
Miundombinu

15 July 2023, 11:22 am
Mbunge Nyamoga Aahidi ujenzi wa Shule ya Msingi
Na Mwandishi wetu Mbunge wa Jimbo la Kilolo, Mh Justine Nyamoga ameahidi kuanza ujenzi wa shule ya Msingi Kising’a ili kunusuru watoto wanaotembea umbali mrefu kufuata elimu. Mh. Nyamoga ambaye yupo kwenye ziara inayolenga kusikiliza kero za wananchi wake katika…

11 July 2023, 1:10 pm
Wakazi wa Chang’ombe Kongwa waiomba serikali iwatatulie adha ya maji
Changamoto ya maji imesalia kuwa kilio kwa wananchi pamoja na serikali kuendelea kufanya jitihada mbalimbali. Na Mindi Joseph. Wananchi wa kitongoji cha chang’ombe Kata ya Laikala Wilyani Kongwa wameiomba serikali kuwasaidia kutatua changamoto ya maji inayowakabili. Visima vilivyopo ni viwili…

6 July 2023, 4:50 pm
Bahi: Nollo kupeleka umeme, maji shule mpya ya Nagulo
Nollo amesema kufanya hivyo kutaongeza thamani katika mradi huo ulioletwa na serikali kwa lengo la kuwasaidia wananchi. Na Bernad Magawa Mbunge wa jimbo la Bahi Mheshimiwa Kenneth Nollo ameahidi kupeleka huduma ya maji umeme pamoja na kuchonga barabara kuingia shuleni…

6 July 2023, 7:35 am
Bilioni 7.9 kukamilisha ujenzi wa daraja Berega
Kukamilika kwa daraja la Berega kutawaondolea adha ya muda mrefu ya upatikanaji wa usafiri waliyokuwa wanakabiliana nayo wananchi wa kata ya Berega ambayo ilichangia wananchi kupoteza maisha wakivuka kwenye mto wakati wa masika ili kufuata mahitaji muhimu ya kijamii. Viongozi…

5 July 2023, 3:31 pm
Senyamule akabidhiwa miradi ya BOOST wilayani Bahi
Senyamule amepongeza uongozi wa wilaya ya Bahi kwa mshikamano ambao umewafanya kuwa wa kwanza kukamilisha miradi hiyo. Na Bernad Magawa Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mheshimiwa Rosemary Senyamule amekabidhiwa jumla ya madarasa 51, vyoo 63, majengo 2 ya utawala pamoja…

July 5, 2023, 7:11 am
Chatanda: Changamoto ya barabara Kigala-Makete nitaifikisha kwa waziri
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Taifa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) UWT Marry Chatanda amesema kilio cha mbunge na wananchi wa Kigala kuhusu barabara atakifikisha kwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan. Chatanda amesema hayo akiwa na wananchi wa Kigala kwenye…

4 July 2023, 11:27 am
Ukosefu mitaro ya maji yawakero kwa wananchi kata ya Mwanga
Wananchi wa kata ya mwanga manispaa ya kigoma uiomba TARURA kurekebisha mitaro ya maji kulingana na adha wanayoipata ya kukatika kwa barabara wakati wa mvua Na Glory Kusaga KIGOMA. Baadhi ya Wananchi wa Mtaa wa Kilimahewa B Kata ya Mwanga…

4 July 2023, 11:07 am
21 mbaroni wizi miundombinu ya maji
Jeshi la Polisi mkoani Tabora linawashikilia watu 21 kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo mbali mbali vya uhalifu vikiwemo vya wizi wa vifaa vya miundo mbinu ya maji. Na Nicholaus Mwaibale Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora Kamishna msaidizi Richard…

3 July 2023, 3:35 pm
Waziri Mhagama akabidhiwa kipande cha sehemu ya ujenzi wa uwanja wa Mashujaa
Mwakilishi wa kampuni ya Ujenzi kutoka SUMA JKT kanda ya Kati Meja Samweli Jambo, amesema ujenzi huo umefuata taratibu zote za upimaji na viwango. Na Pius Jayunga. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na…

30 June 2023, 10:34 am
Marufuku kuacha moto ndani ya duka
KATAVI Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Katavi linaendelea na uchunguzi wa ajali ya moto iliyotokea katika duka moja soko kuu Mpanda huku likionya wanaoacha moto wakati wa kufunga maduka yao. Kamishna msaidizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa…