifadhi ya Barabara. Na Anna Milanzi -Katavi Mkuu wa Mkoa wa…
19 Novemba 2023, 4:37 um
Madiwani Maswa wakerwa na majibu ya TARURA
TARURA wilayani Maswa mkoani Simiyu inayohudumia mtandao wa barabara wenye jumla ya Km 184.2 na iliyofikia 77% ya Barabara zinazopitika kwa nyakati zote za msimu sawa na km 837.39 imelalamikiwa kwakushindwa kupeleka kwa wakati wakandarasi kwenye baadhi ya Barabara Wilayani…
17/11/2023, 11:55
Prof Kabudi akabidhi mradi wa kukabarati barabara Kilosa
Serikali imeendelea kuwafikia wananchi waishio vijijini kwa kuwasogozea nyanja za ufunguzi wa maendeleo hususani katika ukarabati wa barabara kupitia wakala wa barabara za mijini na vijijini (TARURA) ambapo zinakwenda kuwaunganisha wananchi pamoja na kuwainua kiuchumi kwenye kilimo ambayo watayasafirisha hadi…
7 Novemba 2023, 15:42
Chama cha mafundi kuboresha mazingira ya kazi zao Dodoma
Ufundi ni moja kati ya tasnia yenye mchango mkubwa katika kuanzisha ukuaji wa miji. Na Yussuph Hassan. Imeelezwa kuwa uwepo wa chama cha mafundi rangi na ujenzi Mkoani Dodoma itasaidia kwa kiasi kuboresha mazingira ya kazi kwa mafundi hao. Kutokana…
31 Oktoba 2023, 10:49
Wakandarasi watakiwa kuzingatia matakwa ya jiji la Dodoma
Huu ni mpango wa Uboreshaji wa Miundombinu katika miji ya Tanzania ujulikanao kama TACTIC unaofanywa na wakandarasi watatu. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule amewataka wakandarasi waliopewa miradi ya kujenga miundombinu ya barabara katika jiji…
30 Oktoba 2023, 16:01
Wachimbaji wadogo wa madini Chunya walia na mercury, wapata ulemavu
Teknolojia ni jambo zuri katika ulimwengu wa sasa lakini hali imekuwa tofauti kwa wachimbaji eneo la Chunya ambapo badala ya furaha imegeuka kilio. Na Hobokela Lwinga Wachimbaji wadogo wa madini katika eneo la Itumbi kata ya Matundasi wilaya ya Chunya…
26/10/2023, 16:18
Kilometa 17 za lami kumaliza changamoto ya miundombinu ya barabara mjini Geita
Baada ya wananchi wa baadhi ya maeneo ya Halmashauri ya Mji wa Geita kulia na changamoto ya miundombinu ya barabara sasa serikali imesikia kilio chao. Na Kale Chongela: Halmashauri ya mji wa Geita kupitia mradi wa uboreshaji miji TACTIC imeanza…
26 Oktoba 2023, 15:05
Ukosefu wa bweni unachochea wanafunzi kupata mimba
Ni wajibu wa Wananchi, wadau wa maendeleo na Serikali kushirikiana kuhakikisha wanajenga mabweni katika shule zao hasa za vijijini ambazo wengi wa wanafunzi wanatoka mbali na kutembea kwenda mashuleni au kulazimika kupangiwa vyumba vya kuishi (mageto) hali ambayo ni hatarishi…
25/10/2023, 12:39
Vifusi barabarani kero kwa watumiaji wa vyombo vya moto Katoro
Kuchelewa kurekebishwa kwa miundombinu ya barabara imekuwa kikwazo nakuzorotesha uchumi wa wa wananchi. Na Kale Chongela: Madereva pikipiki na Bajaji wanaotumia barabara ya soko kuu la mji mdogo wa katoro wilayani Geita wamelalamikia uwepo wa vifusi katikati ya barabara hilo hali…
25 Oktoba 2023, 11:39
BOOST, EP4R na TEA zaing’arisha shule ya msingi Pangani
Serikali kupitia viongozi wetu wametuheshimisha, madarasa yaliyojengwa yatakuwa msaada mkubwa kwa wanafunzi. Na Cosmas Clement. Serikali imefanikiwa kutumia zaidi ya shilingi milioni 100 kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 hadi 2022/23 kwa ajili kutekeleza ujenzi wa miundombinu ya madarasa…